Ni kweli mtu akitumia dawa ya UKIMWI hawezi kumuambukiza mwenzake hata bila kutumia kinga?

Ndiyo maana unaweza kuoa au kuolewa na muathirika ambaye anajijali na akiwa anazingatia dozi ,vyakula na maelezo ya daktari kwa usahihi hauwezi pata hadi mnazeeka.
Mimi hii kauli ya " Kama atazingatia dozi vizuri......." ndiyo inayonitisha... Binadamu bwana hatupo perfect.. Ina maana siku moja akiteleza au akawa mrejevu kwenye kuzingatia dozi kwa wakati tayari unao.
Sasa yote haya ya nini? Hapo si kama umeyaweka rehani masiha yako kwake? Yani kiufupi yeye ndyo ameishikilia roho yako na ndiyo mwenye maamuzi ya mwisho ya kukuambukiza ama kutokuambukiza HIV.
 
Jirani ndio upo hivi au ni kwa kipindi hiki cha mfungo tu ?😂

Afya njema ni mtaji
 
Ookay
 
😅😅 sina comment mkuu
 
Hongera Dr...umeiweka vizuri,tatizo Wana JF woteee humu wanajifanya wako negative, sasa sijui watakuelewa?😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…