Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kusema Yale maamuzi ya chama ya kuwataka watanzania kumchagua LISSU kuwa Rais mwaka 2020 yalikuwa ya kukulupuka?.Tuseme ukweli Mbowe kachoka miaka 20+ akiwa Mwenyekiti si mchezo ni moja ya mwanasiasa mahiri kuwahi kuongoza chama cha upinzani Tanzania ukimtoa Maalim Self.
Mbowe anamjua Lissu in and out anaijua nguvu (strength) na madhaifu (weaknesses) zake, ndio sababu ya Mbowe kutomwachia Lissu uongozi wa chama.
Lissu ni mpiga kelele mzuri tu lkn hana leadership skills, namfananisha Lissu na kiranja mkuu wa shule au nyapara wa magereza wanaochaguliwa kutokana na kelele zao.
Namshauri Mbowe baada ya kushinda tena January aanze kumwandaa mrithi wake, akishampata ashauriane na chama ajiuzulu asisubiri hadi miaka 5 iishe.
Kipanya huwa NabiiOne mistake one goal mbowe akishinda tu Chademu imezikwa mazima
View attachment 3183888
LISU ndo anafaa kabisa nanikwa wakati sahihiTuseme ukweli Mbowe kachoka miaka 20+ akiwa Mwenyekiti si mchezo ni moja ya mwanasiasa mahiri kuwahi kuongoza chama cha upinzani Tanzania ukimtoa Maalim Self.
Mbowe anamjua Lissu in and out anaijua nguvu (strength) na madhaifu (weaknesses) zake, ndio sababu ya Mbowe kutomwachia Lissu uongozi wa chama.
Lissu ni mpiga kelele mzuri tu lkn hana leadership skills, namfananisha Lissu na kiranja mkuu wa shule au nyapara wa magereza wanaochaguliwa kutokana na kelele zao.
Namshauri Mbowe baada ya kushinda tena January aanze kumwandaa mrithi wake, akishampata ashauriane na chama ajiuzulu asisubiri hadi miaka 5 iishe.
Mbowe haongozi chama peke yake ana kamati zake na hata Lisu hataongoza peke yake atakuwa na kamati zake pia tena lisu atafanya chama kikue kwa pesa itasambazwa kote Nchini tofauti na mbowe ambaye hula pesa za chama peke yake kifisadiFor sure, Lissu hafai kuwa mwenyekiti wa chama, radicalist, vocal, emotional..yataje yote! Mbowe amekosea sana kutoandaa succession plan.
Alipoanza kutoa siri za chama nikaona hafaiHebu toa sababu moja yakueleweka iliyokufanya uone Lissu hafai hizi siku mbili!?Sababu yenye kashiko.
Alipoanza kutoa siri za chama nikaona hafai
Anazunguka mitandaoni kuwalaumu viongozi wenzake wakati yeye ni sehemu ya uongozi, na mwisho,
Nimempuuza alipoanza kulumbana hadharani na bosi wake huo ni utovu wa nidhamu.
Hilo ndilo kosa lake 20+ years hujui nani atakurithi.For sure, Lissu hafai kuwa mwenyekiti wa chama, radicalist, vocal, emotional..yataje yote! Mbowe amekosea sana kutoandaa succession plan.
Lissu ni mtu sahihi kwa wakati huu sahihiTuseme ukweli Mbowe kachoka miaka 20+lissu nj akiwa Mwenyekiti si mchezo ni moja ya mwanasiasa mahiri kuwahi kuongoza chama cha upinzani Tanzania ukimtoa Maalim Self.
Mbowe anamjua Lissu in and out anaijua nguvu (strength) na madhaifu (weaknesses) zake, ndio sababu ya Mbowe kutomwachia Lissu uongozi wa chama.
Lissu ni mpiga kelele mzuri tu lkn hana leadership skills, namfananisha Lissu na kiranja mkuu wa shule au nyapara wa magereza wanaochaguliwa kutokana na kelele zao.
Namshauri Mbowe baada ya kushinda tena January aanze kumwandaa mrithi wake, akishampata ashauriane na chama ajiuzulu asisubiri hadi miaka 5 iishe.
Alipoanza kutoa siri za chama nikaona hafai
Anazunguka mitandaoni kuwalaumu viongozi wenzake wakati yeye ni sehemu ya uongozi, na mwisho,
Nimempuuza alipoanza kulumbana hadharani na bosi wake huo ni utovu wa nidhamu.
Lisu atapanga mpangilio mzuri kutakuwa na mhasibu wa chama na katibu mkuu atakuwa na mamlaka kwenye pesa za chama tofauti na mbowe pesa zote zipo kwenye himaya yake hata katibu mkuu hajui bank kuna tshs ngapi, anaendesha chadema kama Duka lake, utawala wa mbowe ni wa kienyeji sana ni mtu mchoyo ubinafsi mwingi na ubabe mkubwaLISU ndo anafaa kabisa nanikwa wakati sahihi
Wakati Mbowe yupo mahabusu Lissu alikuwa kwenye matibabu Belgium.Lissu alipokaimu UENYEKITI wa chama wakati Mbowe yuko Jela alifanikiwa kumpeleka puta Samia mpaka Samia akapoteza umaarufu vibaya mno kwenye siasa za Tanzania. Mbowe alipotoka akamsaidia Samia kutawala kiulaini. Lissu ndiye anayefaa kuiongoza CHADEMA ktk changamoto nzito zilizo mbele yake.
Kama Lissu aliaminika kugombea urais wa nchi atashindwaje kuongoza chama!? Tena alimshinda mgonjwa wa ccm ktk uchaguzi ule! Sema tu walimuibia kura.Tuseme ukweli Mbowe kachoka miaka 20+ akiwa Mwenyekiti si mchezo ni moja ya mwanasiasa mahiri kuwahi kuongoza chama cha upinzani Tanzania ukimtoa Maalim Self.
Mbowe anamjua Lissu in and out anaijua nguvu (strength) na madhaifu (weaknesses) zake, ndio sababu ya Mbowe kutomwachia Lissu uongozi wa chama.
Lissu ni mpiga kelele mzuri tu lkn hana leadership skills, namfananisha Lissu na kiranja mkuu wa shule au nyapara wa magereza wanaochaguliwa kutokana na kelele zao.
Namshauri Mbowe baada ya kushinda tena January aanze kumwandaa mrithi wake, akishampata ashauriane na chama ajiuzulu asisubiri hadi miaka 5 iishe.
Kama kisu afai awaachie vijana waongoze chama.. anatakiwa ajue kuendelea kung'ang'ania kubaki madarakani siku ikitokea hayupo tena duniani hicho chama chao kitakua ndiyo mwisho wake. Kama hataki kumuachia kisu lazima aachie chama kwa vijana na siyo vinginevyoTuseme ukweli Mbowe kachoka miaka 20+ akiwa Mwenyekiti si mchezo ni moja ya mwanasiasa mahiri kuwahi kuongoza chama cha upinzani Tanzania ukimtoa Maalim Self.
Mbowe anamjua Lissu in and out anaijua nguvu (strength) na madhaifu (weaknesses) zake, ndio sababu ya Mbowe kutomwachia Lissu uongozi wa chama.
Lissu ni mpiga kelele mzuri tu lkn hana leadership skills, namfananisha Lissu na kiranja mkuu wa shule au nyapara wa magereza wanaochaguliwa kutokana na kelele zao.
Namshauri Mbowe baada ya kushinda tena January aanze kumwandaa mrithi wake, akishampata ashauriane na chama ajiuzulu asisubiri hadi miaka 5 iishe.
nadhani siasa za Tundu Lisu na aliekua naibu rais wa Kenya Rigathi Gachagua zinalandana,Tuseme ukweli Mbowe kachoka miaka 20+ akiwa Mwenyekiti si mchezo ni moja ya mwanasiasa mahiri kuwahi kuongoza chama cha upinzani Tanzania ukimtoa Maalim Self.
Mbowe anamjua Lissu in and out anaijua nguvu (strength) na madhaifu (weaknesses) zake, ndio sababu ya Mbowe kutomwachia Lissu uongozi wa chama.
Lissu ni mpiga kelele mzuri tu lkn hana leadership skills, namfananisha Lissu na kiranja mkuu wa shule au nyapara wa magereza wanaochaguliwa kutokana na kelele zao.
Namshauri Mbowe baada ya kushinda tena January aanze kumwandaa mrithi wake, akishampata ashauriane na chama ajiuzulu asisubiri hadi miaka 5 iishe.
Kuna nyaraka za kamati kuu zilikutwa kwa Msigwa ikasemekana kapewa na rafiki yake, Lissu mwenyewe akakiri ni kweli Msigwa ni rafiki yake.TUANZIE HAPA ,Siri kama ipi mkuu aliyotoa?
Toa jina la mtu sahihi sasa! Nani mbadala??Tuseme ukweli Mbowe kachoka miaka 20+ akiwa Mwenyekiti si mchezo ni moja ya mwanasiasa mahiri kuwahi kuongoza chama cha upinzani Tanzania ukimtoa Maalim Self.
Mbowe anamjua Lissu in and out anaijua nguvu (strength) na madhaifu (weaknesses) zake, ndio sababu ya Mbowe kutomwachia Lissu uongozi wa chama.
Lissu ni mpiga kelele mzuri tu lkn hana leadership skills, namfananisha Lissu na kiranja mkuu wa shule au nyapara wa magereza wanaochaguliwa kutokana na kelele zao.
Namshauri Mbowe baada ya kushinda tena January aanze kumwandaa mrithi wake, akishampata ashauriane na chama ajiuzulu asisubiri hadi miaka 5 iishe.