Ni kweli Jakaya Kikwete anagombea Uenyekiti wa Kamisheni ya AU?

Ni kweli Jakaya Kikwete anagombea Uenyekiti wa Kamisheni ya AU?

Anayemaliza muda wake ni Mousa Faki na wanaogombea nafasi yake miongoni mwao ni Raila Odinga na JK. Jielimishe we kiazi mbatata!!


Soma hii........


.E. Moussa Faki Mahamat, born on 21 June 1960, was elected as the African Union Commission (AUC) Chairperson on 30 January 2017 and assumed office in March 2017.
MORE

About

The Chairperson of the African Union Commission is the Chief Executive Officer, legal representative of the AU and the Commission’s Chief Accounting Officer. The Chairperson of the Commission is elected by the Assembly for a four-year term, renewable once.

The Chairperson’s functions, include: overall responsibility for the Commission’s administration and finances; Promoting and popularising the AU’s objectives and enhancing its performance; Consulting and coordinating with key stakeholders like Member States, Development Partners, RECs, etc; Appointing and managing Commission staff; Acting as a depository for all AU and OAU treaties and legal instruments.
Halafu mkongwe huyo
 
Mmemsikia Odinga katangaza Nia mmeanza kujileta. Juzi kule Kenya wakikuyu wameanza kumlazimisha Kenyatta agombee. Very stupid
 
Kwa mujibu wa Miguna Miguna( Swahiba wa Odinga) mzee. Hana Masters degree na cheti alichonacho ni ufundi chuma alioupata huko Ujerumani.
Source:Miguna Twitter account
 
Kwa mujibu wa Miguna Miguna( Swahiba wa Odinga) mzee. Hana Masters degree na cheti alichonacho ni ufundi chuma alioupata huko Ujerumani.
Source:Miguna Twitter account
Acha uropokaji na uongo. Tangu lini Miguna akawa Swahiba wa Odinga.
 
Kwa mujibu wa Miguna Miguna( Swahiba wa Odinga) mzee. Hana Masters degree na cheti alichonacho ni ufundi chuma alioupata huko Ujerumani.
Source:Miguna Twitter account
Hii pia nimeona ndo kisa cha kuja kuuliza huku... kuna mtangazaji akasema wazi kwamba Raila hawezi mshinda JK ndo nimebaki na mshangao huyu mzee anagombea? Na kwann wanaficha?
 
Acha uropokaji na uongo. Tangu lini Miguna akawa Swahiba wa Odinga.
Miguna na Odinga ni kama Lowassa na JK...

Walikua chanda na Pete hadi Miguna kufikia kimuapisha Odinga kama Rais lakini baada ya Odinga kuungana na Uhuru kula keki akamgeuka swahiba wake wa siku nyingi kufikia Miguna kupigwa BAN kuingia Kenya.
 
Hivi kuna binadamu hawatosgeki ? Ana shida gani ? Kuna shida mahali....maana hata mke hamna kitu kichwani amelazimisha ubunge khsaa mtoto kilaza wa karne....lakini fitna na shirkii
Kuishi Ethiopia ni raha sana, Toto za kihabesh ni 🔥.
Halafu bibie mbona amekonda?
 
Back
Top Bottom