cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dudu Baya kwa kutotaka kuchambana alimkamata Mr. Nice akamtia mangumi na mipasho ikaishia siku hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dudu Baya kwa kutotaka kuchambana alimkamata Mr. Nice akamtia mangumi na mipasho ikaishia siku hiyo
Kabisa yaan, domokaya ndo alianza visa msieew zake.Naona most mnamsakama konde
Lakini binafsi naona amejibu vyema...ni vile tu jibu huonekana tusi
Hakika kabisa.diamond alijiona boss na kujisahau Sasa hivi madogo wengi wanamkimbiza kimziki ila siyo hela .
Kipofu tyuuh ndo hajui biffu la harmo na domo,Twende mbele turudi nyuma konde boy kajistukia aisee.
Mi naona hakukua na haja ya povu kubwa namna hiyo ambalo kiukweli linamshusha yeye na kuonekana ana chuki kweli kweli tofauti na mwenzie ambae hajamsema moja kwa moja. Na bado hatujui mondi alimlenga nani hasa ila konde boy kaonesha wazi wazi kua anamsema boss wake wa zamank.
[emoji23][emoji23][emoji23] ana uwezo sasa? Sio atabutuliwa yeye?Ningekua Mond ningekua nshamtia mabanzi huyu dogo
Hakunaga kiasi kinatosha kumlipa mtu aliyekutoa kwenye kudharaulika akakupa heshima asee
Huyu dogo ni wa kutia mabanzi tu.
Ungekua ww umeshikwa matako hadharani ungekaa kimya? Au ndo unaongea ilimradi uonekane umetoa mawazo?Dogo hajui anachokifanya, na anaonekana kuwa na kiburi cha mafanikio, na hiki ndo kitafanya wadau wakubwa wa muziki ndani na nje ya nchi wampunguze na atabaki na wale mashabiki mtaa ambao hata show ya 10,000 tu hawamudu.
Alipaswa akae kimya ili yule mkosefu kila mtu amuone na sio kutupiana vijembe ambapo ni vigimu kidogo kusema nani anamkosea mwenzie.
Kubishana na mtu mwenye fedha ni kutafuta kujishusha kwa sababu na wewe itakubidi utumie fedha Au kidogo ulichonacho kujimwambafai.
Diamond mwenyewe kipindi hiko alikuwa amezungukwa na watu ambao walitaka kumtumia bila mafanikio na wakaanzisha bifu ila hakutoka hadharani kubishana nao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na kanyooshwa kweli kweli.Harmo sio Kiba anayekaaga kimya.. huyo mla ngada kanyooshwa hapo [emoji3][emoji3]
.Unapoelekea tu takushikisha uku.ta tajiri gan?
[emoji28][emoji1787][emoji38]Mabaunsa hawana msaada wowote wale ni kama escort team tu, nimeshuhudia hilo kwa bausa wa future kimbaumbau kama barnaba alimkalisha
Unajua nini? Wasanii wengi wa muziki addiction ya madawa waliipata kutokana na ratiba tight ya shows. Unakuta ana mfulukizo wa shows , yale madawa wanatumia kuwa hype wawe active jukwaani, ila baada ya muda magari yanawaka. Fuatilia wasanii wengi wa huko USA kama Rick James.Diamond anatumia unga?? Mwana anakaa stejini masaa mawili anaimba na kucheza hiyo energy anaipata kwenye unga au ??
Kabisa, au kwa uongoz mzima wa cloud, au sharo balo record.Yeye alionyesha fadhila gani kwa Ruge?
Eti baba yake ni fundi baiskeli, wakati mwanaye ni tajiri 1 duniani.Ila baba kumkataa mtoto sio kubaya?
Kamuulize Jeff Bezos kama anajua hata baba yake mzazi anaishi wapi afu uje tena na hii ngonjera yako.
![]()
Desperate plea of Amazon founder Jeff Bezos's ailing biological father
Three months ago, Ted Jorgensen, 69, right,was revealed to be Amazon founder Jeff Bezos's biological father. He vowed to reconnect with his son, above left, now 50.www.dailymail.co.uk
Eti baba yake ni fundi baiskeli, wakati mwanaye ni tajiri 1Ila baba kumkataa mtoto sio kubaya?
Kamuulize Jeff Bezos kama anajua hata baba yake mzazi anaishi wapi afu uje tena na hii ngonjera yako.
![]()
Desperate plea of Amazon founder Jeff Bezos's ailing biological father
Three months ago, Ted Jorgensen, 69, right,was revealed to be Amazon founder Jeff Bezos's biological father. He vowed to reconnect with his son, above left, now 50.www.dailymail.co.uk
Twende mbele turudi nyuma konde boy kajistukia aisee.
Mi naona hakukua na haja ya povu kubwa namna hiyo ambalo kiukweli linamshusha yeye na kuonekana ana chuki kweli kweli tofauti na mwenzie ambae hajamsema moja kwa moja. Na bado hatujui mondi alimlenga nani hasa ila konde boy kaonesha wazi wazi kua anamsema boss wake wa zamank.
Sawa coke haina shida. omba sana isitokee siku moja akaji-overdose akiwa katika depression itakayosababishwa na kuyumba kwake kiuchumi au masuala mengine.Coke haina shida aisee, shida ni Hero
Mbona hujawahi kusema hapa? Nilitaka nishangae nisikupate hapa[emoji1787] shabiki maandazi.Mbona lipo wazi jamaa anakula unga kitambo
🤣Akina bonge la nyau😂
Nami nimestaajabu.diamond anakula ngada maajabu.
Mtu akikuchukia akuchagulii tusiNami nimestaajabu.