Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Alifanya Fellowship ya Moyo mkuu Usizushe kitu usichokijua..
Soma Hii Link
Mueleze vema. Alichosema ni sahihi hajasomea hilo eneo kwenye post graduate… kilichomfanya kuwa hapo ni hizo unazoziita fellowship au kwa jina lingîne ni professional certificates

Tunao cardiologist pure…. Janabi is not bali ana professional certificates
 
Ungesema sio watu wote waliosoma nje wamesoma vyuo vyenye hadhi kama Muhimbili hapo ungeeleweka, ila kuclaim yoyote aliesoma USSR, India ama China kapitwa na Muhimbili hii kamba mkuu, Unahisi mtu asome Chuo Prestigious kama St Petersburg Chuo kinachotoa watu walio badili dunia Umfananishe na Muhimbili?

Ukiangalia Hivyo vyuo Alivyosoma Janabi ndio kumegunduliwa vitu kama Vitamin B6, wametoa watu kibao walioshinda Noble prize etc ufananishe na Muhimbili kweli?
Mimi sibishani, nakuambia ukweli wa kiujumla jumla, sio uwezo binafsi wa mtu mmoja mmoja baada ya kuhitimu. Ikiwa kiujumla jumla utalinganisha (kwenye kutibu wagonjwa) wahitimu wa udaktari waliosoma Tz dhidi ya wahitimu wa udaktari waliosoma USSR, wote wakiwa fresh from university, utagundua tofauti kupitiliza, watanzania wametangulia mbali mnoo. Na siri ni ile ile, wahitimu wa taaluma ya udaktari kutoka Tanzania wana clinical practice exposure kubwa, nzuri na kutoshea mnoo.

Kama uamini hilo, nenda hata sasa huko mahospitalini utakuja kuniambia hapa hapa. Mimi nilikuwa mbishi kama wewe, baada ya kuchunguza mwenyewe nilibadili mtazamo kabisa. Nilikuwa siwakubali wala kuwaelewa wahitimu wa udaktari kutoka Tz, baada ya kuuguza mara kwa mara na kwenda hospitali mara kwa mara niligundua kitu cha tofauti kabisa.
 
Mara baada ya Rais Samia kutangaza kumpigia debe Professor Janabi ili kuiwakilisha Tanzania kwenye kinyang'anyiro cha ukurugenzi mkuu wa WHO kanda ya Afrika, watu wenye akili kubwa ikabidi waingie chimbo kufukua file lenye kubeba wasifu mbali mbali kumhusu Profesa Mohamed Janabi ili kuona ana kipi cha kielimu na kisayansi, na sasa imekuja kugundulika kuwa, kumbe mwamba hakuwahi kusomea udaktari bingwa wowote (Mmed) achilia mbali udaktari bingwa wa moyo (Cardiologist) na wala hana sifa zozote stahiki za kibingwa kutibu moyo.

Na kwa mifumo ya mamlaka za usimamizi wa fani ya utabibu hapa Tanzania (Medical Council of Tanganyika), daktari asiyekuwa na sifa za kibingwa za fani huzika haruhusiwi kutoa matibabu ya kibingwa moja kwa moja kwa mgonjwa, na kwa tafsiri ya moja kwa moja, Professor Janabi hakuwahi popote moja kwa moja kutibu kibingwa moyo, na kama aliwahi kufanya hivyo anastahili kushtakiwa kwenye baraza la madaktari kwa kutenda kosa la kimaadili katika fani ya udaktari.

Hapa chini nimeambanisha wasifu wa Professor Janabi wa kidaktari unaotambulika na mamlaka za usimamizi wa taaluma ya udaktari hapa Tanzania (MCT).

Mwisho kabisa, MCT wanatakiwa kutoa maelezo kwa umma, kwa hicho ulichowahi kusomea Professor Jababi (Masters of tropical health) ambacho hakina sifa yoyote ya udaktari bingwa wa moyo (maana mhitimu yoyote wa fani ya afya anaweza kusomea), kinampaje sifa mhusika kuwa daktari bingwa wa moyo?

View attachment 3173753
Specialist in what as per his registration as a medic practitioner? Huu usanii
 
Unachokiandika hakina hata mantiki, hufamu kitu, nenda katafiti upya.

Mtu unawezaje kufanya Fellowship ya ubingwa wa moyo (super specialist) kama hujawahi kuwa Daktari bingwa wa magonjwa ya ndani (internal medicine specialist)? Yaani mtoto ameanza kutembea na kuongea kabla ya kuzaliwa. Hakuna kitu kama hicho duniani.
Kuna baadhi ya nchi wanatoa hii hata kwa neurosurgery ipo bila kwenda general surgery
 
Mara baada ya Rais Samia kutangaza kumpigia debe Professor Janabi ili kuiwakilisha Tanzania kwenye kinyang'anyiro cha ukurugenzi mkuu wa WHO kanda ya Afrika, watu wenye akili kubwa ikabidi waingie chimbo kufukua file lenye kubeba wasifu mbali mbali kumhusu Profesa Mohamed Janabi ili kuona ana kipi cha kielimu na kisayansi, na sasa imekuja kugundulika kuwa, kumbe mwamba hakuwahi kusomea udaktari bingwa wowote (Mmed) achilia mbali udaktari bingwa wa moyo (Cardiologist) na wala hana sifa zozote stahiki za kibingwa kutibu moyo.

Na kwa mifumo ya mamlaka za usimamizi wa fani ya utabibu hapa Tanzania (Medical Council of Tanganyika), daktari asiyekuwa na sifa za kibingwa za fani huzika haruhusiwi kutoa matibabu ya kibingwa moja kwa moja kwa mgonjwa, na kwa tafsiri ya moja kwa moja, Professor Janabi hakuwahi popote moja kwa moja kutibu kibingwa moyo, na kama aliwahi kufanya hivyo anastahili kushtakiwa kwenye baraza la madaktari kwa kutenda kosa la kimaadili katika fani ya udaktari.

Hapa chini nimeambanisha wasifu wa Professor Janabi wa kidaktari unaotambulika na mamlaka za usimamizi wa taaluma ya udaktari hapa Tanzania (MCT).

Mwisho kabisa, MCT wanatakiwa kutoa maelezo kwa umma, kwa hicho ulichowahi kusomea Professor Jababi (Masters of tropical health) ambacho hakina sifa yoyote ya udaktari bingwa wa moyo (maana mhitimu yoyote wa fani ya afya anaweza kusomea), kinampaje sifa mhusika kuwa daktari bingwa wa moyo?

View attachment 3173753
Hehehehe, Vetting imeleta shida Tena😂😂😂😂😂
 

Mohamed Y. Janabi MD​


View: https://m.youtube.com/watch?v=gMrjqC5SvBM
Cardiology
Dar es Salaam, Dar es Salaam, Tanzania


Mohamed Janabi has received his medical training from premier institutes in Europe, Australia, Japan, and USA. MD from Kharkiv Medical Institute, Ukraine, Residence (master’s degree) under the supervision of Prof Ian Riley at the University of Queensland Herston Medical School campus Brisbane, Australia.

Received his PhD (cardiology) and post-doctorate (recipient of Japan Society for Promotion of Science) from Graduate School Osaka University Hospital, Department of Internal Medicine and Molecular Science, under supervision of Prof Yuji Matsuzawa (co-founder of Syndrome X).

In addition to clinical cardiology training in these institutions, Dr. Janabi has been attached as a senior clinician at Fazarkeley Hospital Liverpool (under Prof Nicholas Beeching), Bergen University Norway (under Jan Erik), and medical University of South Carolina USA (Prof Eric Powers and Peter Zwerner) when he still retains his faculty position at the department of cardiology MUSC.

Furthermore, has a keen interest in academics (Honorary Lecturer with Muhimbili University of Health Allied Sciences-MUHAS) and research. He has a number of publications in various national and international journals.


He has been a mentor for students undergoing training in Cardiology (MSc) and residents of Internal Medicine at Jakaya Kikwete Cardiac Institute and MUHAS. Has been invited as faculty in various national and international meetings.

Dr. Janabi is the Executive Director of the Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI), Dar es Salaam Head, and Physician to former President of the United Republic of Tanzania.

Dr. Janabi has a rich training history of truly global proportions. Dr. Janabi is a graduate of the Kharkiv Medical Institute (Russia), Liverpool School of Tropical Medicine (England), University of Queensland Medical School (Australia), Graduate School of Medicine Osaka University Hospital (Japan), and Bergen University (Norway).

Dr. Janabi is involved in several research projects and is the principal investigator on the Atrial Fibrillation study RELY (Multinational), and the Principal Investigator TB/HIV study (multinational). Dr. Janabi is also the in-country director for Madaktari Africa. Dr. Janabi is also the host of the East African Cardiology Conference and lead on starting the first ACC chapter in Africa
 
Mimi sibishani, nakuambia ukweli wa kiujumla jumla, sio uwezo binafsi wa mtu mmoja mmoja baada ya kuhitimu. Ikiwa kiujumla jumla utalinganisha (kwenye kutibu wagonjwa) wahitimu wa udaktari waliosoma Tz dhidi ya wahitimu wa udaktari waliosoma USSR, wote wakiwa fresh from university, utagundua tofauti kupitiliza, watanzania wametangulia mbali mnoo. Na siri ni ile ile, wahitimu wa taaluma ya udaktari kutoka Tanzania wana clinical practice exposure kubwa, nzuri na kutoshea mnoo.

Kama uamini hilo, nenda hata sasa huko mahospitalini utakuja kuniambia hapa hapa. Mimi nilikuwa mbishi kama wewe, baada ya kuchunguza mwenyewe nilibadili mtazamo kabisa. Nilikuwa siwakubali wala kuwaelewa wahitimu wa udaktari kutoka Tz, baada ya kuuguza mara kwa mara na kwenda hospitali mara kwa mara niligundua kitu cha tofauti kabisa.
Wahitimu wa vyuo gani bongo na miaka ipi ni prime kwa sifa hizo?
 
Fellowship[emoji16][emoji16][emoji6][emoji6]
Huo ndo ubobezi kwenye kutibu moyo?

Anyway hata hivyo hakuwahi kutibu bali alikuwa mtawala ktk hospitali ya JKSI na alikua anashiriki na madaktari bingwa kama msaidizi(kama walivyo manesi) wakati wa operation.
Hawezi kuwa second oncall kwenye ishu ya moyo[emoji3][emoji2][emoji3][emoji2][emoji3][emoji2]
Kwahiyo huko WHO atatakiwa kwenda kufanya operation au?
 
Certificate ya USSR miaka ya 80 ni sawa na PHD 10 za jalalani kwenu, Dogo heshimu hustle za watu 🤣🤣
Wasomi wa kibongo huwa wanachekesha sana,eti wanadhani kuwa na makaratasi mengi ya UDSM au MZUMBE ndio kuwa na competence.
Wewe unataka kushindana na mtu aliyehitimu degree 3 za Ulaya kwa elimu yetu ya kukariri vitu kwenye makaratasi bila kuviona physically.
 
Mimi sibishani, nakuambia ukweli wa kiujumla jumla, sio uwezo binafsi wa mtu mmoja mmoja baada ya kuhitimu. Ikiwa kiujumla jumla utalinganisha (kwenye kutibu wagonjwa) wahitimu wa udaktari waliosoma Tz dhidi ya wahitimu wa udaktari waliosoma USSR, wote wakiwa fresh from university, utagundua tofauti kupitiliza, watanzania wametangulia mbali mnoo. Na siri ni ile ile, wahitimu wa taaluma ya udaktari kutoka Tanzania wana clinical practice exposure kubwa, nzuri na kutoshea mnoo.

Kama uamini hilo, nenda hata sasa huko mahospitalini utakuja kuniambia hapa hapa. Mimi nilikuwa mbishi kama wewe, baada ya kuchunguza mwenyewe nilibadili mtazamo kabisa. Nilikuwa siwakubali wala kuwaelewa wahitimu wa udaktari kutoka Tz, baada ya kuuguza mara kwa mara na kwenda hospitali mara kwa mara niligundua kitu cha tofauti kabisa.
Umechunguza wapi? Watu kibao wanakimbia Hospital za Serikali ambazo hao uliowasifia wamejaa, na Wana kwenda Hospitali za Private kwenye Madaktari bingwa, Nenda Hospitali kubwa kubwa nchi hii uone walivyojaa hao unaosema hawajui na nenda Amana, Muhimbili, temeke na Mwananyamala niambie wamejaa wapi kama sio Hao unaowasifia halafu linganisha Quality ya Huduma.
 
Sasa kipenyo taarifa zake uzikute MCT

Pia ni kawaida madaktari tukimaliza sio wote masters tunaenda kubobea ubingwa wa magonjwa
. Wengine huenda

Parasitology
Microbiology
Mph
Na course zingine nyingi

Huyo ni afisa wa serikali

Wala hawezi kuwa mkurugenzi WHO nafasi tushaporwa
 
Alifanya Fellowship ya Moyo mkuu Usizushe kitu usichokijua..
Soma Hii Link
Achana nao MCT hua haionyeshi qualifications zote kwanza
 
Hii Elimu yake inatusaidia nini kwa Kipindi hiki?

Jambo la Msingi aungwe Mkono.

Huu Upuuzi wa Elimu umebakia sana hapa kwetu Africa Mashariki.

Huko kwa Mabeberu kinachoangaliwa ni Uwezo wako Ku deliver.

Tuachaneni na Hizo mambo za Kuangalia Elimu , hazilijengi Taifa.
Endeleeni kupuuza elimu. Tuna wabunge darasa la saba ,tuna baadhi ya mawaziri cv nyepesi na kadhalika.
 
Ukileta criteria ya Mmed ya Internal medicine wewe unakuwa umetumia standard za wapi Tanzania au U.S hebu nijibu hapo.

Na kwa uelewa wako Janabi sasa kama unavyodai anapractice kama mbobezi wa kitu gani huko?
Hapa tunazungumzia sifa za kuwa daktari bingwa mbobezi kwa kanuni, taratibu na sheria za baraza la madaktari la Tanganyika (MCT), standard za MCT zinashahabiana mnoo na nchi nyingi za Africa zilizopiga hatua kwenye fani ya utabibu kama Kenya, Ghana, Nigeria, South Africa. Huna Mmed ya internal medicine huna sifa za kusomea ubobezi wa moyo. Na kwa ubingwa ubobezi wa watoto, huna Mmed ya watoto (paediatric) huna ubobezi wa moyo.

Kwa nchi zilizoendelea sana kama USA, UK, Germany, France, Canada mziki wa kuwa Daktari bingwa wa moyo ni mchakato mrefu, mpana na mzito. Kwa alichosomea Professor Janabi huko anaweza kuishia masijala tu akihifadhi kumbukumbu za taarifa ya wagonjwa.
 
Back
Top Bottom