Ni kweli Mbowe kachoka, lakini Lissu sio mtu sahihi wa kumwachia chama

Ni kweli Mbowe kachoka, lakini Lissu sio mtu sahihi wa kumwachia chama

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Tuseme ukweli Mbowe kachoka miaka 20+ akiwa Mwenyekiti si mchezo ni moja ya mwanasiasa mahiri kuwahi kuongoza chama cha upinzani Tanzania ukimtoa Maalim Self.

Mbowe anamjua Lissu in and out anaijua nguvu (strength) na madhaifu (weaknesses) zake, ndio sababu ya Mbowe kutomwachia Lissu uongozi wa chama.

Lissu ni mpiga kelele mzuri tu lkn hana leadership skills, namfananisha Lissu na kiranja mkuu wa shule au nyapara wa magereza wanaochaguliwa kutokana na kelele zao.

Namshauri Mbowe baada ya kushinda tena January aanze kumwandaa mrithi wake, akishampata ashauriane na chama ajiuzulu asisubiri hadi miaka 5 iishe.
 
Tuseme ukweli Mbowe kachoka miaka 20+ akiwa Mwenyekiti si mchezo ni moja ya mwanasiasa mahiri kuwahi kuongoza chama cha upinzani Tanzania ukimtoa Maalim Self.

Mbowe anamjua Lissu in and out anaijua nguvu (strength) na madhaifu (weaknesses) zake, ndio sababu ya Mbowe kutomwachia Lissu uongozi wa chama.

Lissu ni mpiga kelele mzuri tu lkn hana leadership skills, namfananisha Lissu na kilanja mkuu wa shule au nyapara wa magereza wanaochaguliwa kutokana na kelele zao.

Namshauri Mbowe baada ya kushinda tena January aanze kumwandaa mrithi wake, akishampata ashauriane na chama ajiuzulu asisubiri hadi miaka 5 iishe.
Team Mbowe mnaweweseka kweli kweli.....
 
One mistake one goal mbowe akishinda tu Chademu imezikwa mazima
20241219_172147.jpg
 
Tuseme ukweli Mbowe kachoka miaka 20+ akiwa Mwenyekiti si mchezo ni moja ya mwanasiasa mahiri kuwahi kuongoza chama cha upinzani Tanzania ukimtoa Maalim Self.

Mbowe anamjua Lissu in and out anaijua nguvu (strength) na madhaifu (weaknesses) zake, ndio sababu ya Mbowe kutomwachia Lissu uongozi wa chama.

Lissu ni mpiga kelele mzuri tu lkn hana leadership skills, namfananisha Lissu na kilanja mkuu wa shule au nyapara wa magereza wanaochaguliwa kutokana na kelele zao.

Namshauri Mbowe baada ya kushinda tena January aanze kumwandaa mrithi wake, akishampata ashauriane na chama ajiuzulu asisubiri hadi miaka 5 iishe.
Mnamtetea Mbowe kwa kila namna. Zama za siasia za kulamba asali zitafika mwisho kofia akipewa Lissu. Atakinyoosha Chama kama Magufuli alivyowanyoosha CCM.🤣
 
Tuseme ukweli Mbowe kachoka miaka 20+ akiwa Mwenyekiti si mchezo ni moja ya mwanasiasa mahiri kuwahi kuongoza chama cha upinzani Tanzania ukimtoa Maalim Self.

Mbowe anamjua Lissu in and out anaijua nguvu (strength) na madhaifu (weaknesses) zake, ndio sababu ya Mbowe kutomwachia Lissu uongozi wa chama.

Lissu ni mpiga kelele mzuri tu lkn hana leadership skills, namfananisha Lissu na kilanja mkuu wa shule au nyapara wa magereza wanaochaguliwa kutokana na kelele zao.

Namshauri Mbowe baada ya kushinda tena January aanze kumwandaa mrithi wake, akishampata ashauriane na chama ajiuzulu asisubiri hadi miaka 5 iishe.
Mpiga kelele ni yule asiyeeleweka, kama anaeleweka huyo kamwe si mpiga kelele
 
Tukisema baadhi ya Watanzania ni Machizi tunamaanisha hawa

View attachment 3183896
View attachment 3183897
Ni machizi hasa. Na ukikuta yale yanapenda kila wakati ku post post mitadaoni, unakuwa unawapima vizuri uchizibwao, hauhitaji hata wataalumu wa mmagonjwa ya akili.
Halafu hao wanaosema Magufuli alichukia rushwa, ni rushwa ipi aliyoichukia Magufuli wakati ndiyo kiongozi nchii anayeongoza kwa kuhonga pesa na vyeo ili kuwarubuni wapinzani wake wamuunge mkono?
Magufuli hakuwahi kuchukia Rushwa, Magufuli alikua ni Baba wa Rushwa wa Taifa...
 
Hapo alikuwa hajahongwa Pipa la mbege na wachaga wenzake 😄
Nikiri tu kuwa nilikuwa sijamjua vizuri hadi alipoanza kuwashambulia viongozi wenzake akiwepo boss wake nikajua hamna kitu hapo.
 
Back
Top Bottom