......ya mmed. Malizia nikujibu.Ni lazima kama hutaki tutajie daktari anayeitwa bingwa unaemjua ambae hana MASTERS(SPECIALIZATION]
....kwamba huwezi kuwa bingwa bila mmed?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
......ya mmed. Malizia nikujibu.Ni lazima kama hutaki tutajie daktari anayeitwa bingwa unaemjua ambae hana MASTERS(SPECIALIZATION]
Asante.Rudia kusoma hayo uliyoandika na kisha jipige kifuani kwa kusema: " mihemuko imenitia upofu"
WHO sio kama kamati Kuu ya CCM!
Sio mimi nimesema, ndio standard zilizopo pale MCT. Huna Mmed wewe sio daktari bingwa.Unakosea unaposema dr bingwa lazima awe na mmed.
Elimu yake ikusaidie wewe kivipi?Hii Elimu yake inatusaidia nini kwa Kipindi hiki?
Jambo la Msingi aungwe Mkono.
Huu Upuuzi wa Elimu umebakia sana hapa kwetu Africa Mashariki.
Huko kwa Mabeberu kinachoangaliwa ni Uwezo wako Ku deliver.
Tuachaneni na Hizo mambo za Kuangalia Elimu , hazilijengi Taifa.
MMED -SUPERSPECIALITY......ya mmed. Malizia nikujibu.
....kwamba huwezi kuwa bingwa bila mmed?.
Hakuna mtu kagoogle, sifa za madaktari wote waliosajiriwa kutibu zipo baraza za madaktari (MCT), na wao taarifa zote wameziweka wazi kwa umma ili kila mtu azione na ajiridhishe kila anapotaka kutibiwa.hizi elimu za ku google tabu sana, sasa mumegoogle elimubyake ili iweje, muda mwingine google inakuletea majibu kutegemea unatembeleaga site zipi mara kwa mara google
Fellowship Ni sawa na Degree ya Tatu kwa degree za kawaida..Dokta fellowship ya moyo ni kitu gan?i kwa sisi ambao sio wasomi
Utawezaje Kuwa Bingwa bila MMED labda uwe bingwa wa Public health..🤣🤣......ya mmed. Malizia nikujibu.
....kwamba huwezi kuwa bingwa bila mmed?.
Hapana, Mmed sio superspeciality, Mmed=Speciality, ukishakuwa na Mmed (speciality) ndio unaweza kusoma zaidi kwenye eneo hilo hilo ilikuwa na superspeciality.MMED -SUPERSPECIALITY
Dah Unaamini Kwamba Janabi sio Daktari Bingwa..Fellowship[emoji16][emoji16][emoji6][emoji6]
Huo ndo ubobezi kwenye kutibu moyo?
Anyway hata hivyo hakuwahi kutibu bali alikuwa mtawala ktk hospitali ya JKSI na alikua anashiriki na madaktari bingwa kama msaidizi(kama walivyo manesi) wakati wa operation.
Hawezi kuwa second oncall kwenye ishu ya moyo[emoji3][emoji2][emoji3][emoji2][emoji3][emoji2]
Me mwenyewe nimehitimu MUHAS ila kulinganisha elimu ya sekta ya afya ya urusi na Tanzania ni kukosa heshimaAcha uongo ndugu yangu.
Standard ya elimu ya utabibu kipindi cha USSR mpaka leo hii haijawahi kuwa bora kupita yetu katika kipindi chochote kile. Mhitimu wa Muhimbili amekuwa better dhidi ya hao wa USSR.
Unachokiandika hakina hata mantiki, hufamu kitu, nenda katafiti upya.
Mtu unawezaje kufanya Fellowship ya ubingwa wa moyo (super specialist) kama hujawahi kuwa Daktari bingwa wa magonjwa ya ndani (internal medicine specialist)? Yaani mtoto ameanza kutembea na kuongea kabla ya kuzaliwa. Hakuna kitu kama hicho duniani.
Mmmh hapana.Fellowship Ni sawa na Degree ya Tatu kwa degree za kawaida..
Ila kwa Madaktaru Huitwa Hivyo..
Yaani Ni sawa na PhD
Ungesema sio watu wote waliosoma nje wamesoma vyuo vyenye hadhi kama Muhimbili hapo ungeeleweka, ila kuclaim yoyote aliesoma USSR, India ama China kapitwa na Muhimbili hii kamba mkuu, Unahisi mtu asome Chuo Prestigious kama St Petersburg Chuo kinachotoa watu walio badili dunia Umfananishe na Muhimbili?Sio nakupiga kamba, nenda popote katika hii nchi kaulize madaktari watakwambia hichi kitu.
Mhitimu (fresh from university) wa udaktari wa binadamu (Md) aliyehitimu USSR ya zamani, Russia ya sasa, Ukraine, China au India hana uwezo kamili wa kutibu mgonjwa kumkaribia mhitimu wa hapa Tanzania hususani kutoka Muhimbili. Na siri ni moja tu, daktari mwanafunzi, tena mgeni kutoka afrika, halafu mwenye ngozi nyeusi hawezi kupewa nafasi kamili ya kujifunza kwa kutibu (clinical practice) kwenye mwili wa mzungu (mrusi), mchina au mhindi.
Nenda pale Muhimbili utakutana na wauguzi kibao wamefanya fellowship na sio madaktari bingwa wabobezi. Na pia kuna madaktari kibao wapo muhimbili wamefanya fellowship mbali mbali na bado sio madaktari bingwa wabobezi (super specialist).Amefanya fellowship U.S huyo tumkosoe kwa vingine kuhusu elimu kanyooka huyo jamaa hakuna ukanjanja hapo.
Hao MCT wafanye maboresho ya kanzidata yao.
Pole mkuu tatizo hatuna elimu😀😀Dah Unaamini Kwamba Janabi sio Daktari Bingwa..
Kweli leyman Wakiweza Kuandika wanaandika Vitu vinakeera...
Kama Mnamchukia Samia Mchukieni Ola msichukie Fani ya Kidaktari na Kuanza kuleta Dharau soon Mnanitafutia Bann Naona kabisa
Mkuu hawa watu kuwaelewesha ni kazi , mimi ni muumini wa meritocracy.Dah Unaamini Kwamba Janabi sio Daktari Bingwa..
Kweli leyman Wakiweza Kuandika wanaandika Vitu vinakeera...
Kama Mnamchukia Samia Mchukieni Ola msichukie Fani ya Kidaktari na Kuanza kuleta Dharau soon Mnanitafutia Bann Naona kabisa
Ukileta criteria ya Mmed ya Internal medicine wewe unakuwa umetumia standard za wapi Tanzania au U.S hebu nijibu hapo.Nenda pale Muhimbili utakutana na wauguzi kibao wamefanya fellowship na sio madaktari bingwa wabobezi. Na pia kuna madaktari kibao wapo muhimbili wamefanya fellowship mbali mbali na bado sio madaktari bingwa wabobezi (super specialist).
Kufanya fellowship hakukufanyi kuwa daktari bingwa, na sio kila fellowship itakufanya kuwa superspecialist.
Professor Janabi haijarishi aliwahi kufanya fellowship gani, kama hakuwahi kufanya Mmed ya internal medicine hana chembe ya sifa yoyote ya kuwa Daktari bingwa wa moyo. Hiyo ndio kanuni ya kudumu ya baraza la madaktari.