Ni kweli Jakaya Kikwete anagombea Uenyekiti wa Kamisheni ya AU?

relax bas kamanda,
ni maoni na mtazamo tu🐒
 
Miongoni mwa wanaotajwa ni Raila na JK. Media za Kenya zinampambanisha Raila na JK ndo nauliza hii ni kweli jamaa anagombea?
Hii ndiyo shida ya kuingia madaraka ya Urais mtu akiwa chini miaka 60.

Jakaya aliingia madarakani mwaka 2005 akiwa na miaka 55 na akiwa na miaka 65 akamaliza kipindi chake mwaka 2015.

Ndiyo maana bado anawashwa washwa na mambo ya uongozi kwa kuwa bado ana nguvu za kufanya kazi.

Je ingekuwaje kama Nyerere asingemzuia mwaka 1995? Angemaliza uongozi na miaka 55.

Tuwazuie hata hawa akina Mwigulu Nchemba na January ambao yasemekana wanataka kuchukua kijiti baada ya samia
 
Hujui kinachoongelewa..
Ndo ubaya wa akili za kutegemea kila kitu u-google!
Kuna tofauti kati ya AU Chairperson na AU Commissioner.
 
Hujui kinachoongelewa..
Ndo ubaya wa akili za kutegemea kila kitu u-google!
Kuna tofauti kati ya AU Chairperson na AU Commissioner.
Ebu tueleze hiyo nafasi yako anaeachia ni nani? Na list ya wagombea.

African Union Commissioner chairman ni moja tu. Na ndio imeenda Mauritania; halafu ili ushike hiyo nafasi lazima uwe sitting president pia wa nchi unayotoka.
 
Najua Raila Odinga ana gombea huyu wa Msoga ndio breaking
 
Obama aliingia kwenye Urais akiwa na miaka mingapi? Vipi john f Kennedy ,vipi Emmanueli Macron,vipi hayati mwalimu Nyerere mwenyewe,vipi uhuru Kenyatta ,
 
Wewe ndo ungefanya fact check kuliko kudandia treni kwa mbele ukaaibika. Kuna tofauti kati ya mwenyekiti wa AU ambaye automatically ni mkuu wa nchi wanachama na nafasi hsigombewi na Mwenyekiti wa kamisheni ya tume ya AU ambayo ni nafasi ya kugombea.
 
Ebu tueleze hiyo nafasi yako anaeachia ni nani? Na list ya wagombea.

African Union Commissioner chairman ni moja tu. Na ndio imeenda Mauritania; halafu ili ushike hiyo nafasi lazima uwe sitting president pia wa nchi unayotoka.
Wewe kiazi ficha upumbavu wako basi. Miafrika hasa mitanzania ni kinyaa sana. Jitu halijui linabisha kwa ujasiri kabisa duh!!
 
Kazi kweli kweli mwambie ataje huyo mwenyekiti alietoka au anayotaka kwenye hiyo nafasi.
Anayemaliza muda wake ni Mousa Faki na wanaogombea nafasi yake miongoni mwao ni Raila Odinga na JK. Jielimishe we kiazi mbatata!!


Soma hii........


.E. Moussa Faki Mahamat, born on 21 June 1960, was elected as the African Union Commission (AUC) Chairperson on 30 January 2017 and assumed office in March 2017.
MORE

About

The Chairperson of the African Union Commission is the Chief Executive Officer, legal representative of the AU and the Commission’s Chief Accounting Officer. The Chairperson of the Commission is elected by the Assembly for a four-year term, renewable once.
The Chairperson’s functions, include: overall responsibility for the Commission’s administration and finances; Promoting and popularising the AU’s objectives and enhancing its performance; Consulting and coordinating with key stakeholders like Member States, Development Partners, RECs, etc; Appointing and managing Commission staff; Acting as a depository for all AU and OAU treaties and legal instruments.
 
Kama ni kweli namtakia kila laheri.

'Kama ni kweli'....
 
Mwambie Kagame aondoe askari wake Drc, la sivyo SADC na Burundi watalala nae mbele.
 
Wewe ndio umekurupuka. Wanaongelea Chairperson wa AU Commission.
 
Ebu tueleze hiyo nafasi yako anaeachia ni nani? Na list ya wagombea.

African Union Commissioner chairman ni moja tu. Na ndio imeenda Mauritania; halafu ili ushike hiyo nafasi lazima uwe sitting president pia wa nchi unayotoka.
Fanya utafiti kuhusu AU Commission. Chairperson wa AU Commission ndio mtendaji mkuu wa AU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…