Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Kuna mtu hapo nimemuuliza swali jepesi anajua fellowship ya cardiology inachukua miaka mingapi na inahusu nini hajajibu .

Hapo ndio nilipocheka na kufunga mjadala maana naona nitajadiliana na mtu ambaye mada imemzidi kimo.
There are several cardiology fellowship programs in the United States, including:

  • General Cardiovascular Medicine Fellowship
    A three-year program that provides training in clinical cardiology and cardiovascular research. The first two years are focused on core clinical training, and the third year is individualized.

  • Cardiovascular Diseases Fellowship
    A three-year program at the Mayo Clinic in Rochester, Minnesota that prepares fellows for academic medicine. The first two years satisfy the American College of Cardiology's Core Cardiovascular Training Statement (COCATS) requirements.

  • Advanced Interventional Cardiology Fellowship
    A one-year program that provides training in cardiac interventional procedures. Fellows work with a faculty mentor on a research project and can participate in a second year of training if they have an interest in peripheral or structural heart disease interventions.

  • Interventional Cardiology Fellowship
    A one-year program at UCSF that teaches fellows a range of diagnostic and interventional peripheral angiographic procedures.

  • Prevention Fellowship
    A one-year program at UCSF that trains general, non-invasive cardiologists to obtain expertise in prevention.
 
Kama katika hizo hospitali kubwa unazozisemea halafu hao madaktari unaowasemea ni watanzania, nina kuhakikishia bila shaka yoyote, walio wengi utaalamu wao wa msingi wa kutibu vyema wameupatia hapa Tanzania.

Kama huamini, chukua jina la yoyote, kisha nenda kacheck MCT doctor search utaona professional status zao, na zitaonyesha ni wapi walisomea.
Nimekupa Mfano Sarungi, Hebu weka jina lake Tupe Matokeo
 
Si Kweli Hospitali Private (Sizungumzii Dispensaries za mtaani) kubwa kama Aga Khan, Seifee, na nyengine Mjini/Upanga zina madaktari Bingwa ambao wengi sio zao la Tanzania, na wengine nawafahamu personally wanavuta si chini 20M kwa mwezi.

Na hata Madaktari Bingwa Nchi hii ambao Tunajivunia kina Dr Sarungi na wengineo si zao la Nchi hii,
Unazungumzia habari za kina Dr. Sarungi ambao zama hizo walikuwa ni wao pekee kwa uchache walikuwa wamesomea ubingwa, tena nje kwa kuwa Tanzania hakukuwa na vyuo vya kufundisha mabingwa wa kutosha wa fani kama mifupa. Kwa sasa mambo yamebadilika mnoo.

Nenda sasa pale Muhimbili (MOI) ukakutane na vijana wadogo na wamoto sana wakijifunza vilivyo kuchoronga na kurekebisha mfupa kisasa kabisa.

Mwisho labda nikuambie ukweli, karibu madaktari bingwa wote wazuri wa pale Muhimbili ukija Aga Khan, Regency, Selfee, Hindu Mandal utakutana nao tena. Ni madaktari wale wale.
 
Mara baada ya Rais Samia kutangaza kumpigia debe Professor Janabi ili kuiwakilisha Tanzania kwenye kinyang'anyiro cha ukurugenzi mkuu wa WHO kanda ya Afrika, watu wenye akili kubwa ikabidi waingie chimbo kufukua file lenye kubeba wasifu mbali mbali kumhusu Profesa Mohamed Janabi ili kuona ana kipi cha kielimu na kisayansi, na sasa imekuja kugundulika kuwa, kumbe mwamba hakuwahi kusomea udaktari bingwa wowote (Mmed) achilia mbali udaktari bingwa wa moyo (Cardiologist) na wala hana sifa zozote stahiki za kibingwa kutibu moyo.

Na kwa mifumo ya mamlaka za usimamizi wa fani ya utabibu hapa Tanzania (Medical Council of Tanganyika), daktari asiyekuwa na sifa za kibingwa za fani huzika haruhusiwi kutoa matibabu ya kibingwa moja kwa moja kwa mgonjwa, na kwa tafsiri ya moja kwa moja, Professor Janabi hakuwahi popote moja kwa moja kutibu kibingwa moyo, na kama aliwahi kufanya hivyo anastahili kushtakiwa kwenye baraza la madaktari kwa kutenda kosa la kimaadili katika fani ya udaktari.

Hapa chini nimeambanisha wasifu wa Professor Janabi wa kidaktari unaotambulika na mamlaka za usimamizi wa taaluma ya udaktari hapa Tanzania (MCT).

Mwisho kabisa, MCT wanatakiwa kutoa maelezo kwa umma, kwa hicho ulichowahi kusomea Professor Jababi (Masters of tropical health) ambacho hakina sifa yoyote ya udaktari bingwa wa moyo (maana mhitimu yoyote wa fani ya afya anaweza kusomea), kinampaje sifa mhusika kuwa daktari bingwa wa moyo?

View attachment 3173753
Mtoa maada umekurupuka sanaa, binafsi muda ule ule SSH alivyosema niliingia online nikaangalia vyanzo kama vinne hivi jamaa ana CV nzuri tu. Moja ya detailed CV mdau ameweka hapo juu. We umeenda kuchukua chanzo kimoja ambacho hakina taarifa za kutosha.

Japo nilitamani jamaa awe na qualifications flani za sheria zinasaidia kwenye uelewa wa baadhi ya policies hasa za kimataifa, kitu ambacho ilikuwa added advantage kwa Ndungulile.
 
Unazungumzia habari za kina Dr. Sarungi ambao zama hizo walikuwa ni wao pekee kwa uchache walikuwa wamesomea ubingwa, tena nje kwa kuwa Tanzania hakukuwa na vyuo vya kufundisha mabingwa wa kutosha wa fani kama mifupa. Kwa sasa mambo yamebadilika mnoo.

Nenda sasa pale Muhimbili (MOI) ukakutane na vijana wadogo na wamoto sana wakijifunza vilivyo kuchoronga na kurekebisha mfupa kisasa kabisa.

Mwisho labda nikuambie ukweli, karibu madaktari bingwa wote wazuri wa pale Muhimbili ukija Aga Khan, Regency, Selfee, Hindu Mandal utakutana nao tena. Ni madaktari wale wale.
Wewe hoja yako ya mwanzo umesema madaktari wote hadi wa 80s toka hizo Nchi hawana kitu, usianze kukataa ulichoandika,

Na si kweli kuna Madaktari kibao hizo Hospitali sio zao la Muhimbili, in short kuna kozi hata Tanzania hazipatikani kibao.

There is a reason kwanini hao madaktari wakubwa wakubwa Tanzania wamesoma Nje.
 
Prof. Mohamed Yakub Janabi

Accreditations & Qualifications

MD., MSc., PhD. and Fellow of American College of Cardiology (FACC)

Certified Aviation Medical Examiner by FAA-USA

Career

CEO – MNH, Oct 2022 - Present

CEO- JKCI, 2015 - Sept 2022

Head, Physician to former President of United Republic of Tanzania (2005 - Present)

Faculty Member of Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) (2000 - Present)

Faculty Member of Medical University of South Carolina, USA (2003 - Present)

Corporate Governance Experience

Council Member MUHAS - Oct 2022 - Present

Board Member Jakaya Kikwete Cardiac Institute – Oct 2022 - Present

Board Member Ocean Road Cancer Institute - Oct 2022 - Present

Board Member SUA (2015 - Present)

Senior Researcher Scientist HIV Vaccine Trial (TaMoVac) (1998-2002)

Medical Director at Madaktari Africa, a USA-based NGO (Tanzania)

CEO Muhimbili National Hospital

Note

Prof. Janabi has made over 83 publications

Prof. has a good command of Kiswahili, English, Russian, and Japanese

He is a husband



Sasa ubobezi wake uko wapi.


Soma hapa:-


Very simple and interested mdogo wangu,ukisoma degree ya kwanza ambayo inachukua miaka mitano with one year of internship hapo utakuwa unaitwa MD,yaani Doctor Of Medicine,degree ya pili yaani master huwa tunaiita SPECIALIZATIONS hiyo ndiyo inaitwa "udaktari bingwa",unaweza somea specialization ya surgery(upasuaji),obestric and gynaecology(wakina mama na watoto),opthamology,laryngelogy,internal surgery,psychiatry etc,zipo nyingi sana wewe tu na GPA yako nzuri ya MD,Thank
Mkuu, Hoja ya Mleta Uzi ni kwamba, Prof hana Ubingwa wa Magonjwa ya Moyo, akimaanisha kwamba, hajasoma Mmed (Masters of Medicine) in Internal Medicine na kisha kuspecialize kwenye Magonjwa ya Moyo. Kwenye CV, tunaona Prof ana MSc (Masters of Science) in Tropical Health, siyo Mmed.

Swali kwako, hizo specialization ulizozitaja, unaweza kusoma bila kuwa na Mmed?
 
Mkuu, Hoja ya Mleta Uzi ni kwamba, Prof hana Ubingwa wa Magonjwa ya Moyo, akimaanisha kwamba, hajasoma Mmed (Masters of Medicine) na kisha kuspecialize kwenye Magonjwa ya Moyo. Kwenye CV, tunaomba Prof ana MSc (Masters of Science) ambayo haijulikani ni ya nini, na siyo Mmed.

Swali kwako, hizo specialization ulizozitaja, unaweza kusoma bila kuwa na Mmed?
Watanzania tuwe Wazalendo tunaweza kumuharibia hadi Dr Tulia PhD

Lucas Mwashambwa 😂
 
Pengine wewe ndio huelewi ulichokiandika.

Mosi Unaelewa kwanza fellowship ni nini?[ yaani inahusu kitu gani].

Pili unaelewa fellowship kwaUS kwenye cardiology inachukua miaka mingapi?

Na tatu unaelewa mtu akimaliza fellowship anaenda kuwa nani?

Mimi naishi hapa nikwambie tu mfumo wa N.America particularly U.S na CA huwezi kusoma degree let's say ya Medicine kama hujafanya first degree ya science.

Ukimaliza hapo ndio unaweza fanya M.D , the same to law huwezi fanya L.L.B kama hujafanya shahada ya kwanza katika kitu kingine ndio uende LLM au JD[ hii sijui kwa Tanzania equivalent yake ni nini]

Huyo Janabi alifanya hiyo akiwa na shahada tayari hivyo alikuwa qualified kuingia kwenye ubobezi.
Dah!
Nakusikitia sana, umeandika usichokijua. Sikuja hapa JF kabla ya kuuliza, kudadisi na kuchunguza mwenyewe.

Kwa kukusaidia tu, neno fellowship lisikupe shida, ni neno la kawaida katika kujifunza professional yoyote. Narudia kuandika hapa, Professor Janabi hakuwahi kufanya Mmed ya internal medicine (udaktari bingwa wa magonjwa ya ndani) ambayo ndio sifa ya msingi ya kuweza kusomea superspecialist ya moyo. Professor hakuwahi kufanya. Kama aliwahi kusoma ni lazima Professional profile yake kule MCT ingesoma tu.
 
Huw
Huwezi kufanya fellowship ya kuja kuwa Daktari bingwa wa moyo kama hujawahi kufanya Mmed ya internal medicine. Hiyo ndio standard ya duniani nzima, na ndio standard ya iliyopo MCT mpaka sasa.

Kama huamini, leta status ya MCT yenye kuonyesha Professor Janabi hiyo Fellowship yake imekubalika na MCT.
Madaktari wengi wa hapa ni hovyo sana.
Mlimpiga vita Dr Ferdinad Masau aliyekuwa wa kwanza kuanzisha heart institute na figisu na fitna nyingi hadi mzee wa watu akafilisiwa na kufa.
Akaja mzungu mmoja kuwa director Muhimbili mambo yalibadilika sana,naye mkampiga zengwe ili mchukue nafasi ninyi mafisadi wakubwa.
Mungu ni mwema akatuletea Prof Janabi mtu kweli kweli ,muadilifu na mimi ndiye namuona daktari wa pekee wa kisasa Tanzania.
Naye mnataka kutuaminisha hajasoma- upuuzi mtupu.
Ukisikiliza madaktari wengi wanatoa elimu,wanalisha watu matango pori sana.Mimi namheshimu Prof ni daktari wa kisasa,tofauti na wengi mmesoma kwa kukariri na huwa ham reason
 
Back
Top Bottom