DOKEZO Ni kweli Hospitali ya Taifa Muhimbili kulala kwa siku ni gharama zake ni tsh 50,000?

DOKEZO Ni kweli Hospitali ya Taifa Muhimbili kulala kwa siku ni gharama zake ni tsh 50,000?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hapo achana na safari zake za kusafiri na kijiji cha watu nje ya nchi ambazo ni bilions of money hutumika,serikali kutumia tsh bilion 500 kwa mwaka kununua magari ya mafisadi wanajiita viongozi.

Halafu ujakaa sawa unasikia mtu mishipa ya shingo inamtoka kwenye usimba na Yanga.

Tena bila kusahau wao viongozi(kwangu mimi ni matapeli na wahuni) wakiumwa hukimbilia kutibiwa nje ya nchi kwa kodi zetu.Magufuli simkubali ila chuma kilifia mzena nchini TZ akiwa rais wa nchi.

Ikiwa huduma bora za afya ni jukumu la serikali yoyote duniani kwa wananchi wake tena iwe bure au kwa gharama ndogo sana lakini Tanzania serikali inakwepa wajibu wake,Bado unajiuliza kuna jehanamu au unakubaliana na mimi jehanamu ni Tanzania.

Nachelea kusema hii nchi tuliwakabidhi madaraka hakuna mwenye uchungu nayo wote ni wabinafsi hakuna cha TISS wala cha mahakama.

Uzi tayari.
Ndio hivyo unadhani gharama za matibabu ni mchezo?

Tafuteni bima
 
Back
Top Bottom