Ni kweli Mungu hana Upendo? Au sisi tu ndio hatumuelewi!?

Ni kweli Mungu hana Upendo? Au sisi tu ndio hatumuelewi!?

Kwanza Mungu ana uoendo mkuu na ndio maana alikuja na kufa kwasababu ya makosa yako uliyojitakia mwenyewe

Halafu unapokatazwa kufanya jambo na ukaambiwa adhabu yake ni viboko kumi halafu ukafanya huku unajua kabisa adhabu yake,ukitandikwa utakuwa umejitandika mwenyewe au laa?

Mungu gani kafa?

Sema mungu yesu wa kwenu ndio aliuawa.

Usiseme Mungu with capital "M".

Mungu akishakufa bado atakuwa na sifa Ya kuitwa Mungu?

We vipi unakosa heshima na adabu kwa MUNGU namna hii?
Hio ni kufuru kubwa mno Kumsingizia MUNGU Uongo!
Ovyo sana nyie watu.
 
Mungu gani kafa?

Sema mungu yesu wa kwenu ndio aliuawa.

Usiseme Mungu with capital "M".

Mungu akishakufa bado atakuwa na sifa Ya kuitwa Mungu?

We vipi unakosa heshima na adabu kwa MUNGU namna hii?
Hio ni kufuru kubwa mno Kumsingizia MUNGU Uongo!
Ovyo sana nyie watu.
Mungu anaweza yote au hawezi?
 
Elisha Chuma

Kuna Mungu mmoja tu muweza yote na upande wa pili kuna Shetani,hapa either unamuabudu Mungu au Shetani basi hakuna kingine

Mungu ameweka kanuni ambazo kila mmoja akizifuata atapata matokeo iwe hasi au chanya bila kujali anamjua au hamjui,hivyo unaposema kuna sijui miungu ambayo inakwenda kumuomba huyu mkuu na anafanikisha ni mawazo yako tu!




Kwanza Mungu ana uoendo mkuu na ndio maana alikuja na kufa kwasababu ya makosa yako uliyojitakia mwenyewe

Halafu unapokatazwa kufanya jambo na ukaambiwa adhabu yake ni viboko kumi halafu ukafanya huku unajua kabisa adhabu yake,ukitandikwa utakuwa umejitandika mwenyewe au laa?

Tazama unavyodanganya watu hapa.
Unasema Mungu mmoja muweza wa yote, halafu hapo hapo Unasema Huyo huyo muweza wa yote KAJITOA ROHO YAKE ili wewe na Mkuu wa chuo cha machizi mpate kusamehewa.
Sasa km ni muweza ya yote alishindwaje Kuwasamehe tu mpaka AJITOE ROHO YAKE?
Yaani Muweza wa yote alishindwa ti kusema "nimewasamehe madhambi yenu ya kuiba pesa za sadaka?
Mpaka ajiue?
 
Last edited by a moderator:
Tazama unavyodanganya watu hapa.
Unasema Mungu mmoja muweza wa yote, halafu hapo hapo Unasema Huyo huyo muweza wa yote KAJITOA ROHO YAKE ili wewe na Mkuu wa chuo cha machizi mpate kusamehewa.
Sasa km ni muweza ya yote alishindwaje Kuwasamehe tu mpaka AJITOE ROHO YAKE?
Yaani Muweza wa yote alishindwa ti kusema "nimewasamehe madhambi yenu ya kuiba pesa za sadaka?
Mpaka ajiue?
Soma nilichoandika kwenye mada ndio ujue ni kwanini hakutaka kusamehe tu hivi hivi,sio kwamba alishindwa

Acha kukurupuka!
 
Last edited by a moderator:
Mungu anaweza yote au hawezi?

Mungu mkuu ni muweza wa yote lkn Yesu wa kweli au yesu wa uongo hawezi kufanya lolote bila amri ya Mungu Mkuu

Mungu hafi! Wala hajawahi Kufa! Wala HATOKUFA HATTA SIKU MOJA.

SIFA ya Kufa ni ya VIUMBE na SIO ya MUNGU MKUU.

Wacheni kudanganya watu enyi wagalatia. Mtapigwa na Laana mfe kabla ya siku zenu.
 
Soma nilichoandika kwenye mada ndio ujue ni kwanini hakutaka kusamehe tu hivi hivi,sio kwamba alishindwa

Acha kukurupuka!

Wacha wewe unaekopi na ku paste.
Andiko lako pia limeongezewa manano na yule mnaemuabudu aliyejipa Unabii PAULO.
Huyu ndio mtu pekee ktk hio bibilia agano jipya ndio aliowadanganya habari ya Mungu KUJITOA MUHANGA!

Tatizo lenu nyie ni Akili kuambiwa.
Kila mnachoambiwa mnabeba mazima!
Mara Mungu Kafa!
Mara kaskia njaa!
Mara kapigwa mpaka analia!
Mara Kavunja meza za watu sokoni!

Huyu Mungu? Au Mangi?
 
Hii mada ni pasua kichwa
Kamwe haitakuja kueleweka kwa watu mpaka watu wawe na elimu ya tauhid




Unamaanisha nini mkuu?

Mkuu itara unamtajia Mgalatia elimu ya Tauhid unategemea Atakuelewa?

Watu wa namna hii ni wa kuwaombea dua tu Mungu awatoe ktk giza.

Huyu Eiyer anakubali kabisa kuwa Mungu ALIZALIWA, Akaogeshwa, akatahiriwa, akaskia njaa, akapigwa na mwisho AKAUAWA!

Sasa hapa Unategemea kuna Mtu kweli?

Ehhh MwenyeziMungu waongoze hawa Majahil na Kufffar ktk Njia yako.
Hakika wamo ktk Kiza kikubwa mno!
Wanakukashifu kila siku lkn bado unawapa Rizki na Maisha!

SUBHANAKKA ALLAHUMMA WABIHAMDIKA Nastaghfiruka wanatuubu ilaik Yaa Rabb.
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo unataka kuniambia mwizi akiiba huwa anajichoma moto mwenyewe? ni wazi kabisa kuwa bado tunaishi kwenye hasira ya Mungu na ametuahidi kwamba atatusamehe ila bado hajatenda hivyo, hapa tulipo tuna imani kuwa kuna siku Mungu, ataitupilia mbali adhabu aliyotupatia, Mungu hafananiki kwa uweza na nguvu, hivyo unapaswa kujua siku yoyote saa yoyote mungu akiamua tu kusema basi inatosha, kila kitu kitakaa sawa na hatutaona shida tena, Mungu alikuwa na uwezo hata wa kuwasamehe kina adam tangu siku ile ile waliyofanya kosa, ila sababu alipata hasira kali ndo maana mpaka sisi vizazi wa vizazi tunaendelea kuteseka kwenye ile hasira ya Mungu, ila Sio kwamba Mungu akiamua kutumalizia hizi taabu hawezi!, La hasha anaweza sana, ila bado ana hasira na ndo maana anatuahidi kuwa atakuja, tena atakuja mwanae sio yeye kuwahukumu wazima na wafu, maana inaonekana Mungu ana hasira kali mno kwetu

Wewe ni Mkristo mwenye uono mwema sana lkn bado unatakiwa kufahamu kuwa Mungu hana mwana! Wala haitaji Mwana. Wala msaidizi.
Mungu ni MMOJA TU. Hajazaa Wal Kuzaliwa Wala Hana Anaefanana nae ktk UFALME WAKE.
 
Upendo na kunyesha kwa kumvua kuna uhusiano gani hapa? Jifunze kufikiria kijana. Zaidi ya hapo, wewe unalinganisha "Upendo" na "kuamini".

IN BLUE:
1. Kwanini Mungu alimtuma Mwanae?
2. Kwanini Mwanae ilibidi afe?
3. Kwanini Mwanae na sio Malaika?
4. Kuokoka kutokea nini na au wapi?
5. Kwanini watu wokoke?

Wacha longa longa!

Hakuna siku yyt Mungu akawa na Mwana!
Wala hakuna Sifa dhaifu km hio Kwa MUNGU MKUU.

Nyie mpaka leo maabudu Mzungu halafu mnamuita Mwana wa Mungu.

Yule ni mzungu tu hata mlie machozi ya damu hawezi kuwa Mwana wala jirani yake na Mungu!

Acheni ukafiri mtapigwa na radi mfe ovyo!
 
Kwanza Mungu ana uoendo mkuu na ndio maana alikuja na kufa kwasababu ya makosa yako uliyojitakia mwenyewe

Halafu unapokatazwa kufanya jambo na ukaambiwa adhabu yake ni viboko kumi halafu ukafanya huku unajua kabisa adhabu yake,ukitandikwa utakuwa umejitandika mwenyewe au laa?

Ukitandikwa utakuwa umetandikwa na huyo ambaye alikuonya usifanye hilo kosa,. Tunaamini kuwa Mungu ana Upendo ila suala la yeye kujitoa na kuja duniani na kuvaa mwili wa binadamu na kuteswa, Lilibadilisha nini katika maisha yetu kimwili? sababu watu waliendelea kufa kama kawaida, dhiki njaa na shida bado viliendelea, Ila Unatakiwa kujua kuwa saa yoyote Muda wowote hata sasa akiamua kusema imetosha, kila kitu kitakuwa sawa na tutakuwa salama salimini kutoka kwenye mikono ya Shetani ila sababu tu Mungu bado ana hasira juu yetu ndo maana ameamua kukaa mbali na hata siku ya mwisho atayekuja kuhukumu ni Mungu mwana ila Mungu baba hataki hata kutuona sisi kwa jinsi alivyochukia tangu zama za Adam
 
Mungu mkuu ni muweza wa yote lkn Yesu wa kweli au yesu wa uongo hawezi kufanya lolote bila amri ya Mungu Mkuu

Mungu hafi! Wala hajawahi Kufa! Wala HATOKUFA HATTA SIKU MOJA.

SIFA ya Kufa ni ya VIUMBE na SIO ya MUNGU MKUU.

Wacheni kudanganya watu enyi wagalatia. Mtapigwa na Laana mfe kabla ya siku zenu.
Unajua maana ya kuweza yote wewe?

Unasema anaweza yote halafu unasema hawezi kufa,mbona unajikinza?

Kama Mungu anaweza yote kwanini ashindwe kufa?
 
Wacha wewe unaekopi na ku paste.
Andiko lako pia limeongezewa manano na yule mnaemuabudu aliyejipa Unabii PAULO.
Huyu ndio mtu pekee ktk hio bibilia agano jipya ndio aliowadanganya habari ya Mungu KUJITOA MUHANGA!

Tatizo lenu nyie ni Akili kuambiwa.
Kila mnachoambiwa mnabeba mazima!
Mara Mungu Kafa!
Mara kaskia njaa!
Mara kapigwa mpaka analia!
Mara Kavunja meza za watu sokoni!

Huyu Mungu? Au Mangi?

Andiko nililokopi liko wapi na nimeandikwa sehemu gani?
 
Ukitandikwa utakuwa umetandikwa na huyo ambaye alikuonya usifanye hilo kosa,. Tunaamini kuwa Mungu ana Upendo ila suala la yeye kujitoa na kuja duniani na kuvaa mwili wa binadamu na kuteswa, Lilibadilisha nini katika maisha yetu kimwili? sababu watu waliendelea kufa kama kawaida, dhiki njaa na shida bado viliendelea, Ila Unatakiwa kujua kuwa saa yoyote Muda wowote hata sasa akiamua kusema imetosha, kila kitu kitakuwa sawa na tutakuwa salama salimini kutoka kwenye mikono ya Shetani ila sababu tu Mungu bado ana hasira juu yetu ndo maana ameamua kukaa mbali na hata siku ya mwisho atayekuja kuhukumu ni Mungu mwana ila Mungu baba hataki hata kutuona sisi kwa jinsi alivyochukia tangu zama za Adam

Nini kimesababisha utandikwe?

Na aliesababisha nani utandikwe?

Bila kukosea ungetandikwa?
 
Kiranga
nimekutag kwa makusudi ili upitie hii thread najua utajifunza mengi katika dhana yakn.
 
Last edited by a moderator:
Unajua maana ya kuweza yote wewe?

Unasema anaweza yote halafu unasema hawezi kufa,mbona unajikinza?

Kama Mungu anaweza yote kwanini ashindwe kufa?

Hebu shirikisha Ubongo japo siku moja wewe!
Kuwa na uwezo wote Hakuna maana kujidhalilisha na kufanya vitu vilivyo kinyume na Sifa zako.

Wewe una uwezo wa kufunga ndoa na mzazi wako wa kike.
Je! Km unatumia akili zako Utaweza kufanya hivyo?

Moja ya Sifa Kuu ya MUNGU ni WA MILELE NA MILELE.
Sasa Akishakufa Hio sifa Bado ITAKUWEPO?

Nyie kila siku Mnatuimbia hapa na Mnasema kuwa ETI mungu wenu ana NAFSI TATU!
Sasa Wakati ile Nafsi moja ILIPOKUFA ina manaa huyo mungu wenu aliishi kwa NAFSI MBILI?

HIvi Lini mtaamua Kutoka nje ya Box la ugalatia Na Kuuona Ukweli?

Mungu AFE! na Wewe Umpe Cheo Cha Alfa na Omega !?

Duh!
Ugalatia Balaa nyie!
 
Hebu shirikisha Ubongo japo siku moja wewe!
Kuwa na uwezo wote Hakuna maana kujidhalilisha na kufanya vitu vilivyo kinyume na Sifa zako.

Wewe una uwezo wa kufunga ndoa na mzazi wako wa kike.
Je! Km unatumia akili zako Utaweza kufanya hivyo?

Moja ya Sifa Kuu ya MUNGU ni WA MILELE NA MILELE.
Sasa Akishakufa Hio sifa Bado ITAKUWEPO?

Nyie kila siku Mnatuimbia hapa na Mnasema kuwa ETI mungu wenu ana NAFSI TATU!
Sasa Wakati ile Nafsi moja ILIPOKUFA ina manaa huyo mungu wenu aliishi kwa NAFSI MBILI?

HIvi Lini mtaamua Kutoka nje ya Box la ugalatia Na Kuuona Ukweli?

Mungu AFE! na Wewe Umpe Cheo Cha Alfa na Omega !?

Duh!
Ugalatia Balaa nyie!

Sina uwezo wa kufunga ndoa na mama yangu mzazi hivyo tafuta mfano mwingine

Mungu kuweza yote maana yake hakuna kinachomshinda hata kuwa mwanadamu pamoja na kufa pia

Kwanini ashindwe kufa kama anaweza yote?

Huyo Mungu ambae anashindwa kufa au kuwa mwanadamu ni Mungu kweli?
 
Back
Top Bottom