π€£π€£π€£ Nahudumia ndoa yangu jamani, niko bize mnoo muda wote namlambalamba baba tamu na kumbebisha awwwwhhhhπ₯°π₯° π₯°π₯°π₯°πππππ€£π€£π€£π€£ wizo miwaya siyo kabisaaa!!
Nimekumiss wizo nani kakuficha jamani??
Mxiewwww!! Wizo nimecheka kwa sauti ya dharau huku π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Nahudumia ndoa yangu jamani, niko bize mnoo muda wote namlambalamba baba tamu na kumbebisha awwwwhhhhπ₯°π₯° π₯°π₯°π₯°ππππ
Niwe mkweli hata mimi sijui yuko wapi huyo rafiki yetu.Umemficha wapi? Mwambie aje kunipa hi nna ujumbe wake π€£π€£π€£
HUjaelewa upande upi cocastic?Hebu eleza kwa undanii zaidi, mnatuchangqnyaa waja wallah.
Mhmm!! Huo sasa uongo π€£π€£π€£Niwe mkweli hata mimi sijui yuko wapi huyo rafiki yetu.
Simpati popote ni muda mrefu sana
Kwani nimeanza lini kukwambia uongo?Mhmm!! Huo sasa uongo π€£π€£π€£
Yani ww usijue alipo babe wako?? Acha basi kunifanya mtoto bro
π π π π πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈWe phalla kumbe daktari wa ukweli?πππ
Safi sana
Lazima upime oil ili ujue kama bwawa au kisimaππππππ si huwa mnasema bwawa haina ladha
Sasa utajuaje huyu ana bwawa au hana
Leo ndo umeanza hapa π€£π€£π€£Kwani nimeanza lini kukwambia uongo?
Nasema kweli mbele za Mungu
Leo hujapewa naonaπLeo ndo umeanza hapa π€£π€£π€£
Watu inabidi wajue kwamba kipimo hakipimi virusi kinapima reaction ya kinga ya mwili kwa kirusi so hata dawa ikipatikana +ve wataendelea kuwa +veHapana U=U
ni kiasi cha Virusi kuwa chini sana kwenye Damu tunaita TND..
Hiyo Haifanyi Virusi visionekane kwenye Antibodies Test au Visiwepo mwilini..
Bado ataendelea Kuwa na HIV ila uwezo wa kusambaza Virusi huwa ni mdogo sana..
Kwanini mnaogopa watu ambao tayari wapo kwenye dawa?
Me ningeshauri watu waogope zaidi mtu yule ambaye Kipimo kinasoma Negative..
kwanini?
Mtu anapokuwa kwenye Window Period Virusi huzaliana sana na ndo kipindi ambacho Muathirika anakuwa na Peak kubwa ya Virusi kuliko wakati wowote ule maana kipindi hicho bado antibodies hazijaanza kufanya kazi ya kupambana na Virus...
Hakuna kipind Muathirika huwa Contagious Wa HIV kama kipindi cha window Period..
Sijapewa nini? π€£π€£π€£Leo hujapewa naonaπ
Kuweza Prep kila siku hii mbona hatari kubwa kwanza mavidonge makubwa kama njugu na yanaharufu kali sana hata kuyasogelea tu Dah.Hapo hata mimi hunipati..
Ila nimeshaona baadhi ya watu wanaishi hivi na clinic za ctc wanakuja pamoja..mmoja anapewa Arv zake mwingine anapewa Prep(dawa ya kujilinda)..
Kanuni ya ukimwi ni hii hapa kitabibuHii couple maarufu huko TikTok ni kweli? Dada anasema kaathirika na kaolewa na mwanaume wana watoto na mume hajaathirika na HIV, na wanapendana kweli nadhani mliwaona walihojiwa wenyewe na walisema hawatumii condom.
Najiuliza ina maana DECEPTION alisema kweli kipindi kile au wanahamasisha watu wasiogope UKIMWI?
Je, kuna watu hawaambukizwi HIV?
Ni kweli mtu akitumia vizuri dawa ARV haambukizi wengine?
Je, UKIMWI ni fix tu?