Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Dah!
Nakusikitia sana, umeandika usichokijua. Sikuja hapa JF kabla ya kuuliza, kudadisi na kuchunguza mwenyewe.

Kwa kukusaidia tu, neno fellowship lisikupe shida, ni neno la kawaida katika kujifunza professional yoyote. Narudia kuandika hapa, Professor Janabi hakuwahi kufanya Mmed ya internal medicine (udaktari bingwa wa magonjwa ya ndani) ambayo ndio sifa ya msingi ya kuweza kusomea superspecialist ya moyo. Professor hakuwahi kufanya. Kama aliwahi kusoma ni lazima Professional profile yake kule MCT ingesoma tu.
Ngoja nikuulize tena hili swali.

Mtu aliyefanya Doctor of Pharmacy [PharmD] U.S , Tanzania anatambulika kama nani?
 
Lakini inatutia doa sana kuupeleka ujinga wetu kimataifa,yaani wenzetu wanapambana kupeleka vichwa sisi tunapeleka vituko?

Aibu sana bora kama waliona hamna mwengine zaidi yake wangeuchuna tu ingekuwa siyo kesi.
Kule wanaangalia cv na sio mhamashishaji
Jamaa kwa huku ndani ni daktari mzuri hilo halina ubishi ila ana-cv ya kawaida
 
Mara baada ya Rais Samia kutangaza kumpigia debe Professor Janabi ili kuiwakilisha Tanzania kwenye kinyang'anyiro cha ukurugenzi mkuu wa WHO kanda ya Afrika, watu wenye akili kubwa ikabidi waingie chimbo kufukua file lenye kubeba wasifu mbali mbali kumhusu Profesa Mohamed Janabi ili kuona ana kipi cha kielimu na kisayansi, na sasa imekuja kugundulika kuwa, kumbe mwamba hakuwahi kusomea udaktari bingwa wowote (Mmed) achilia mbali udaktari bingwa wa moyo (Cardiologist) na wala hana sifa zozote stahiki za kibingwa kutibu moyo.

Na kwa mifumo ya mamlaka za usimamizi wa fani ya utabibu hapa Tanzania (Medical Council of Tanganyika), daktari asiyekuwa na sifa za kibingwa za fani huzika haruhusiwi kutoa matibabu ya kibingwa moja kwa moja kwa mgonjwa, na kwa tafsiri ya moja kwa moja, Professor Janabi hakuwahi popote moja kwa moja kutibu kibingwa moyo, na kama aliwahi kufanya hivyo anastahili kushtakiwa kwenye baraza la madaktari kwa kutenda kosa la kimaadili katika fani ya udaktari.

Hapa chini nimeambanisha wasifu wa Professor Janabi wa kidaktari unaotambulika na mamlaka za usimamizi wa taaluma ya udaktari hapa Tanzania (MCT).

Mwisho kabisa, MCT wanatakiwa kutoa maelezo kwa umma, kwa hicho ulichowahi kusomea Professor Jababi (Masters of tropical health) ambacho hakina sifa yoyote ya udaktari bingwa wa moyo (maana mhitimu yoyote wa fani ya afya anaweza kusomea), kinampaje sifa mhusika kuwa daktari bingwa wa moyo?

View attachment 3173753
So mkuu basi tukupendekeze wewe basi uende huko WHO lakini inaonekana wivu wa kijinga ndiyo unaokusumbua.
 
Ni siasa tu, Professor Janabi asingeweza kumtibu moyo Magufuli, hakuwa na sifa hizo wala ujuzi huo. Tunaelezwa kuwa Magufuli alikuwa akitibiwa na vichwa vya ukweli kutoka pale JKCI labda na few experts kutoka nje (eg. Nairobi, South Africa, Israel, Germany, Uk).
Dk kisenge ndo mpaka dakika za mwisho alikuwa daktari wa magufuli
 
Ngoja nikuulize tena hili swali.

Mtu aliyefanya Doctor of Pharmacy [PharmD] U.S , Tanzania anatambulika kama nani?
Akija hapa Tanzania TCU wata equivalent hicho alichosomea kama Degree of Pharmacy, na atatambulika kama mfamasia tena baada ya kuomba usajiri (ikiwemo kufanya mitihani ya bodi ya famasia).
 
Mkuu hawa watu kuwaelewesha ni kazi , mimi ni muumini wa meritocracy.

Ndio maana mimi huwezi kukuta mtu aliyepewa udaktari kama ice cream design ya mama nimuite Dr.

Janabi shule amefanya tumkosoe kwa vingine [kama ambavyo kuna mtu kasema tangu aingie gharama za matibabu zimepanda MHN] , japo tunaaminishwa humu na machawa mama amefanikisha sijui mama anaupiga mwingi na ujinga mwingine.
Hoja ya Mleta mada siyo kwamba Prof hajasoma bali Prof hajasomea na hana Udaktari Bingwa wa Moyo kama ambavyo anatambulika kwa kuwa hajasoma Mmed (Masters of Medicine) in Internal Medicine kwanza kabla ya hiyo Fellowship ya Moyo kwa mujibu wa taratibu zilizopo.

Unajua zamani au mpaka sasa vijijini, hata waliosoma Clinical Officer au Assistant Medical Officer, wanaitwa nankujulikana Madaktari (kwa maana ya Medical Doctor) ilhali hawana/hawajasoma Degree of Medicine.


Ni vizuri tujaribu kumuelewa Mleta Hoja, na kujibu Hoja zake kwa ufasaha. Tuepueke mihemuko kisa anayeongelewa ni Prof.
 
Unajua Maana Ya Fellowship??
🤣🤣
Unajua Kuna Wakati kuna Maswala tuyaache tu..
Mmed Za janab zote unazijua??

Angewezaje kusoma Msc Bila Kusoma Mmed?
Sio Vyote Vinaandikwa MCT..
Kasoma MMED internal medicine hapo hapo University of Queensland in Australia Mwaka 1996 ndo alimaliza..
Fellowship alifanya na Cardiology..

Fellowship Kafanya kutoka Fellow American College of Cardiology (FACC) mwaka 1996/97 Mpaka 98

Internal Medicine and Molecular Science, Graduated in School of Medicine Osaka University Hospital Osaka, Japan 2000 (Post Doctorate)

Bergen University Norway Cardiology Department
and Medical University of South Carolina-USA Clinical attachment ya mwaka 2005
Unaweza kuwa unamuelewesha mtu hivi kumbe kasoma zake HKL hata hakuelewi anakazania ubishi tu
 
Njoo na facts, acha ushabiki.
Mimi ni miongoni mwa watu wanaomkubali sana Professor Janabi kutokana na namna anavyoamsha jamii kwenye masuala ya afya.
Lakini hili la kutokuwa na elimu husika ya kutibu moyo kibingwa halafu ajipashike lazima nilipinge. Nyeusi tuiite nyeusi na sio nyeupe.
Niko pamoja na wewe,watu wengi wanamsikiliza wakaiamini ni bingwa wa moyo
 
Sasa kipenyo taarifa zake uzikute MCT

Pia ni kawaida madaktari tukimaliza sio wote masters tunaenda kubobea ubingwa wa magonjwa
. Wengine huenda

Parasitology
Microbiology
Mph
Na course zingine nyingi

Huyo ni afisa wa serikali

Wala hawezi kuwa mkurugenzi WHO nafasi tushaporwa
Natamani ungesema neno kuhusu sifa/taratibu za kuwa /kusomea Udaktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo, maana, ndiyo Hoja hasa ya Mleta mada kuhusu Prof.
 
Akija hapa Tanzania TCU wata equivalent hicho alichosomea kama Degree of Pharmacy, na atatambulika kama mfamasia tena baada ya kuomba usajiri (ikiwemo kufanya mitihani ya bodi ya famasia).
Mfamasia Tanzania anasoma miaka mingapi?

Doctor of Pharmacy ( PharmD)? inasomwa miaka mingapi U.S.

Criteria gani zitamruhusu mtu kufanya mtihani wa bodi ya PCTZ.

Na Criteria gani zitamruhusu mtu kufanya NAPLEX ?

Mtu akishafanya NAPLEX ataruhusiwa kufanya practice moja kwa moja bila kufanya mtihahi PCTZ ?

Na je mtu mwenye leseni ya PCTZ anaruhusiwa kufanya practice U.S bila kufanya NAPLEX?
 
Mara baada ya Rais Samia kutangaza kumpigia debe Professor Janabi ili kuiwakilisha Tanzania kwenye kinyang'anyiro cha ukurugenzi mkuu wa WHO kanda ya Afrika, watu wenye akili kubwa ikabidi waingie chimbo kufukua file lenye kubeba wasifu mbali mbali kumhusu Profesa Mohamed Janabi ili kuona ana kipi cha kielimu na kisayansi, na sasa imekuja kugundulika kuwa, kumbe mwamba hakuwahi kusomea udaktari bingwa wowote (Mmed) achilia mbali udaktari bingwa wa moyo (Cardiologist) na wala hana sifa zozote stahiki za kibingwa kutibu moyo.

Na kwa mifumo ya mamlaka za usimamizi wa fani ya utabibu hapa Tanzania (Medical Council of Tanganyika), daktari asiyekuwa na sifa za kibingwa za fani huzika haruhusiwi kutoa matibabu ya kibingwa moja kwa moja kwa mgonjwa, na kwa tafsiri ya moja kwa moja, Professor Janabi hakuwahi popote moja kwa moja kutibu kibingwa moyo, na kama aliwahi kufanya hivyo anastahili kushtakiwa kwenye baraza la madaktari kwa kutenda kosa la kimaadili katika fani ya udaktari.

Hapa chini nimeambanisha wasifu wa Professor Janabi wa kidaktari unaotambulika na mamlaka za usimamizi wa taaluma ya udaktari hapa Tanzania (MCT).

Mwisho kabisa, MCT wanatakiwa kutoa maelezo kwa umma, kwa hicho ulichowahi kusomea Professor Jababi (Masters of tropical health) ambacho hakina sifa yoyote ya udaktari bingwa wa moyo (maana mhitimu yoyote wa fani ya afya anaweza kusomea), kinampaje sifa mhusika kuwa daktari bingwa wa moyo?

View attachment 3173753
Kuna wakati inabidi tukubaliana kwamba sio Kila kitu mtu unakuwa na uelewa nacho kama hujui kitu uliza ueleweshwe la sivyo utajitia aibu .
 
Dk kisenge ndo mpaka dakika za mwisho alikuwa daktari wa magufuli
Hapo umenena ukweli.
Huyo msela (Dr. Kisenge?) amesoma na ana tibu moyo mpaka sasa. Professional profile yake kule MCT inaonyesha ana Md, Mmed (internal medicine) na Msc (Cardiology) ambayo ndio cardiac superspecialist.
Naambiwa hata kesho ukitinga pale JKCI una shida ya moyo atakutibu yeye mwenyewe fresh na kwa uhakika.

Hicho kitu Prof Janabi hana na hawezi. Why? Hakusomea.
 
Hoja ya Mleta mada siyo kwamba Prof hajasoma bali Prof hajasomea na hana Udaktari Bingwa wa Moyo kama ambavyo anatambulika kwa kuwa hajasoma Mmed (Masters of Medicine) in Internal Medicine kwanza kabla ya hiyo Fellowship ya Moyo kwa mujibu wa taratibu zilizopo.
Kaileta nje ya context hasa bila kujua kwa kina exposure ni muhimu.

Nitamkosoa Janabi kwa vitu vingine sio elimu yake..

Unajua zamani au mpaka sasa vijijini, hata waliosoma Clinical Officer au Assistant Medical Officer, wanaitwa nankujulikana Madaktari (kwa maana ya Medical Doctor) ilhali hawana/hawajasoma Degree of Medicine.
Hii unaongelea miaka mingapi nyuma ?
Ni vizuri tujaribu kumuelewa Mleta Hoja, na kujibu Hoja zake kwa ufasaha. Tuepueke mihemuko kisa anayeongelewa ni Prof.
Yeye mwenyeww kaleta mada asiyoelewa ndio maana unaona anaruka viunzi.
 
Hapo umenena ukweli.
Huyo msela (Dr. Kisenge?) amesoma na ana tibu moyo mpaka sasa. Professional profile yake kule MCT inaonyesha ana Md, Mmed (internal medicine) na Msc (Cardiology) ambayo ndio cardiac superspecialist.
Naambiwa hata kesho ukitinga pale JKCI una shida ya moyo atakutibu yeye mwenyewe fresh na kwa uhakika.

Hicho kitu Prof Janabi hana na hawezi. Why? Hakusomea.
Unajua sana Mwamba....Umetisha
 
Ni siasa tu, Professor Janabi asingeweza kumtibu moyo Magufuli, hakuwa na sifa hizo wala ujuzi huo. Tunaelezwa kuwa Magufuli alikuwa akitibiwa na vichwa vya ukweli kutoka pale JKCI labda na few experts kutoka nje (eg. Nairobi, South Africa, Israel, Germany, Uk).
Yeye alikuwa mpenyeza taarifa kwenda kwa Kikwete na wapambe wa JK kama wakina Zitto
 
Mfamasia Tanzania anasoma miaka mingapi?

Doctor of Pharmacy ( PharmD)? inasomwa miaka mingapi U.S.

Criteria gani zitamruhusu mtu kufanya mtihani wa bodi ya PCTZ.

Na Criteria gani zitamruhusu mtu kufanya NAPLEX ?

Mtu akishafanya NAPLEX ataruhusiwa kufanya practice moja kwa moja bila kufanya mtihahi PCTZ ?

Na je mtu mwenye leseni ya PCTZ anaruhusiwa kufanya practice U.S bila kufanya NAPLEX?
Sijui chochote kuhusu NAPLEX wala miaka ya kusomea Doctor of Pharmacy huko USA.

Ninachokifahamu ni kuhusu sifa za mtu kuwa mfamasia hapa Tanzania. Na ziko mbili tu.
1. Kuwa na degree ya Pharmacy inayotambulika na TCU.
2. Kusajiriwa katika bodi ya famasi ya (katika hali ya kawaida mhusika anfanya na kufaulu mtihani wa bodi)
 
Back
Top Bottom