Jeshi letu linaandaliwa zaidi ktk utimamu wa mwili ila kiakili na tech ni zero kabixa,,,ndo maana unakuta wanatembea na kadi za ccm mfukoni,,hawajui maana halisi ya kuitwa jeshi la wananchi yaani wapo wapo tu,,wananchi hata wakandamizwe kiasi gani huwezi sikia linawatetea bali linakaa nyuma ya watawala kujadili jinsi ya kuwakabili wananchi,,,,,huwezi amini askari watu wana uelewa mdogo kuhusu elimu ya uraia na katiba ya nchi,,,uchumi wa marekani unajengwa na jeshi kupitia ugunguzi wa tech,operations mbali mbali nk lkn bongo jeshi ni parasite linanyonya tu. Wakati mwingine huwa nashangaa raisi kuwapa sifa zile labda kwa sababu hataki wamchukie lkn hawana tija linapokuja swala la kukuza uchumi wa nchi.