Unapoelekea tu takushikisha uku.ta tajiri gan?Kwa sisi wazoefu, ukimtazana Diamond, haraka sana unajua jamaa ana snort cocaine. hilo halina ubishi.
Ila nahisi atakuwa anatumia coc grade A, ile anayotumia tajiri fulani kijana aliyewekeza kwenye timu ya mpira wa miguu.
Hela nyingi sanaM600 unahisi ni hela ndogo mkuu, kwamba uitoe tu bila kuhuzunika
Anaonekana ana matatizo mengi mnoDaimond sura yake inaonesha anatumia na ni mtu mwenye Stress mno.
Mwenyewe anajiita teja smartKiukweli Mondi anatumia Unga, inaumiza lakini ndio ukweli sijui kwanini hawajifunzi kwa wenzao, hakika umaarufu una gharama sana.
Shule gani iyo?Jibu swali anatumia sembe au hatumii?? Vinginevyo nyie ndiyo walee enzi hizo teacher kwenye mtihani anatoa maswali 20 yote rahisi sana but mtego uko kwenye instructions "read all the questions carefully BUT DON'T ANSWER ANY QUESTIONS, JUST write down your name and when the time is up submit your papers"...
Ulioona Post ya Diamond alivyomkebehi Harmo baada ya Rayvan KU perform zile tuzo?Harmonize ajifunze kuandika, jamaa ana uandishi m'bovu sana.
Hata katika captions zake kwenye mitandao ya kijamii uandishi wake wa ajabu ajabu.
Bado ana element za kishamba.
Mwanaume umeshatoka na kuamua kujitafutia ya nini kuanza kufuatana na mwanaume mwenzio kukesha kuandikiana upuuzi.
Suala la mtu kutumia unga ni starehe yake kama zilivyo starehe zingine kuanza kufuatiliana kuandikiana kwa status na insta story huu ni utoto.
Mwanaume kuwa na element za kike kutupiana maneno siyo ishara nzuri hata kidogo.
Zaidi ya yote ajifunze kuandika na amtafute Ras Simba amnoe kidogo lugha ya malkia ambayo nayo anavuruga sana.
Team Diamond baba yenu ndiyo aliyelianzishaKUNA MTU ALIDHANI KWAMBA AKITOKA WCB NA KUANZISHA LEBO YAKE ATAKUWA TAJIRI KAMA MWENZIE,KUENDESHA LEBO SIO KAMA KUENDESHA SHAMBA LA KOROSHO NA USIONE MTU ANAFANYA HIVI UKAJUA NA WEWE UTAWEZA,LAZIMA UDATE
KUNA MTU ALITOA ALBUM KARIBUNI AMBAYO KWA NAMNA MOJA NA NYINGINE HAIJAFANYA POA KABISA KATIKA SOKO LA KIDIJITARI YANI DIGITAL PLATFORMS.MWISHO WA SIKU ANAANZA KUTAFUTA KIKI
HAKUNA KITU KINAUMA KAMA KUMSEMA MTU AMBAYE HAKUJIBU,INAUMIZA SANA
Utakuwa una katwa ukungu na diamondHuyo konde ni mataqo tu. Amesema unga mataqo wengine wakadhani madawa, Mond anatumia protein powder. Kwa tunaojua ukitumia hiyo kitu lazima ufanye mazoezi sana ili kutengeneza mwili uwe na mwonekano bomba.
Angekuwa anatumia huo unga mnaoudhania asingeweza kufanya shows kila mara. Lakini PP inampa nguvu sana ndio sababu huyo konde taqo hawezi simama muda mrefu stagen ni mond
Kiba anatumia ila hapendi kusemaKatika watu nilikua nawa appreciate ni Dimond nikiongea namtolea mfano yy na Ally kiba wamefanikiwa ila hawajazuzuka na madawa na maulevi ulevi
Acha utoto dogo, nenda kampikie mumeoUtakuwa una katwa ukungu na diamond
Anakula balimi sanaDiamond hatumii unga...sema anakunywa sana pombe siku hizi.
Anauza au anavuta?Diamond ana vuta unga huo ndio ukweli ninaoufahamu....na biashara hiyo ameianza siku nyingi tu.....
Huyo konde ni mataqo tu. Amesema unga mataqo wengine wakadhani madawa, Mond anatumia protein powder. Kwa tunaojua ukitumia hiyo kitu lazima ufanye mazoezi sana ili kutengeneza mwili uwe na mwonekano bomba.
Angekuwa anatumia huo unga mnaoudhania asingeweza kufanya shows kila mara. Lakini PP inampa nguvu sana ndio sababu huyo konde taqo hawezi simama muda mrefu stagen ni mond
Una mzidi nn harmo?album imebuma ina tafutwa njia ya kuibust
kijeba bhana kime kua kama kiroba cha mchele siku hizi
Mmakonde kajistukia tu, Diamond kasema vijana wenzangu tujifunze kua na NIDHAM na FADHILA sanaa zetu zikue tusiishie kwenye MIHADARATI. Tembo kahisi kasemwa yeye katoa bonge la povuIla tuwe wakweli Harmo anampigaga sana vijembe Dai hata kwenye nyimbo zake..kama Dai amejibu au ameongea recently ni sababu kachoka. Amekaa kimya muda mrefu sana huo ndio ukweli.
Sasa labda Harmo kaumia zaidi ndo povu lote hilo limemtoka..mi nahisi huyu alikuwa anatafuta sababu ajibiwe ili afunguke yaliyokuwa moyoni mwake[emoji119]
Mkuu protein powder ni vyakula mbali mbali vyenye protein vimesagwa pamoja na kuwa unga. Watu wengi wanaofanya mazoezì ya kujenga mwili hutumia kwani ni rahisi kuliko kununua vyakula vyenyewe na kuvipika.Sorry Kuna tofauti gani Kati ya
protein powder na hiyo unga!??
Huku tukirefer shows za:-
Dmx.
Whitney Houston.(R.I.P)
HILI NENO HUWA NACHEKA SANA... ETI SONONA...Exactly ...ana sonona