Ni kweli Mbowe kachoka, lakini Lissu sio mtu sahihi wa kumwachia chama

Ni kweli Mbowe kachoka, lakini Lissu sio mtu sahihi wa kumwachia chama

Hata Samia mwanzo tulizani ni tofauti na mwendazake lkn alipoanza kutoa makucha tukajua rangi zake, same na Lissu kabla ya kugeuka tulidhani ni mtu sahihi.
Mkuu kubali kuchutama, ushavuliwa nguo kisomi.

Micomment yako tena ya siku za baribuni ndiyo yaliyokuacha uchi.

Kwa points hizo diyo maana watu wanaona kama umehongwa na team Mbowe.

Kwani kuendelea kujitetea unataka ushindi na ukishinda utapata nini?
 
Mkuu kubali kuchutama, ushavuliwa nguo kisomi.

Micomment yako tena ya siku za baribuni ndiyo yaliyokuacha uchi.

Kwa points hizo diyo maana watu wanaona kama umehongwa na team Mbowe.

Kwani kuendelea kujitetea unataka ushindi na ukishinda utapata nini?
Ina maana wewe umehongwa na nani.
 
Mkuu kubali kuchutama, ushavuliwa nguo kisomi.

Micomment yako tena ya siku za baribuni ndiyo yaliyokuacha uchi.

Kwa points hizo diyo maana watu wanaona kama umehongwa na team Mbowe.

Kwani kuendelea kujitetea unataka ushindi na ukishinda utapata nini?
Asilimia kubwa ya Watanzania wako hivi yaani ni wanafiki.😆😆😆😆😆😂😂😂
 
Tuseme ukweli Mbowe kachoka miaka 20+ akiwa Mwenyekiti si mchezo ni moja ya mwanasiasa mahiri kuwahi kuongoza chama cha upinzani Tanzania ukimtoa Maalim Self.

Mbowe anamjua Lissu in and out anaijua nguvu (strength) na madhaifu (weaknesses) zake, ndio sababu ya Mbowe kutomwachia Lissu uongozi wa chama.

Lissu ni mpiga kelele mzuri tu lkn hana leadership skills, namfananisha Lissu na kiranja mkuu wa shule au nyapara wa magereza wanaochaguliwa kutokana na kelele zao.

Namshauri Mbowe baada ya kushinda tena January aanze kumwandaa mrithi wake, akishampata ashauriane na chama ajiuzulu asisubiri hadi miaka 5 iishe.
Kwani Chama ni mali binafsi ya Mbowe kwamba ni chake na Lissu siyo mtu sahihi wa kumuachia? Kwamba chama kakishikilia Mbowe mpaka useme hawezi kumuachia Lissu?

Nyie wafuasi wa Mbowe tutawachapa sana humu jukwaani. Hatutakuwa tayari kumpamba Mbowe kwa njia yoyote ile fahamuni hilo. Mbaya zaidi hatutaipigia kura Chadema maana mkivimbiwa ruzuku mnajisahau sana mnajiona nyie ndiyo mwisho. Tupo huku tutakutana kwenye debe.
 
Kwani Chama ni mali binafsi ya Mbowe kwamba ni chake na Lissu siyo mtu sahihi wa kumuachia? Kwamba chama kakishikilia Mbowe mpaka useme hawezi kumuachia Lissu?

Nyie wafuasi wa Mbowe tutawachapa sana humu jukwaani. Hatutakuwa tayari kumpamba Mbowe kwa njia yoyote ile fahamuni hilo. Mbaya zaidi hatutaipigia kura Chadema maana mkivimbiwa ruzuku mnajisahau sana mnajiona nyie ndiyo mwisho. Tupo huku tutakutana kwenye debe.
Mwisho wenu January.
 
Mwisho wenu January.
Mwisho wa Mbowe au unamaanisha nini? Sikia nikwambie fanyeni kama mnajikuna mummrudishe Mwamba kwenye kiti ndipo mtajua hamjui. Kama mnadhani tunatania basi endeleeni na kejeli. Kitakufa bila kelele.
 
Tuseme ukweli Mbowe kachoka miaka 20+ akiwa Mwenyekiti si mchezo ni moja ya mwanasiasa mahiri kuwahi kuongoza chama cha upinzani Tanzania ukimtoa Maalim Self.

Mbowe anamjua Lissu in and out anaijua nguvu (strength) na madhaifu (weaknesses) zake, ndio sababu ya Mbowe kutomwachia Lissu uongozi wa chama.

Lissu ni mpiga kelele mzuri tu lkn hana leadership skills, namfananisha Lissu na kiranja mkuu wa shule au nyapara wa magereza wanaochaguliwa kutokana na kelele zao.

Namshauri Mbowe baada ya kushinda tena January aanze kumwandaa mrithi wake, akishampata ashauriane na chama ajiuzulu asisubiri hadi miaka 5 iishe.

Ila alikuwa mtu sahihi kuongoza Inchi
 
Wachaga/wamachame wamepagawa
Inonesha mna chuki sana na wenzetu wachaga, ila wa mbili ni wa mbili tu.
Hatred yenu haitakaa ibadili mambo.

Kikwete: "Kama watanzania wangekuwa wachapa kazi kama wachaga, Nchi ingekuwa mbali sana kimaendeleo"
 
Miamba inataka sanduku la kura.Ili wajipime nani mbabe wa mieleka ya Soumo.
Wapiga kura ni wajumbe tu.
Kura za wajumbe 1200 ndio utakuwa ufunuo wa Chadema 2025.
Kura sio electronic voting bali manual.
Ikiwapendeza wahesabiwe wapiga kura, wapange line tatu yaani Mbowe,Lissu na wasiokuwa na upande.
Atakaeshindwa akili mbele ya wajumbe kuwa ameshindwa kihalali.
Misimamo ya wajumbe nadhani inajulikana.
 
Walikubaliana na mbowe kuwa kila mmoja agombee alipo sasa, lakini mbowe akaanza kumfanyia figisu figisu akamwekea wahuni wengi upande wa makamu mwenyekiti huku mtia nia ya Uenyekiti yaani heche akihujumiwa kama Zito, Kwa Hasira Lisu akaona Mbowe anawachezea anawafanya kuwa ni watoto wadogo ndipo kutangaza ghafra kuwa anagombea uenyekiti, alimshitukiza Mbowe, na endapo Mbowe asingefanya aliyofanya mda huu lisu angekuwa yupo kule kule kwa awali
This sounds true. Nadhani itoshe kusema Mbowe ni tatizo.
 
Tuseme ukweli Mbowe kachoka miaka 20+ akiwa Mwenyekiti si mchezo ni moja ya mwanasiasa mahiri kuwahi kuongoza chama cha upinzani Tanzania ukimtoa Maalim Self.

Mbowe anamjua Lissu in and out anaijua nguvu (strength) na madhaifu (weaknesses) zake, ndio sababu ya Mbowe kutomwachia Lissu uongozi wa chama.

Lissu ni mpiga kelele mzuri tu lkn hana leadership skills, namfananisha Lissu na kiranja mkuu wa shule au nyapara wa magereza wanaochaguliwa kutokana na kelele zao.

Namshauri Mbowe baada ya kushinda tena January aanze kumwandaa mrithi wake, akishampata ashauriane na chama ajiuzulu asisubiri hadi miaka 5 iishe.
Mbowe alikuwa na muda wa kutosha kuachia hicho kiti, lakini ameng'ang'ania hadi mabadiliko yamemkuta. Ni kweli Lisu anaweza asiwe kiongozi mzuri, lakini ndio mwenye uwezo wa kuhakikisha huyo king'ang'anizi wa madaraka. Hivyo hapa Lisu sio wa kulaumiwa, ila Mbowe ajilaumu mwenyewe.
 
SIASA ni kama PLACEBO,,, KIPO lakini HAKIPO , because SIASA ni MCHEZO wa MATAPELI.
 
Tuseme ukweli Mbowe kachoka miaka 20+ akiwa Mwenyekiti si mchezo ni moja ya mwanasiasa mahiri kuwahi kuongoza chama cha upinzani Tanzania ukimtoa Maalim Self.

Mbowe anamjua Lissu in and out anaijua nguvu (strength) na madhaifu (weaknesses) zake, ndio sababu ya Mbowe kutomwachia Lissu uongozi wa chama.

Lissu ni mpiga kelele mzuri tu lkn hana leadership skills, namfananisha Lissu na kiranja mkuu wa shule au nyapara wa magereza wanaochaguliwa kutokana na kelele zao.

Namshauri Mbowe baada ya kushinda tena January aanze kumwandaa mrithi wake, akishampata ashauriane na chama ajiuzulu asisubiri hadi miaka 5 iishe.
Facts hujaziweka zaidi ya porojo
 
Mbowe alikuwa na muda wa kutosha kuachia hicho kiti, lakini ameng'ang'ania hadi mabadiliko yamemkuta. Ni kweli Lisu anaweza asiwe kiongozi mzuri, lakini ndio mwenye uwezo wa kuhakikisha huyo king'ang'anizi wa madaraka. Hivyo hapa Lisu sio wa kulaumiwa, ila Mbowe ajilaumu mwenyewe.
Ajilaumu nini wakati anaenda kushinda kwa kishindo, wa kujilaumu ni Lissu anayekwenda kukosa kila kitu.
 
Ajilaumu nini wakati anaenda kushinda kwa kishindo, wa kujilaumu ni Lissu anayekwenda kukosa kila kitu.
Mbowe kushinda kwa kishindo sio hoja maana ana hela za kuhonga wajumbe kadhaa, tatizo liko kwenye mvuto wake wa kisiasa kwa wafuasi wa cdm. Mbowe akishinda itakuwa kama Lipumba alivyoshinda CUF, kisha Maalim Seif mwenye ushawishi akasepa na wafuasi karibia wote.
 
Back
Top Bottom