Kuna habari inaenea kwamba uchaguzi wa wajumbe wa kamati kuu umeshindikana sababu hakuna pesa.
Bajeti ya kuendesha uchaguzi huo ni million 50 lakini uongozi mpya wa Lissu hizi pesa kidogo zimewashinda ku mobilize.
Naomba kufahamu ukweli wa jambo ili nijue tulichagua watu sahihi ama la?
Mbowe ndio kagharamia kila kitu ulikiona pale Mlimani City.Tuseme ndiyo ipo hivyo.
Ungembakiza Mbowe angetoa pesa zake, unafikiri Mbowe ataishi milele?
Siku angeondoka duniani mngefanyeje?
Huoni sasa ndiyo wakati sahihi kujiandaa mapema na mambo hayo kwa kutafuta vyanzo vya pesa vya kueleweka vya chama?
Haya mambo acha kabisa,nimekumbuka mbali,niliwah kuachiwa kiwanda kidogo cha nafaka
Wakat sijakusanya pesa vzur,mashine moja ikaharibika na ilihitaji pesa ndefu kidogo kuirekebisha,hapo ndo nilipogundua haya mambo yanahitaj wenye pesa
Hii ndio excuse tutaitumia Lissu akishindwa kuendesha chama?Huu pia ni ushahidi aliyekuwepo hakuwa na uwezo. Utaongozaje chama miaka 20 alafu ukiache kikiwa hakina pesa. Maana yake wakina Lissu ndio wanaanza upya sasa kufanya kila kitu.
Hiki ni kitu cha kumsikitikia mwenyekiti aliyeondoka na sio kuwashangaa waliokuja.
Watu mna ugonjwa wa akili, Lissu amekabihiwa lini ofisi?Kuna habari inaenea kwamba uchaguzi wa wajumbe wa kamati kuu umeshindikana sababu hakuna pesa.
Bajeti ya kuendesha uchaguzi huo ni million 50 lakini uongozi mpya wa Lissu hizi pesa kidogo zimewashinda ku mobilize.
Naomba kufahamu ukweli wa jambo ili nijue tulichagua watu sahihi ama la?
Una akiliHuu pia ni ushahidi aliyekuwepo hakuwa na uwezo. Utaongozaje chama miaka 20 alafu ukiache kikiwa hakina pesa. Maana yake wakina Lissu ndio wanaanza upya sasa kufanya kila kitu.
Hiki ni kitu cha kumsikitikia mwenyekiti aliyeondoka na sio kuwashangaa waliokuja.
Sio excuse ni somo pia ni ushahidi kuwa chama kile kingeweza kufq ingetokea mwenyekiti qmbaye ndiye mwenye fedha qmefariki au amehqmq na fedha zake kuhamia CCM. Kimsingi hakukuwa na chama bali mtu anayefadhili maisha ya watu kupitia chama huku na yeye anapata faida.Hii ndio excuse tutaitumia Lissu akishindwa kuendesha chama?
Wabongo mna mambo ya kishamba Sana, Lisu hajakabidhiwa ofisi wala chochote pundee Tu Baada ya Uchaguzi.Kuna habari inaenea kwamba uchaguzi wa wajumbe wa kamati kuu umeshindikana sababu hakuna pesa.
Bajeti ya kuendesha uchaguzi huo ni million 50 lakini uongozi mpya wa Lissu hizi pesa kidogo zimewashinda ku mobilize.
Naomba kufahamu ukweli wa jambo ili nijue tulichagua watu sahihi ama la?
kwamba mbowe alimiliki chama ...inakuwaje chama kinachopokea ruzuku Milion 100 kwamwezi kisiwe na HelaKufahamu ukweli, tujue tulikuwa right au tulifanya makosa
Nikweli,hata ile kauli ya Mnyika kumshukuru Xchair kwamba amegharamia shughuli yote ya Mkutano ni ishara kwamba Xchair atataka kurudishiwa chakwakwe(Pesa ya mama Dully)Hiki chama kiliendeshwa kama SACCOS, mtu anakopesha chama, kisha anajilipa na faida juu
Kwa hiyo wewe unatakaje Kwa mfano, maana unalialia Sana kama mwanamke anayelilia dyu.duBila pesa huwezi kufanya siasa ni ngumu sana.
Kwenye siasa hata mkutano kwenye kata unazungumzia pesa.
Mbowe hayupo tena Chadema.Sio excuse ni somo pia ni ushahidi kuwa chama kile kingeweza kufq ingetokea mwenyekiti qmbaye ndiye mwenye fedha qmefariki au amehqmq na fedha zake kuhamia CCM. Kimsingi hakukuwa na chama bali mtu anayefadhili maisha ya watu kupitia chama huku na yeye anapata faida.
Lissu yeye taahukumiwa kwa kipindi chake pia. Kama amegombea akijua hayo lazima atuonyeshe yeye atatumia mbinu gani kama reform ya mfumo mbovu wa kifedha chamani. Akishindwa haimqqnishi mfumo ule wa Mwamba ndio imara, bali inamanisha watafute mtu qtakayekuwa mbunifu ila sio kama alivyofanya aliyeondoka.
Ni hayo tu.
Mwanzo tu tayari chawa wa Mbowe wanalia. Ngoja tutaona mpasuko. Kiongozi hapimwi kwa pesa. Kama Mbowe alikus anatoa pesa yake kwa hivyo madai kwamba chadema ilikua kampuni yake binafsi. Kitu cha kwanza ni lissu kukomboa ruzuku ya chadema inayodaiwa ilikua inaingizwa kwenye account binafsi za mbowe.Kuna habari inaenea kwamba uchaguzi wa wajumbe wa kamati kuu umeshindikana sababu hakuna pesa.
Bajeti ya kuendesha uchaguzi huo ni million 50 lakini uongozi mpya wa Lissu hizi pesa kidogo zimewashinda ku mobilize.
Naomba kufahamu ukweli wa jambo ili nijue tulichagua watu sahihi ama la?