econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Kazi kweli kweli mwambie ataje huyo mwenyekiti alietoka au anayotaka kwenye hiyo nafasi.
Mwenyekiti wa AU Commission anayemailiza muda wake anaitwa Fakhi wa Chad.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi kweli kweli mwambie ataje huyo mwenyekiti alietoka au anayotaka kwenye hiyo nafasi.
Halafu mkongwe huyoAnayemaliza muda wake ni Mousa Faki na wanaogombea nafasi yake miongoni mwao ni Raila Odinga na JK. Jielimishe we kiazi mbatata!!
Soma hii........
.E. Moussa Faki Mahamat, born on 21 June 1960, was elected as the African Union Commission (AUC) Chairperson on 30 January 2017 and assumed office in March 2017.
MORE
About
The Chairperson of the African Union Commission is the Chief Executive Officer, legal representative of the AU and the Commission’s Chief Accounting Officer. The Chairperson of the Commission is elected by the Assembly for a four-year term, renewable once.
The Chairperson’s functions, include: overall responsibility for the Commission’s administration and finances; Promoting and popularising the AU’s objectives and enhancing its performance; Consulting and coordinating with key stakeholders like Member States, Development Partners, RECs, etc; Appointing and managing Commission staff; Acting as a depository for all AU and OAU treaties and legal instruments.
Mjomba ana tamaa ya fisiHivi kuna binadamu hawatosgeki ? Ana shida gani ? Kuna shida mahali....maana hata mke hamna kitu kichwani amelazimisha ubunge khsaa mtoto kilaza wa karne....lakini fitna na shirkii
Vigezo vipi?Kila mtu mwenye vigezo ana haki ya kugombea
VinavyohitajikaVigezo vipi?
Hana VigezoVinavyohitajika
Acha uropokaji na uongo. Tangu lini Miguna akawa Swahiba wa Odinga.Kwa mujibu wa Miguna Miguna( Swahiba wa Odinga) mzee. Hana Masters degree na cheti alichonacho ni ufundi chuma alioupata huko Ujerumani.
Source:Miguna Twitter account
ThibitishaHana Vigezo
Walikosana lini?Acha uropokaji na uongo. Tangu lini Miguna akawa Swahiba wa Odinga.
Hii pia nimeona ndo kisa cha kuja kuuliza huku... kuna mtangazaji akasema wazi kwamba Raila hawezi mshinda JK ndo nimebaki na mshangao huyu mzee anagombea? Na kwann wanaficha?Kwa mujibu wa Miguna Miguna( Swahiba wa Odinga) mzee. Hana Masters degree na cheti alichonacho ni ufundi chuma alioupata huko Ujerumani.
Source:Miguna Twitter account
Miguna na Odinga ni kama Lowassa na JK...Acha uropokaji na uongo. Tangu lini Miguna akawa Swahiba wa Odinga.
Kuishi Ethiopia ni raha sana, Toto za kihabesh ni 🔥.Hivi kuna binadamu hawatosgeki ? Ana shida gani ? Kuna shida mahali....maana hata mke hamna kitu kichwani amelazimisha ubunge khsaa mtoto kilaza wa karne....lakini fitna na shirkii
🤔Mwenyekiti wa AU Commission anayemailiza muda wake anaitwa Fakhi wa Chad.
Endelea kumpiga huyo zwazwaHujui kinachoongelewa..
Ndo ubaya wa akili za kutegemea kila kitu u-google!
Kuna tofauti kati ya AU Chairperson na AU Commissioner.
Kawaida yako unakurupuka tu kujibu unadhani hoja za CCM hizi. Hakuna uchawa hapa ni hoja tu zinatakiwaObama aliingia kwenye Urais akiwa na miaka mingapi? Vipi john f Kennedy ,vipi Emmanueli Macron,vipi hayati mwalimu Nyerere mwenyewe,vipi uhuru Kenyatta ,
Miguna ndo alimuapisha Raila pale uwanjani kuwa Rais wa Kenya kwahiyo anayajua mengi ya BabaAcha uropokaji na uongo. Tangu lini Miguna akawa Swahiba wa Odinga.