Ni kweli Mbowe kachoka, lakini Lissu sio mtu sahihi wa kumwachia chama

Ni kweli Mbowe kachoka, lakini Lissu sio mtu sahihi wa kumwachia chama

Mbowe kushinda kwa kishindo sio hoja maana ana hela za kuhonga wajumbe kadhaa, tatizo liko kwenye mvuto wake wa kisiasa kwa wafuasi wa cdm. Mbowe akishinda itakuwa kama Lipumba alivyoshinda CUF, kisha Maalim Seif mwenye ushawishi akasepa na wafuasi karibia wote.
Kwahiyo kura nazo hamtaki mngenyimwa fomu ingekuwaje, Lissu hana ubavu wa kusepa na kijiji kama Self hana base labda asepe na computer warriors wa ulaya.
 
Tuseme ukweli Mbowe kachoka miaka 20+ akiwa Mwenyekiti si mchezo ni moja ya mwanasiasa mahiri kuwahi kuongoza chama cha upinzani Tanzania ukimtoa Maalim Self.

Mbowe anamjua Lissu in and out anaijua nguvu (strength) na madhaifu (weaknesses) zake, ndio sababu ya Mbowe kutomwachia Lissu uongozi wa chama.

Lissu ni mpiga kelele mzuri tu lkn hana leadership skills, namfananisha Lissu na kiranja mkuu wa shule au nyapara wa magereza wanaochaguliwa kutokana na kelele zao.

Namshauri Mbowe baada ya kushinda tena January aanze kumwandaa mrithi wake, akishampata ashauriane na chama ajiuzulu asisubiri hadi miaka 5 iishe.
Kama Mbowe amechoka (hawezi tena kuendelea kuongoza Chadema) na Lissu sio mtu sahihi wakuachiwa Chama, sasa Chama kiongozwe na nani?
 
Yaani mtu aliyeaminiwa kwa 100% na Chadema kuwa;
1. Anafaa kuwa rais wa Tanzania
2. Anamudu kuwa makamu mwenyekiti wa CHADEMA.

Vipi tena leo ghafla baada ya kuchukua fomu za kugombea uenyekiti awe hana sifa za kuongoza CHADEMA?
 
Kwahiyo kura nazo hamtaki mngenyimwa fomu ingekuwaje, Lissu hana ubavu wa kusepa na kijiji kama Self hana base labda asepe na computer warriors wa ulaya.
Ni wapi sitaki kura boss, au unataka kunilisha maneno? Subiri wala usijali utaona usichotamani kukiona. Zama za Mbowe zimeshapita
 
Ni wapi sitaki kura boss, au unataka kunilisha maneno? Subiri wala usijali utaona usichotamani kukiona. Zama za Mbowe zimeshapita
Umesema ataibiwa kura hamjiamini.
 
Tuseme ukweli Mbowe kachoka miaka 20+ akiwa Mwenyekiti si mchezo ni moja ya mwanasiasa mahiri kuwahi kuongoza chama cha upinzani Tanzania ukimtoa Maalim Self.

Mbowe anamjua Lissu in and out anaijua nguvu (strength) na madhaifu (weaknesses) zake, ndio sababu ya Mbowe kutomwachia Lissu uongozi wa chama.

Lissu ni mpiga kelele mzuri tu lkn hana leadership skills, namfananisha Lissu na kiranja mkuu wa shule au nyapara wa magereza wanaochaguliwa kutokana na kelele zao.

Namshauri Mbowe baada ya kushinda tena January aanze kumwandaa mrithi wake, akishampata ashauriane na chama ajiuzulu asisubiri hadi miaka 5 iishe.
I second this
 
Yaani mtu aliyeaminiwa kwa 100% na Chadema kuwa;
1. Anafaa kuwa rais wa Tanzania
2. Anamudu kuwa makamu mwenyekiti wa CHADEMA.

Vipi tena leo ghafla baada ya kuchukua fomu za kugombea uenyekiti awe hana sifa za kuongoza CHADEMA?
Miaka mitano ni mingi sana watu hubadilika
 
Tuseme ukweli Mbowe kachoka miaka 20+ akiwa Mwenyekiti si mchezo ni moja ya mwanasiasa mahiri kuwahi kuongoza chama cha upinzani Tanzania ukimtoa Maalim Self.

Mbowe anamjua Lissu in and out anaijua nguvu (strength) na madhaifu (weaknesses) zake, ndio sababu ya Mbowe kutomwachia Lissu uongozi wa chama.

Lissu ni mpiga kelele mzuri tu lkn hana leadership skills, namfananisha Lissu na kiranja mkuu wa shule au nyapara wa magereza wanaochaguliwa kutokana na kelele zao.

Namshauri Mbowe baada ya kushinda tena January aanze kumwandaa mrithi wake, akishampata ashauriane na chama ajiuzulu asisubiri hadi miaka 5 iishe.
Pwenti!
 
Tukisema baadhi ya Watanzania ni Machizi tunamaanisha hawa
Upo sahihi kabisa baadhi ya watanzania ni machizi

1735099654645.png


1735099918571.png


1735100902707.png
 
Ni wazi Lissu si mwanachadema kiakili na kisaikoloji, kisheria ni mwanachama
Nje ya chadema hawezi kufanya siasa ambazo lissu anafanya.

Sababu kubwa 4.

1. Hakuna chama ambacho lissu ataenda kujiunga kusiwe na migogoro

2. ACT wazalendo ambaocho kidogo kina nguvu kwa upande wa Zanzibar ni siasa tofauti na za lissu. Lissu hushambulia lkn act wao wanatumia akili zaidi kuliko kushambulia

3. Lissu na team yake watataka madaraka ya juu ya uongozi kwa muda mchache jambo ni gumu.

4. CCM watambana kila atapopita katiks vyama kwa sababu ni looser yaani atakuwa kashatoka chama imara yupo chama legelege.

Hatma yake kisiasa ndio huu.
 
Ni wazi Lissu si mwanachadema kiakili na kisaikoloji, kisheria ni mwanachama
Nje ya chadema hawezi kufanya siasa ambazo lissu anafanya.
Sababu kubwa 4.
1. Hakuna chama ambacho lissu ataenda kujiunga kusiwe na migogoro
2. ACT wazalendo ambaocho kidogo kina nguvu kwa upande wa Zanzibar ni siasa tofauti na za lissu. Lissu hushambulia lkn act wao wanatumia akili zaidi kuliko kushambulia
3. Lissu na team yake watataka madaraka ya juu ya uongozi kwa muda mchache jambo ni gumu.
4. CCM watambana kila atapopita katiks vyama kwa sababu ni looser yaani atakuwa kashatoka chama imara yupo chama legelege.
Hatma yake kisiasa ndio huu.
Lissu lazima akudatishe mwezi huu!

Maana hata hizo posho unazolipwa na CCM kumfanyia propaganda chafu humu hata hazionekani kuzaa matunda.

Yule jamaa jifunzeni tu kumuheshimu na kumsikiliza nyie CCM. Maana mnapaswa kujua kuwa yule ni God sent messenger.

Kitendo cha kupona marisasi yote yale mliyompiga kilipaswa kuwafanya mumuogope sana yule mtu
 
Lissu hawezi kufanya kazi na Zitto. Zito ni mwanasiasa huyu mwingine ni mwanaharakati.
 
Ni wazi Lissu si mwanachadema kiakili na kisaikoloji, kisheria ni mwanachama
Nje ya chadema hawezi kufanya siasa ambazo lissu anafanya.
Sababu kubwa 4.
1. Hakuna chama ambacho lissu ataenda kujiunga kusiwe na migogoro
2. ACT wazalendo ambaocho kidogo kina nguvu kwa upande wa Zanzibar ni siasa tofauti na za lissu. Lissu hushambulia lkn act wao wanatumia akili zaidi kuliko kushambulia
3. Lissu na team yake watataka madaraka ya juu ya uongozi kwa muda mchache jambo ni gumu.
4. CCM watambana kila atapopita katiks vyama kwa sababu ni looser yaani atakuwa kashatoka chama imara yupo chama legelege.
Hatma yake kisiasa ndio huu.
You're a Sucker.
 
Back
Top Bottom