Ni kweli Jakaya Kikwete anagombea Uenyekiti wa Kamisheni ya AU?

Ni kweli Jakaya Kikwete anagombea Uenyekiti wa Kamisheni ya AU?

Miguna na Odinga ni kama Lowassa na JK...

Walikua chanda na Pete hadi Miguna kufikia kimuapisha Odinga kama Rais lakini baada ya Odinga kuungana na Uhuru kula keki akamgeuka swahiba wake wa siku nyingi kufikia Miguna kupigwa BAN kuingia Kenya.
miguna anasema Baba hata cheti cha form four hana,na jana kasema Raila amataje hata mtu mmoja aliyesoma nae secondary school au Chuo.
 
Ndugu habari za muda huu, naomba kuuliza kwa wadau mbali mbali na hata serikalini kama inawezekana tupewe majibu kabla sijatoa ya moyoni...

Kuna tetesi huko huko duniani nazisikia naomba uthibisho wake maana kuuliza si ujinga.....

Je, Ni kweli mswahili wa msoga aliyepata kuwa Rais wa Tanzania kwa miaka 10, mwenye mtoto Naibu waziri na mke mbunge anagombea uenyekiti wa kamisheni ya umoja wa Afrika?

Nimeuliza kwanza kabla ya kutoa maoni ili tumtendee haki.

Ahsanteni.
hapana afrika inamteua raila odinga
 
Mbaya zaidi anabishia kitu asichokijua! Nchi ina wapumbavu hii sijawai ona!!
Wewe ndio unasogeza goal post.


BBB7EC40-5C1C-470A-8B60-65E283B3330D.jpeg


Halafu hao AU pia wanashida ya ku defined roles.

AUC chairman and AUC chairperson kuna tofauti gani. Hata magazeti mengi hayajui tofauti.
 
Walikosana lini?

Umesahau Miguna alishiriki kumuapisha Raila ?
Walikosana Baada ya handshake ya Raila na Kenyatta. Na baadae Miguna kukamaywa na kurudishwa Canada. Tangia hapo akawa anamwita Raila Conman. Na kwenye kampeni za urais 2022, alikuwa upande wa Ruto.
 
Miguna na Odinga ni kama Lowassa na JK...

Walikua chanda na Pete hadi Miguna kufikia kimuapisha Odinga kama Rais lakini baada ya Odinga kuungana na Uhuru kula keki akamgeuka swahiba wake wa siku nyingi kufikia Miguna kupigwa BAN kuingia Kenya.
Wewe ndio umeongea ukweli
 
Miguna ndo alimuapisha Raila pale uwanjani kuwa Rais wa Kenya kwahiyo anayajua mengi ya Baba
Sijakataa. Ila kwa kwa Sasa ni maadui anaweza kuongea chochote. Halafu hata uchaguzi uliopita alisema hayo ila hakufanikiwa.
 
miguna anasema Baba hata cheti cha form four hana,na jana kasema Raila amataje hata mtu mmoja aliyesoma nae secondary school au Chuo.
Mbona alishasema hayo wakati wa uchaguzi na bado Raila akapitishwa kugombea?. Miguna amepotea kisiasa anajaribu kupambana na Odinga Ruto amuone.
 
Wewe ndio unasogeza goal post.


View attachment 2911472

Halafu hao AU pia wanashida ya ku defined roles.

AUC chairman and AUC chairperson kuna tofauti gani. Hata magazeti mengi hayajui tofauti.
Leo umepatikana huwa unajifanya mjuaji. AU chairperson ni Mwenyekiti wa vikao na anawakilisha Marais wa nchi wanachama. Ila Chairperson wa AU Commission ni mtendaji mkuu wa AU na ndio msimamizi wa Mali za AU Kama Taasisi. Hiyo nafasi zamani kipindi OAU iliitwa Katibu Mkuu.
 
Hivi kuna binadamu hawatosgeki ? Ana shida gani ? Kuna shida mahali....maana hata mke hamna kitu kichwani amelazimisha ubunge khsaa mtoto kilaza wa karne....lakini fitna na shirkii
Kwani akigombea ni kwa ajili ya shida!? Naamini ikiwa anagombea basi anataka kutoa mchango wake na nguvu zake kwa faida ya Africa.
Mbona rahisi tu
 
Back
Top Bottom