Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo siyo yeye, wameiba account yake either ya Facebook, Telegram ama Whatsapp na kukutumia hiyo mesejiNimepata hilo tangazo kwa mtu tunayefahamiana kabisa yeye ana sema amepata pesa ndio mana nimekuja kuuliza
Kama yeye amepata muambie akuazime hiyo 98k ili nawewe ujisjili upate hayo mamilioni then ukishaingiziwa utamlipa mara 10 yapesa aliyokuazima😀Nimepata hilo tangazo kwa mtu tunayefahamiana kabisa yeye ana sema amepata pesa ndio mana nimekuja kuuliza
Sio rahisi mtu kunitapeli ila nimeleta hapa ili iwe msaada kwa watu wengineHalafu ni wakenya ndio wanafanya hiyo shughuli na soko lao ni Facebook maana Kuna mang'ombe wengi
Wewe mtoa mada ,inaonekana ni rahisi sana kutapeliwa
Msaada upi wakati unadai ni mtu wako wa karibu ,unashindwa hata kujua hao ni wezi wa akaunt za watuSio rahisi mtu kunitapeli ila nimeleta hapa ili iwe msaada kwa watu wengine
Sa mbona una ushamba mobMiaka sawa na wewe
Nimeshausoma mchezo kumbe Wana hack account halafu wanatag followers wake kwenye post ya mchongo huoHuyo siyo yeye, wameiba account yake either ya Facebook, Telegram ama Whatsapp na kukutumia hiyo meseji
Sikufahamu kama Kuna watu wanafanya hiyo michezo ya kuhack account Uzi ufungweMsaada upi wakati unadai ni mtu wako wa karibu ,unashindwa hata kujua hao ni wezi wa akaunt za watu
Msaada upi wakati unadai ni mtu wako wa karibu ,unashindwa hata kujua hao ni wezi wa akaunt za watu
Hakunaga mjanja mjini hapa kila mtu aliyepo town alishawahi pigwa kwa wakati wake usisahau watu laki nne wanaofika kwenye mikesha ya mwamposa kila mwaka kuuziwa maji na mafuta hakunaga mjanja mjini kila mtu analiwa kwa wakati wakeSa mbona una ushamba mob
Kamuulize mama yako aliyekuzaa mjingaNimepata hilo tangazo kwa mtu tunayefahamiana kabisa yeye ana sema amepata pesa ndio mana nimekuja kuuliza
Wana hack sana tumwamba huwa tunafanya nae biashara kwa muda mrefu sasa siku jua kama account yake imekuwa hack na matapeli
Nini tafsiri yako ya neno "kuthibitisha" ?Amethibitisha kupata pesa
Hakuna kitu rahisi kama ku hack akaunt za fb, nimefanya sana hiyo michezoSikufahamu kama Kuna watu wanafanya hiyo michezo ya kuhack account Uzi ufungwe
Ndo maanakeNimeshausoma mchezo kumbe Wana hack account halafu wanatag followers wake kwenye post ya mchongo huo
Mbona inaonekana kabisa kua wewe ndio muhusika na umeleta huo mtego hapa?Nimepata hilo tangazo kwa mtu tunayefahamiana kabisa yeye ana sema amepata pesa ndio mana nimekuja kuuliza
Anamiliki smartphoneUna miaka mingapi?