Ni kweli Jakaya Kikwete anagombea Uenyekiti wa Kamisheni ya AU?

Ni kweli Jakaya Kikwete anagombea Uenyekiti wa Kamisheni ya AU?

Daaah...nyie kwenu amna Elimu gani? Yaani mmefanya suala la uongozi sasa lionekane jepesi sana toka kikwete awe rais imeonesha kila mtu anaweza kuwa rais. Urais umekuwa Urahis. Keshokutwa na wewe utataka kuwa rais. Na kwa kuwa watanzania wengi ndo hivyo unapata urahisi.
No no no..Compare and contraat between Odinga na Jk.
That is my concern hapo. Jk is far better.

Ujue mkuu nyie ni walalamikaji tu watanzania, hamnaga jema nyie hata m bebwe migongoni. Nyie ni pye pye pyee midomoni, nothing to show.

Achen kulalamika lalamika, na hii ndio sababu ccm watawageuza geuza wanavyotaka
 
Nyie watanzania mmekata tamaa sana. Yaani mtu anaweza mfikiria kikwete kuwa kiongozi wa maana? Hamna watu kabisa inaonekana. Anyway. Ngoja nijiandae na safari yangu nyingine baada ya kutoka Ethiopia. Muwe na uchungu na nchi zenu nyie madogo.
U r right. But as far as Jk na Odinga are compared, JK is the best
 
Hivi kuna binadamu hawatosgeki ? Ana shida gani ? Kuna shida mahali....maana hata mke hamna kitu kichwani amelazimisha ubunge khsaa mtoto kilaza wa karne....lakini fitna na shirkii
wewe mwenye akili nyingi zilizozidi ubongo mbona kazi inaishia kusema wenzako tu?

ni akili gani hizo zinazoishia kuzungumzia wengine tu badala ya kufanya la maana?
 
Nyie watanzania mmekata tamaa sana. Yaani mtu anaweza mfikiria kikwete kuwa kiongozi wa maana? Hamna watu kabisa inaonekana. Anyway. Ngoja nijiandae na safari yangu nyingine baada ya kutoka Ethiopia. Muwe na uchungu na nchi zenu nyie madogo.
Wewe chizi tu huna lolote unalojuwa zaidi ya kuropoka ropoka tu kama mwehu.
 
Mtu mzima na mwenye busara taulo likimdondoka,huchutama.
Jitahidi uwe unasoma kwa utulivu na hata kurudia mara 10 ili uelewe.
Doesn’t even add up, hiyo nafasi wanayoiongelea ni technical post. Ni sawa na katibu mkuu wa wizara.

JK yeye anachojua ni porojo za siasa sio kusimamia wataalamu; ndio kabisa hilo halipo.
 
Wewe chizi tu huna lolote unalojuwa zaidi ya kuropoka ropoka tu kama mwehu.
Tulia na mwanaume mmoja. Usiwe na tamaa. Makonda akisoma hii text si atakasirika? Shauri yako. Alikutumia nauli ya kujia Dar? Lile ombi lako la kuwa ununuliwe boda boda anakuambia njoo Dar uchukue. Dogo jiandae... Ameshanunua mafuta.
 
Africa inataka amani
Haiwezi kuwa na amani ikiwa na wanafiq na ni bora kupigana na adui ambaye mmekunjiana uso kuliko kucheka na adui anayetabasamu na kisha anakuchoma kisu nyuma. Wanafiq ni wachawi na mashetani. Hapo namkumbuka Magufuli. Alikuwa straight sana.
 
wewe mwenye akili nyingi zilizozidi ubongo mbona kazi inaishia kusema wenzako tu?

ni akili gani hizo zinazoishia kuzungumzia wengine tu badala ya kufanya la maana?
Wahi buku saba umetimiza shidt yako
 
Wanaenda Kigali kufanya Nini? Acheni wivu wa kijinga. Kama mnapambana na waasi pambaneni nao wakiwa Congo. Mnahangaika na Rwanda ya Nini?. Kwenu Kuna shida ya sukari, Deni la nje limeongezeka, umeme shida, bima ya afya hospitali hazijalipwa etc. Ila unahangaika na kuovamia Rwanda ili update Nini?.

Wakati Banyamulenge wanamsaidia kabila miaka ya 1996 mbona hamkulalamika?. Ila Leo ndio mnalalamikia Banyamulenge. Acheni ujinga.
Hahaaaaa
Bosi Rwanda inakuuma sana
 
Doesn’t even add up, hiyo nafasi wanayoiongelea ni technical post. Ni sawa na katibu mkuu wa wizara.

JK yeye anachojua ni porojo za siasa sio kusimamia wataalamu; ndio kabisa hilo halipo.
Wanaotakiwa ukiacha sifa ya kuwa na masters, anatakiwa awe amewahi ku hold Senior position ya uongozi wa nchi kama waziri kwenda juu.

Hadhi ya huyo mtu ni sawa na Rais wa nchi.
 
Hujui hiyo vita hapo congo Ina athari kubwa ya uchumi Huku EAC?? Congo ilitulia ni faida kwa nchi za ukanda wa EAC....Wacha mventwaa wafurushwe
Ni sawa kama anaenda kuleta stability Congo DRC na sio kupambana na Rwanda.
 
Ukiwaweka kikwete na odinga kwenye mizani ya kiuongozi, odinga hamfikii hata nusu. Jk ame practise presidency not just competing kama huyo odinga. The guy has been number one kwenye nchi mashuhuri kama tanzania, huwez mlinganisha na Odinga. A trial n error presidency candidate, never. Anatembelea history tu ya baba ake not otherwise
Punguza dharau. Unajifanya kujua mambo kumbe boya tu. Huyo Kikwete si ndio alitumia majeshi Zanzibar kuzuia Maalim asiwe Rais wa Zanzibar na kumzonga Jecha mpaka akafuta matokeo?. Si ndio huyu Kikwete aliyeshindwa kuipa Tanzania katiba mpya?. Punguza maneno mengi.
 
Back
Top Bottom