Ni kweli Mbowe kachoka, lakini Lissu sio mtu sahihi wa kumwachia chama

Wewe jua kulipwa Mshahara mwisho mwezi huu CHADEMA. inakufa
 
Imebainika wengi wenu tayari mmeshakuwa wagonjwa wa akili
 
Haha Malaria unahangaika.
Vipi kipigo kitakatifu cha bavicha?
 
Utawaona kwa vilemba vyao; Lisu kawashika pabaya, kila hekaya mtazisimulia. Metaphors-garbage !
 
Hiki ni kipindi cha mpito. Ukijifungua utakuwa kawaida na wala hutokuwa unamfikiria kila wakati kama hivi. Ila nyie mnakuwa na wakati mgumu. Nami mke wangu alinichukia kipindi ana mimba yangu. Akawa ananisema vibaya kila wakati kwa kila mtu. Yaaani haipiti saa moja kanishtaki kuwa mimi mbaya namtesa nk
 
Chawa wa Lissu vs chawa wa Mbowe vs chawa wa Chura Kiziwi.
 
Malaria 2 imepanda kichwani, hiyo haina shaka

Nani kawa Makamu Mwenyekiti CCM kuchukua nafasi ya Kinana..?

Maana wana CCM nyie kina Malaria 2 mmeacha mambo yenu na kuhamishia uchafu na vurugu zenu kwa jirani yenu...

Acheni hizo.??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…