chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,522
- 2,651
Pole mkuu,labda hujui tu hakuna jeshi lenye ubunifu east na central Africa especially kwenye mambo ya uzalishaji na uwekezaji kama jwtz Ina miradi mikubwa tu inafanya na tena kwa kupitia kamandi yao ya jkt ,ujenzi Wa ukuta ,reli sgr ,miradi ya nyumba yote tenda wanazipata kupitia SUMA jktTatizo JWTZ halizalishi ndio maana wanayafanya hayo,wabadilike wawe wanafanya pia na uzalishaji,maana kazi wanazofanya sio za jeshi kabisa,ma"KURUTI" ndio wanateseka sana kutwa kufyeka mapori tu.
Kwenye uzalishaji Mimi naona Magereza wanafanya vizuri. JWTZ ni porojo tu.Pole mkuu,labda hujui tu hakuna jeshi lenye ubunifu east na central Africa especially kwenye mambo ya uzalishaji na uwekezaji kama jwtz Ina miradi mikubwa tu inafanya na tena kwa kupitia kamandi yao ya jkt ,ujenzi Wa ukuta ,reli sgr ,miradi ya nyumba yote tenda wanazipata kupitia SUMA jkt
Jkt ni moja ya kamand ya jwtzKwenye uzalishaji Mimi naona Magereza wanafanya vizuri. JWTZ ni porojo tu.
JKT ni kamandi ya JWTZ?
Asee.. Kwa hiyo pale monduli huwa wanaenda kuharibu tax zetu tu?hivi Tanzania kuna jeshi au kichekesho?
maluten wao kazi yao ni kushinda chini miembe wanapiga story za madem na pombe tu.bora hata police wa Tanzania kazi yao inaonekana
Ukweli unabaki palepale huwezi ukamlinganisha mwanajeshi wa tz na mwanajeshi wa usa, usa watabaki kuwa juu! Askari wetu bado sana kwanza kuwalinganisha ni sawa namatusi,mwanafunzi hawezi kulinganishwa na mwalimu wake.Hayo ni matusi makubwa sana. Huyo Askari alikuwa ni nanga kwa miaka yote 30 aliyo kaa jeshini. Hajui hata majukumu ya Private jeshini na afisa mwandamizi kama General. General haendi front line, anaweza kaa mtaa wa Mirambo Upanga akapiganisha vita Butembo au Bunya DR Congo. Vile vile ajue course za msingi wanazo attend Majenerali ni sawa.
We jamaa siku hizi hayo maguvu yamepitwa na wakati zilikuwa enzi za akina Samsoni sikuhizi ni science na technologies.Lakini mkuu sisi tunavunja matofali kila mwaka[emoji16][emoji16] tunalalia misumari,tunavuta gari kwa shingo aseee General imara[emoji16][emoji16][emoji16]
Wee ni askari mpumbavu kwahiyo unapingana na katiba inayotoa haki ya kuandamana?? Kwahiyo tuna jeshi ambalo linawasubari watu wanye kambini ili liwaadhibu,???? Nina uhakika 100% we ni askari jwtz maana wapo wengi vilaza huko wasiojua kwanini wapo huko!!! Ebu rudia comment yako uone ulivo zero kichwani,askari wa hivi ni janga kuu uelewa mdogo mno.Eti andamana uone!!!! Askari mwelevu hawezi kukandamiza haki za kiraia hata cku moja bali atamlinda aandamane kwa Amani na ujumbe ufike kwa walengwa.Umeandika ujinga: kwanini nasema hivyo! Ni kwasababu unachokiongea hukijui, nikwasababu hauna evidences za kutosha, na watu kama nyie ndo mnaliuza taifa kwa kutojikibali, hiviii unafikiri kila kifanyikacho mpaka uwe na taarifa!
Kwenye proffession yoyte mbobeaji lazima awe na secrecy and confidentiality sasa mi sielewi unapo anza kubwabwajatu, sasa kukaa kwenye jua kali ndo kua strong au!
Alaf we kijana, jitahidi basi ujue kua tupo karne21 basii kwenye ilimwengu wa technolojia, sio kipindi cha classical au dark ages ambako watumia nguvu walikua wakipatikana kwa wingi, sahivi ni ulimwengu wa technolojia na akili na ndio maana zipo technology mbalimbali kwenye majeshi mengi hapa duniani,, nahayo huyajuitu bado!!!
Jeshi la nchi hii unahisi limegawanyika kwenye nyanja ngapi kwanza??
Kwanza we hata kambini unapajua wewe??
Laiti kama jeshi la nchi hii lisingekua imara hakika lisingekua likiaminika kwenye umoja wa mataifa.
Alaf kule ni vitengo, sio kilamtu ni mpiganaji, so kitu kama hujui tuliza mshono.
Inaonekana huna exposure ya wanajeshi wewe, sasa hebu sikumoja jitahidi hata kidogo unye kwenye mazingira ya kambi, Au andamana uone kama tz kuna jeshi au hakuna.
I accept my Ignorance,Wee ni askari mpumbavu kwahiyo unapingana na katiba inayotoa haki ya kuandamana?? Kwahiyo tuna jeshi ambalo linawasubari watu wanye kambini ili liwaadhibu,???? Nina uhakika 100% we ni askari jwtz maana wapo wengi vilaza huko wasiojua kwanini wapo huko!!! Ebu rudia comment yako uone ulivo zero kichwani,askari wa hivi ni janga kuu uelewa mdogo mno.Eti andamana uone!!!! Askari mwelevu hawezi kukandamiza haki za kiraia hata cku moja bali atamlinda aandamane kwa Amani na ujumbe ufike kwa walengwa.
Dunia imeshahama huko kwenye maguvu ya enzi za kale!
Sasa hivi linaelekea jua la kisogo alafu uzi haujafutwa.Usifananishe Jeshi la Marekani na upwupwu!
Hebu Editi kwanza ili ueleweke duh, mbona kama umeandika una jazba,.Kwanza me niongelee uzalendo wa Nchi! Aijawah tokea Us private akamuonea Raia wake kisa tu yeye ni solder ata robo zaid ya kuwalinda ata kama akiwa likizo! Tukija kwenye ii nchi etu ssa Unakuta private anataman atoke kambini ajee kitaa aje azinguane na raia apo kavua Jezi zake fresh akishapata wa kuzinguana nae kesho ake anarud na jezi kuja et kutoa mfano kwa alichojifunz alivokua Depo! kazi kuonea raia! apo akipangiwa aende congo roho inauma kbxa nae et ni solder [ SIO WOTE]
Mkuu ulitaka wafanye nini je kilasiku unakuta wanapiga hizo stor au majukumu yao unayajua ?
Inawezekana ikawa kweli...
Na kwa nini tuwa deploye kwenye war zone kama siku zote ni amani tuu...
Wale wanaopelekwaga Somalia au comorro zinarudigi combat tuu...
Cc: mahondaw
Bora hata jeshi la Rwanda linaenda battle Congo kutafuta Madini n. k...... LinazalishaJeshi letu linaandaliwa zaidi ktk utimamu wa mwili ila kiakili na tech ni zero kabixa,,,ndo maana unakuta wanatembea na kadi za ccm mfukoni,,hawajui maana halisi ya kuitwa jeshi la wananchi yaani wapo wapo tu,,wananchi hata wakandamizwe kiasi gani huwezi sikia linawatetea bali linakaa nyuma ya watawala kujadili jinsi ya kuwakabili wananchi,,,,,huwezi amini askari watu wana uelewa mdogo kuhusu elimu ya uraia na katiba ya nchi,,,uchumi wa marekani unajengwa na jeshi kupitia ugunguzi wa tech,operations mbali mbali nk lkn bongo jeshi ni parasite linanyonya tu. Wakati mwingine huwa nashangaa raisi kuwapa sifa zile labda kwa sababu hataki wamchukie lkn hawana tija linapokuja swala la kukuza uchumi wa nchi.