Mueleze vema. Alichosema ni sahihi hajasomea hilo eneo kwenye post graduate… kilichomfanya kuwa hapo ni hizo unazoziita fellowship au kwa jina lingîne ni professional certificatesAlifanya Fellowship ya Moyo mkuu Usizushe kitu usichokijua..
Soma Hii Link
Prof. Janabi na Upepo wa Kisiasa
Janaba...ni janaba tu! Hata ufanyeje!... Litatoa harufu! Litanuka tu! Ndio jina lake! Mwache aongee anachojiskia!... Na yeye ana waumini wake wanaomtiiwww.jamiiforums.com
Mimi sibishani, nakuambia ukweli wa kiujumla jumla, sio uwezo binafsi wa mtu mmoja mmoja baada ya kuhitimu. Ikiwa kiujumla jumla utalinganisha (kwenye kutibu wagonjwa) wahitimu wa udaktari waliosoma Tz dhidi ya wahitimu wa udaktari waliosoma USSR, wote wakiwa fresh from university, utagundua tofauti kupitiliza, watanzania wametangulia mbali mnoo. Na siri ni ile ile, wahitimu wa taaluma ya udaktari kutoka Tanzania wana clinical practice exposure kubwa, nzuri na kutoshea mnoo.Ungesema sio watu wote waliosoma nje wamesoma vyuo vyenye hadhi kama Muhimbili hapo ungeeleweka, ila kuclaim yoyote aliesoma USSR, India ama China kapitwa na Muhimbili hii kamba mkuu, Unahisi mtu asome Chuo Prestigious kama St Petersburg Chuo kinachotoa watu walio badili dunia Umfananishe na Muhimbili?
Ukiangalia Hivyo vyuo Alivyosoma Janabi ndio kumegunduliwa vitu kama Vitamin B6, wametoa watu kibao walioshinda Noble prize etc ufananishe na Muhimbili kweli?
Specialist in what as per his registration as a medic practitioner? Huu usaniiMara baada ya Rais Samia kutangaza kumpigia debe Professor Janabi ili kuiwakilisha Tanzania kwenye kinyang'anyiro cha ukurugenzi mkuu wa WHO kanda ya Afrika, watu wenye akili kubwa ikabidi waingie chimbo kufukua file lenye kubeba wasifu mbali mbali kumhusu Profesa Mohamed Janabi ili kuona ana kipi cha kielimu na kisayansi, na sasa imekuja kugundulika kuwa, kumbe mwamba hakuwahi kusomea udaktari bingwa wowote (Mmed) achilia mbali udaktari bingwa wa moyo (Cardiologist) na wala hana sifa zozote stahiki za kibingwa kutibu moyo.
Na kwa mifumo ya mamlaka za usimamizi wa fani ya utabibu hapa Tanzania (Medical Council of Tanganyika), daktari asiyekuwa na sifa za kibingwa za fani huzika haruhusiwi kutoa matibabu ya kibingwa moja kwa moja kwa mgonjwa, na kwa tafsiri ya moja kwa moja, Professor Janabi hakuwahi popote moja kwa moja kutibu kibingwa moyo, na kama aliwahi kufanya hivyo anastahili kushtakiwa kwenye baraza la madaktari kwa kutenda kosa la kimaadili katika fani ya udaktari.
Hapa chini nimeambanisha wasifu wa Professor Janabi wa kidaktari unaotambulika na mamlaka za usimamizi wa taaluma ya udaktari hapa Tanzania (MCT).
Mwisho kabisa, MCT wanatakiwa kutoa maelezo kwa umma, kwa hicho ulichowahi kusomea Professor Jababi (Masters of tropical health) ambacho hakina sifa yoyote ya udaktari bingwa wa moyo (maana mhitimu yoyote wa fani ya afya anaweza kusomea), kinampaje sifa mhusika kuwa daktari bingwa wa moyo?
View attachment 3173753
Afadhali aiseee....Alifanya Fellowship ya Moyo mkuu Usizushe kitu usichokijua..
Soma Hii Link
Prof. Janabi na Upepo wa Kisiasa
Janaba...ni janaba tu! Hata ufanyeje!... Litatoa harufu! Litanuka tu! Ndio jina lake! Mwache aongee anachojiskia!... Na yeye ana waumini wake wanaomtiiwww.jamiiforums.com
Kuna baadhi ya nchi wanatoa hii hata kwa neurosurgery ipo bila kwenda general surgeryUnachokiandika hakina hata mantiki, hufamu kitu, nenda katafiti upya.
Mtu unawezaje kufanya Fellowship ya ubingwa wa moyo (super specialist) kama hujawahi kuwa Daktari bingwa wa magonjwa ya ndani (internal medicine specialist)? Yaani mtoto ameanza kutembea na kuongea kabla ya kuzaliwa. Hakuna kitu kama hicho duniani.
Hehehehe, Vetting imeleta shida Tena😂😂😂😂😂Mara baada ya Rais Samia kutangaza kumpigia debe Professor Janabi ili kuiwakilisha Tanzania kwenye kinyang'anyiro cha ukurugenzi mkuu wa WHO kanda ya Afrika, watu wenye akili kubwa ikabidi waingie chimbo kufukua file lenye kubeba wasifu mbali mbali kumhusu Profesa Mohamed Janabi ili kuona ana kipi cha kielimu na kisayansi, na sasa imekuja kugundulika kuwa, kumbe mwamba hakuwahi kusomea udaktari bingwa wowote (Mmed) achilia mbali udaktari bingwa wa moyo (Cardiologist) na wala hana sifa zozote stahiki za kibingwa kutibu moyo.
Na kwa mifumo ya mamlaka za usimamizi wa fani ya utabibu hapa Tanzania (Medical Council of Tanganyika), daktari asiyekuwa na sifa za kibingwa za fani huzika haruhusiwi kutoa matibabu ya kibingwa moja kwa moja kwa mgonjwa, na kwa tafsiri ya moja kwa moja, Professor Janabi hakuwahi popote moja kwa moja kutibu kibingwa moyo, na kama aliwahi kufanya hivyo anastahili kushtakiwa kwenye baraza la madaktari kwa kutenda kosa la kimaadili katika fani ya udaktari.
Hapa chini nimeambanisha wasifu wa Professor Janabi wa kidaktari unaotambulika na mamlaka za usimamizi wa taaluma ya udaktari hapa Tanzania (MCT).
Mwisho kabisa, MCT wanatakiwa kutoa maelezo kwa umma, kwa hicho ulichowahi kusomea Professor Jababi (Masters of tropical health) ambacho hakina sifa yoyote ya udaktari bingwa wa moyo (maana mhitimu yoyote wa fani ya afya anaweza kusomea), kinampaje sifa mhusika kuwa daktari bingwa wa moyo?
View attachment 3173753
Wahitimu wa vyuo gani bongo na miaka ipi ni prime kwa sifa hizo?Mimi sibishani, nakuambia ukweli wa kiujumla jumla, sio uwezo binafsi wa mtu mmoja mmoja baada ya kuhitimu. Ikiwa kiujumla jumla utalinganisha (kwenye kutibu wagonjwa) wahitimu wa udaktari waliosoma Tz dhidi ya wahitimu wa udaktari waliosoma USSR, wote wakiwa fresh from university, utagundua tofauti kupitiliza, watanzania wametangulia mbali mnoo. Na siri ni ile ile, wahitimu wa taaluma ya udaktari kutoka Tanzania wana clinical practice exposure kubwa, nzuri na kutoshea mnoo.
Kama uamini hilo, nenda hata sasa huko mahospitalini utakuja kuniambia hapa hapa. Mimi nilikuwa mbishi kama wewe, baada ya kuchunguza mwenyewe nilibadili mtazamo kabisa. Nilikuwa siwakubali wala kuwaelewa wahitimu wa udaktari kutoka Tz, baada ya kuuguza mara kwa mara na kwenda hospitali mara kwa mara niligundua kitu cha tofauti kabisa.
heshima itashuka sasaRais kamponza Janabi....unaona sasa..mambo yote hadharani.....
Kwahiyo huko WHO atatakiwa kwenda kufanya operation au?Fellowship[emoji16][emoji16][emoji6][emoji6]
Huo ndo ubobezi kwenye kutibu moyo?
Anyway hata hivyo hakuwahi kutibu bali alikuwa mtawala ktk hospitali ya JKSI na alikua anashiriki na madaktari bingwa kama msaidizi(kama walivyo manesi) wakati wa operation.
Hawezi kuwa second oncall kwenye ishu ya moyo[emoji3][emoji2][emoji3][emoji2][emoji3][emoji2]
Janabi ni dingi WA mitandao!Kwahiyo huko WHO atatakiwa kwenda kufanya operation au?
Wasomi wa kibongo huwa wanachekesha sana,eti wanadhani kuwa na makaratasi mengi ya UDSM au MZUMBE ndio kuwa na competence.Certificate ya USSR miaka ya 80 ni sawa na PHD 10 za jalalani kwenu, Dogo heshimu hustle za watu 🤣🤣
Umechunguza wapi? Watu kibao wanakimbia Hospital za Serikali ambazo hao uliowasifia wamejaa, na Wana kwenda Hospitali za Private kwenye Madaktari bingwa, Nenda Hospitali kubwa kubwa nchi hii uone walivyojaa hao unaosema hawajui na nenda Amana, Muhimbili, temeke na Mwananyamala niambie wamejaa wapi kama sio Hao unaowasifia halafu linganisha Quality ya Huduma.Mimi sibishani, nakuambia ukweli wa kiujumla jumla, sio uwezo binafsi wa mtu mmoja mmoja baada ya kuhitimu. Ikiwa kiujumla jumla utalinganisha (kwenye kutibu wagonjwa) wahitimu wa udaktari waliosoma Tz dhidi ya wahitimu wa udaktari waliosoma USSR, wote wakiwa fresh from university, utagundua tofauti kupitiliza, watanzania wametangulia mbali mnoo. Na siri ni ile ile, wahitimu wa taaluma ya udaktari kutoka Tanzania wana clinical practice exposure kubwa, nzuri na kutoshea mnoo.
Kama uamini hilo, nenda hata sasa huko mahospitalini utakuja kuniambia hapa hapa. Mimi nilikuwa mbishi kama wewe, baada ya kuchunguza mwenyewe nilibadili mtazamo kabisa. Nilikuwa siwakubali wala kuwaelewa wahitimu wa udaktari kutoka Tz, baada ya kuuguza mara kwa mara na kwenda hospitali mara kwa mara niligundua kitu cha tofauti kabisa.
Achana nao MCT hua haionyeshi qualifications zote kwanzaAlifanya Fellowship ya Moyo mkuu Usizushe kitu usichokijua..
Soma Hii Link
Prof. Janabi na Upepo wa Kisiasa
Janaba...ni janaba tu! Hata ufanyeje!... Litatoa harufu! Litanuka tu! Ndio jina lake! Mwache aongee anachojiskia!... Na yeye ana waumini wake wanaomtiiwww.jamiiforums.com
Endeleeni kupuuza elimu. Tuna wabunge darasa la saba ,tuna baadhi ya mawaziri cv nyepesi na kadhalika.Hii Elimu yake inatusaidia nini kwa Kipindi hiki?
Jambo la Msingi aungwe Mkono.
Huu Upuuzi wa Elimu umebakia sana hapa kwetu Africa Mashariki.
Huko kwa Mabeberu kinachoangaliwa ni Uwezo wako Ku deliver.
Tuachaneni na Hizo mambo za Kuangalia Elimu , hazilijengi Taifa.
Hapa tunazungumzia sifa za kuwa daktari bingwa mbobezi kwa kanuni, taratibu na sheria za baraza la madaktari la Tanganyika (MCT), standard za MCT zinashahabiana mnoo na nchi nyingi za Africa zilizopiga hatua kwenye fani ya utabibu kama Kenya, Ghana, Nigeria, South Africa. Huna Mmed ya internal medicine huna sifa za kusomea ubobezi wa moyo. Na kwa ubingwa ubobezi wa watoto, huna Mmed ya watoto (paediatric) huna ubobezi wa moyo.Ukileta criteria ya Mmed ya Internal medicine wewe unakuwa umetumia standard za wapi Tanzania au U.S hebu nijibu hapo.
Na kwa uelewa wako Janabi sasa kama unavyodai anapractice kama mbobezi wa kitu gani huko?