Ni kweli Mbowe kachoka, lakini Lissu sio mtu sahihi wa kumwachia chama

Ni kweli Mbowe kachoka, lakini Lissu sio mtu sahihi wa kumwachia chama

Ni wazi Lissu si mwanachadema kiakili na kisaikoloji, kisheria ni mwanachama
Nje ya chadema hawezi kufanya siasa ambazo lissu anafanya.
Sababu kubwa 4.
1. Hakuna chama ambacho lissu ataenda kujiunga kusiwe na migogoro
2. ACT wazalendo ambaocho kidogo kina nguvu kwa upande wa Zanzibar ni siasa tofauti na za lissu. Lissu hushambulia lkn act wao wanatumia akili zaidi kuliko kushambulia
3. Lissu na team yake watataka madaraka ya juu ya uongozi kwa muda mchache jambo ni gumu.
4. CCM watambana kila atapopita katiks vyama kwa sababu ni looser yaani atakuwa kashatoka chama imara yupo chama legelege.
Hatma yake kisiasa ndio huu.
Wewe jua kulipwa Mshahara mwisho mwezi huu CHADEMA. inakufa
 
Ni wazi Lissu si mwanachadema kiakili na kisaikoloji, kisheria ni mwanachama
Nje ya chadema hawezi kufanya siasa ambazo lissu anafanya.
Sababu kubwa 4.
1. Hakuna chama ambacho lissu ataenda kujiunga kusiwe na migogoro
2. ACT wazalendo ambaocho kidogo kina nguvu kwa upande wa Zanzibar ni siasa tofauti na za lissu. Lissu hushambulia lkn act wao wanatumia akili zaidi kuliko kushambulia
3. Lissu na team yake watataka madaraka ya juu ya uongozi kwa muda mchache jambo ni gumu.
4. CCM watambana kila atapopita katiks vyama kwa sababu ni looser yaani atakuwa kashatoka chama imara yupo chama legelege.
Hatma yake kisiasa ndio huu.
Imebainika wengi wenu tayari mmeshakuwa wagonjwa wa akili
 
Ni wazi Lissu si mwanachadema kiakili na kisaikoloji, kisheria ni mwanachama
Nje ya chadema hawezi kufanya siasa ambazo lissu anafanya.
Sababu kubwa 4.
1. Hakuna chama ambacho lissu ataenda kujiunga kusiwe na migogoro
2. ACT wazalendo ambaocho kidogo kina nguvu kwa upande wa Zanzibar ni siasa tofauti na za lissu. Lissu hushambulia lkn act wao wanatumia akili zaidi kuliko kushambulia
3. Lissu na team yake watataka madaraka ya juu ya uongozi kwa muda mchache jambo ni gumu.
4. CCM watambana kila atapopita katiks vyama kwa sababu ni looser yaani atakuwa kashatoka chama imara yupo chama legelege.
Hatma yake kisiasa ndio huu.
Haha Malaria unahangaika.
Vipi kipigo kitakatifu cha bavicha?
 
Ni wazi Lissu si mwanachadema kiakili na kisaikoloji, kisheria ni mwanachama
Nje ya chadema hawezi kufanya siasa ambazo lissu anafanya.
Sababu kubwa 4.
1. Hakuna chama ambacho lissu ataenda kujiunga kusiwe na migogoro
2. ACT wazalendo ambaocho kidogo kina nguvu kwa upande wa Zanzibar ni siasa tofauti na za lissu. Lissu hushambulia lkn act wao wanatumia akili zaidi kuliko kushambulia
3. Lissu na team yake watataka madaraka ya juu ya uongozi kwa muda mchache jambo ni gumu.
4. CCM watambana kila atapopita katiks vyama kwa sababu ni looser yaani atakuwa kashatoka chama imara yupo chama legelege.
Hatma yake kisiasa ndio huu.
Utawaona kwa vilemba vyao; Lisu kawashika pabaya, kila hekaya mtazisimulia. Metaphors-garbage !
 
Ni wazi Lissu si mwanachadema kiakili na kisaikoloji, kisheria ni mwanachama
Nje ya chadema hawezi kufanya siasa ambazo lissu anafanya.
Sababu kubwa 4.
1. Hakuna chama ambacho lissu ataenda kujiunga kusiwe na migogoro
2. ACT wazalendo ambaocho kidogo kina nguvu kwa upande wa Zanzibar ni siasa tofauti na za lissu. Lissu hushambulia lkn act wao wanatumia akili zaidi kuliko kushambulia
3. Lissu na team yake watataka madaraka ya juu ya uongozi kwa muda mchache jambo ni gumu.
4. CCM watambana kila atapopita katiks vyama kwa sababu ni looser yaani atakuwa kashatoka chama imara yupo chama legelege.
Hatma yake kisiasa ndio huu.
Hiki ni kipindi cha mpito. Ukijifungua utakuwa kawaida na wala hutokuwa unamfikiria kila wakati kama hivi. Ila nyie mnakuwa na wakati mgumu. Nami mke wangu alinichukia kipindi ana mimba yangu. Akawa ananisema vibaya kila wakati kwa kila mtu. Yaaani haipiti saa moja kanishtaki kuwa mimi mbaya namtesa nk
 
Ni wazi Lissu si mwanachadema kiakili na kisaikoloji, kisheria ni mwanachama
Nje ya chadema hawezi kufanya siasa ambazo lissu anafanya.
Sababu kubwa 4.
1. Hakuna chama ambacho lissu ataenda kujiunga kusiwe na migogoro
2. ACT wazalendo ambaocho kidogo kina nguvu kwa upande wa Zanzibar ni siasa tofauti na za lissu. Lissu hushambulia lkn act wao wanatumia akili zaidi kuliko kushambulia
3. Lissu na team yake watataka madaraka ya juu ya uongozi kwa muda mchache jambo ni gumu.
4. CCM watambana kila atapopita katiks vyama kwa sababu ni looser yaani atakuwa kashatoka chama imara yupo chama legelege.
Hatma yake kisiasa ndio huu.
Chawa wa Lissu vs chawa wa Mbowe vs chawa wa Chura Kiziwi.
 
Ni wazi Lissu si mwanachadema kiakili na kisaikoloji, kisheria ni mwanachama
Nje ya chadema hawezi kufanya siasa ambazo lissu anafanya.
Sababu kubwa 4.
1. Hakuna chama ambacho lissu ataenda kujiunga kusiwe na migogoro
2. ACT wazalendo ambaocho kidogo kina nguvu kwa upande wa Zanzibar ni siasa tofauti na za lissu. Lissu hushambulia lkn act wao wanatumia akili zaidi kuliko kushambulia
3. Lissu na team yake watataka madaraka ya juu ya uongozi kwa muda mchache jambo ni gumu.
4. CCM watambana kila atapopita katiks vyama kwa sababu ni looser yaani atakuwa kashatoka chama imara yupo chama legelege.
Hatma yake kisiasa ndio huu.
Malaria 2 imepanda kichwani, hiyo haina shaka

Nani kawa Makamu Mwenyekiti CCM kuchukua nafasi ya Kinana..?

Maana wana CCM nyie kina Malaria 2 mmeacha mambo yenu na kuhamishia uchafu na vurugu zenu kwa jirani yenu...

Acheni hizo.??
 
Back
Top Bottom