Ni kweli Mungu hana Upendo? Au sisi tu ndio hatumuelewi!?

Ni kweli Mungu hana Upendo? Au sisi tu ndio hatumuelewi!?

Kama alitengua dhambi ya asili kwanini bado tunaendelea kufa? na kuteseka? kama kale?
Wapi kwenye Biblia panasema kuwa Wakristo wanakufa?

Wewe sio mwili na nyama na damu bali wee ni Roho inayo ishi kwenye Mwili na nyama. Labda hukulifahamu hilo. Roho yako ambayo ni wewe haifi bali unatoka tu kwenye mwili na nyama na damu na kwenda sehemu nyingine.

Exhibit:
2 Corinthians 5: 8 We are confident, I say, and willing rather to be absent from the body, and to be present with the Lord.
 
Wapi kwenye Biblia panasema kuwa Wakristo wanakufa?

Wewe sio mwili na nyama na damu bali wee ni Roho inayo ishi kwenye Mwili na nyama. Labda hukulifahamu hilo. Roho yako ambayo ni wewe haifi bali unatoka tu kwenye mwili na nyama na damu na kwenda sehemu nyingine.

Exhibit:
2 Corinthians 5: 8 We are confident, I say, and willing rather to be absent from the body, and to be present with the Lord.

Yesu alifanya nini na siku ya tatu akafufuka kutoka kwa wafu waliokufa? soma Mhubiri 9:5,6,10 ujue mtu anapokufa huwa inakuwajee au Zaburi 146:4.. Mtu akifa amekufa yaani ni kama tv iliyozima haisikii wala kuhisi kitu roho za watu zingekuwa huwa zinaenda mahari basi tungeambiwa siku ya mwisho mungu ataenda mahari roho zilipo na kuzivisha miili tena ila unaambiwa siku ya mwisho makaburi yatafunguka na waliokuwa wafu watapata tena kuwa hai, Maana roho zilikuwa palepale Makaburini zimelala ila zitaamshwa.
 
Kwanza kabisa umeonyesha udhaifu mkubwa sana na ukosefu wa ufahamu wa nini kilitokea hapo mwanzo.

1. Ailye ambiwa asile tunda ni Adam na sio Hawa kama ulivyo sema hapo juu.

2. Hawa aka Eve alipo kula tunda, hakuna kilicho tokea na mambo bado yalikuwa shwari, hili hukulifahamu.

3. Alipo kula tunda Adam ndio macho yao wote wawili yalifunguka na kujiona wapo uchi.

4. Mungu alipo kuja chini alimuuliza Adam, nani kakwambia upo uchi na sio Eva.

5. Adam mbavu yake ndio iliyo muumba Eva. Hivyo basi.......

6. Adam kwa kuwa ndie aliye tumiwa kutengeneza Eva, hiyo ndio sababu ya dhambi kufuta binadamu kwasababu ya asili yetu ni Adam.

7. Wewe unashangaa kwanini dhambi aliyo fanya Adam ikufuate lakini haushangai kwanini DNA yako na baba yako zinashabihana.

8. Wewe unashangaa kwanini Adam dhambi yake ikufuate lakini haushangai kwanini mtu mwenye Ukimwi akikuingiza damu yake na wewe unapata ukimwi. Your blood is Adamic.

9. You need the blood of Jesus to nullify the corrupted blood of Adam.

10. Ndio maana huwezi kwenda Mbinguni bila ya kutumia damu ya Yesu.

11. Kumbe basi the second Adam ndie alikuja kutengua ile dhambi ya asili.

12. Bila ya Yesu Mungu, weye huendi Mbinguni bali Jehannam inakungoja.

YESU NI MUNGU MKUU

Ndugu yangu unaposema Yesu ni Mungu mkuu unakosea,

(a). Unatakiwa kujua na kuuelewa Utatu mtakatifu, maana ya utatu ni nguvu tatu zinazofanya kazi kwa pamoja Mbiguni ambapo kuna MUNGU BABA ambaye huyo ndo mpango mzima yaani huyo ndo Alfa na Omega kama unasikiaga hilo jina, na hakuna chochote bila huyo maana ndo aliyeumba kila kitu.

(b). Pia kuna Mungu Mwana huyo ndo Yesu unayemuita wewe Mungu mkuu, huyu tunaweza kumuita ndo waziri Mkuu Mbinguni.

(c). Kuna roho mtakatifu, Hawa ni Malaika wale wa mbiguni, ambao hufanya kutokana na amri ya MUNGU BABA AU MWANA, NB:- kuna malaika wengine ni wakosefu walitupwa hapa Duniani hao ndio wanaitwa Miungu maana mwanzo walikuwa kwenye Utatu wakamuasi Mungu baba na kufukuzwa.

Haya tunarudi kwenye maada wewe hapa unadai kuwa Yesu kristo ni Mungu mkuu haya jibu haya mwaswali....

1.Yesu alipokuwa msalabani alisema Mungu wangu mbona umeniacha, alikuwa anamzungumzia yupi tena wakati yeye ni Mungu Mkuu?

2.Soma Yohana17:3 inasema Na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe ni Mungu na Yesu Kristo uliyemtuma. Sasa kwanini isingesema "Wakujue wewe Yesu Kristo ni Mungu.?

3.Soma Zaburi 90:2 inasema Mwana huyo mzaliwa wa pekee hakujaribu kuwa kama baba yake! na Zaburi 14:28 inafunza wazi kuwa baba ni mkuu kuliko mwana! haya hapa nahitaji uniambie huyo mwana anayezungumziwa ni nani?

4.Mathayo 4:23 Yesu mwenyewe alisema Yale ninayowafundisha si yangu bali ni yake yeye aliyenituma, Swali je alitumwa na nani?

Yesu si Mungu mkuu ila ni daraja letu ili kumfikia baba maana yeye mwenyewe Yesu alisema hamuwezi kufika kwa Mungu bila kupita kwangu! Ndugu yangu usikufuru!!..,
Mungu Mkuu ni Mungu baba, Ila Yesu yumo kwenye utatu kama Mungu mwana, Unatakiwa ujue kuwa Kuna Mungu Baba huyo ndo mpango mzima hata nashindwa nimuongeleaje! Pia unapaswa kujua kuwa Yesu aliumbwa na ndo mzaliwa wa kwanza kuumbwa soma Wakolosai 1:15 hapo utagundua kumbe Kumbe Yesu alikuwa na Mwanzo ila si kwa Mungu baba huyo hana mwanzo wala mwisho maana yeye ni Milele ya kale na milele ijayo.
 
Ishmael

Sawa ila kumbuka kuwa Adam ndiye aliyefanya hilo agano na Mungu hukufanya wewe au Mdogo wa au mwanao au Babu yako, Sasa suala la adhabu yao wewe linakuhusu nini? Ulikuwa na Adam siku ya hilo agano? Je huwa huwazi kama ingekuwaje kama wewe ungekuwa ndo adam na ungekataa kula tunda? Unahisi ni haki kwa Kosa alilofanya babu wa babu wa babu wa mababu lije likulize wewe na kukutoa machozi tena Msimamizi wa hiyo kesi Tukimuita ndiye mfalme wa Amani!!!! Amani iko wapi?

Je wewe ungekuwa ni baba mwenye busara ungeweza kumuachia Chizi amlee mwanao sababu jana mwanao alikukosea kwa kukuibia peni ndani ya nyumba? hivyo ndivyo Mungu alivyotuacha na Sisi na shetani....!!!! Upendo uko wapi hapa? Kwa dhiki, shida njaa na vifo.?
 
Last edited by a moderator:
Kwanza kabisa umeonyesha udhaifu mkubwa sana na ukosefu wa ufahamu wa nini kilitokea hapo mwanzo.
ya asili yetu ni Adam.

7. Wewe unashangaa kwanini dhambi aliyo fanya Adam ikufuate lakini haushangai kwanini DNA yako na baba yako zinashabihana.

8. Wewe unashangaa kwanini Adam dhambi yake ikufuate lakini haushangai kwanini mtu mwenye Ukimwi akikuingiza damu yake na wewe unapata ukimwi. Your blood is Adamic.

9. You need the blood of Jesus to nullify the corrupted blood of Adam.

10. Ndio maana huwezi kwenda Mbinguni bila ya kutumia damu ya Yesu.

11. Kumbe basi the second Adam ndie alikuja kutengua ile dhambi ya asili.

12. Bila ya Yesu Mungu, weye huendi Mbinguni bali Jehannam inakungoja.

YESU NI MUNGU MKUU

Yesu sio Mungu wala sio mwana wa Mungu.

Na km Yesu mnamuita mwana wa Mungu! Hebu tutizame kwenye BIBILIA je ! Yuko peke yake? Au kuna wana wa Mungu wengine?

Tuangalie ushahidi uliopo katika Biblia, huenda ukaelewa uhalisia wa neno Mwana wa Mungu.
Biblia inasema kwamba:
1. Bwana asema hivi, Israeli ni mwanangu mimi, mzaliwa wa kwanza wangu.(Kutoka 4:22).

2. Daudi ni mwana wa Mungu, yeye pia ni mwana wa kwanza. (Zaburi 89: 26-27).

3. . . . .maana mimi ni baba wa Israel i na Ef raim (Ibrahim) ni mzaliwa wa kwanza wangu. (Yeremia31:9). Hawa wana wa Mungu wote, kila mmoja wao ni mzaliwa wa kwanza kwa Mungu.

Kwanza itakuwaje watoto wote watatu wawe wazaliwa wa kwanza kwa Mungu?

Pili kwa nini hawa wazaliwa wa kwanza wasiitwe miungu?

Na kama hawa watatu wakubwa hawawezi kuwa miungu wala hawaabudiwi, basi mtoto mdogo Yesu pia hana haki yoyote ya kuitwa Mungu wala hana haki ya kuabudiwa.

OK TUENDELEE:
4. Suleimani ni Mwana wa Mungu. (Mambo ya Nyakati 22:9-10).

5. Wa p a t a n i s h a o w a m e i t w a Wa n a w a M u n g u.(Mathayo 5:9).

Oo! siyo tu bali katika Biblia baadhi ya watu wameitwa miungu. Tena hakuna Mkristo ambaye anawaita miungu wala hawaabudiwi.-

Kama Biblia inavyosema kwamba:

A. Yesu akawajibu, Je! haikuandikwa katika Torati yenu ya kwamba, mimi nimesema, ndinyi miungu? (Yohana 10:34).

B. Bwana akamwambia Musa angalia, nimekufanya wewe kuwa kama mungu kwa Farao na huyo ndugu yako Harun atakuwa Nabii wako. (Kutoka 7:1)

Hivyo basi;
Mwana wa Mungu maana yake ni kipenzi cha Mungu, yaani anayefata na kutekeleza maagizo ya Mwenyezi Mungu.

Nadhani mpaka hapa Wagalatia Ishmael Eiyer na 2013 mtakuwa mmepata darasa la kutosha kabisa.

Hio dodoma wine mnayoita damu ya Yesu inaathiri Maini na figo! Mtaumia kwa kuwa na vichwa maji! Acheni.
 
Last edited by a moderator:
Upendo na kunyesha kwa kumvua kuna uhusiano gani hapa? Jifunze kufikiria kijana. Zaidi ya hapo, wewe unalinganisha "Upendo" na "kuamini".

IN BLUE:
1. Kwanini Mungu alimtuma Mwanae?
2. Kwanini Mwanae ilibidi afe?
3. Kwanini Mwanae na sio Malaika?
4. Kuokoka kutokea nini na au wapi?
5. Kwanini watu wokoke?

Warumi1:
22 wakaubadili utukufu wa Mungu asiye na uharibifu kwa mfano wa sura ya binadamu aliye na uharibifu, na ya ndege, na ya wanyama, na ya vitambaavyo. 23 Kwa ajili ya hayo Mungu aliwaacha katika tamaa za mioyo yao, waufuate uchafu, hata wakavunjiana heshima miili yao.
24 Kwa maana waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakakisujudia kiumbe na kukiabudu badala ya Muumba anayehimidiwa milele. Amina.

25 Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili;
26 wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa, wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo haki yao.

27 Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.

Soma vizuri kwa utuvu utajuwa yaliotajwa hapo yanapatikana wapi.
 
Eiyer kwanza utueleze unaongelea Mungu yupi? maana nyinyi wenzetu hamchelewi kusema Yesu ni Mungu wakati yeye mwenyewe kwenye biblia anakataa hilo.
 
Last edited by a moderator:
Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hayuko consistent na ulimwengu ambao una kutandikana, kwa sababu alikuwa na kila uwezo, ujuzi na upendo kuumba ulimwengu ambao hauwezekani habari za kutandikana.

Kuwezekana kuwepo kutandikana kunaonesha ulimwengu huu haujaumbwa na mungu huyo.

Unapokurupuka tu kutoka huko vuuu na kuja kuandika maelezo bila hata kusoma mada inahusu nini na inaongelea mambo gani unakuwa hujajitendea haki wewe mwenyewe na wale ambao watakusoma

Mada yangu inahusu mambo mawili

1; Vile ambavyo uwepo wa ulimwengu huu ulivyo matokeo ya upendo wake Mungu
2; Ushahidi kwamba Mungu wa kwenye bibia ni Mungu na anathibitisha kwamba anaweza kuwa hakimu wa haki na Mungu wa huruma hapo hapo

Unaweza kuona kwamba hoja yako inajibiwa kwenye mada,nenda kasome kisha uje ujenge hoja kutokana na mada na sio nje ya mada

Ukija na maelezo ambayo yapo nje ya mada sitajisumbua kukujibu!
 
Kabla ya kusema sana kuhusu mungu, thibitisha kwamba yupo.

Ama sivyo sema unapiga hadithi za kusadikika zisizo na haja ya kuthibitishwa.

Umekuwa ukitumia "immanent critique" ili kupinga uwepo wa Mungu,hapa naona umeamua kuitupilia mbali,hueleweki kabisa uko wapi na unasimamia msingi upi kujengea hja zako

Kama unataka mtu akuthibitishie uwepo wa Mungu acha kutumia immanent critique and vise vesa

Mada yangu inajibu hoja zenu kwa kutumia hiyo hiyo immanent critique yenu na unapaswa ubakie humo humo na sio kutoka nje,kama unataka uthibitisho wa uwepo wa Mungu baki huko huko bila kuchanganya mambo

Lakini pia hiyo immanent critique yako kwa mtu kama wewe ambae unakana uwepo wa Mungu haikufai kabisa kwasababu haitetei kutkuwepo kwa Mungu bali inaacha mlango wa uwezekano wa Mungu kuwepo

Immanent critique inachallenge sifa za Mungu anaesemwa kwenye biblia kama kweli kaumba ulimwengu huu kwasababu ya namna ulivyo,kama kweli itaonekana kwa sifa zake haiwezekani kuumbwa nae hiyo haitakuwa na maana kwamba hakuna Mungu bali itaonekana Mungu mwenye sifa kama hizo atakuwa hajaiumba dunia na inawezekana kuna mungu mwenye sifa nyingine kaumba hii dunia

Kwa maana hiyo immanent critique haikubaliani na dhana ya kutokuwepo kwa Mungu bali kinyume chake!
 
Mkuu, na kiswali kidogo kwako sasa Mungu akifa hii dunia yake alioiumba anamuachia nana?

Unamfananisha Mungu na binadamu sio?

Hujiulizi huyo Mungu akiwa anakusikiliza wewe halafu mwingine akawa anaomba wakati huo huo atasikilizwa na nani?

Acha kufikiri Mungu ni kama baba yako!
 
Unapokurupuka tu kutoka huko vuuu na kuja kuandika maelezo bila hata kusoma mada inahusu nini na inaongelea mambo gani unakuwa hujajitendea haki wewe mwenyewe na wale ambao watakusoma

Mada yangu inahusu mambo mawili

1; Vile ambavyo uwepo wa ulimwengu huu ulivyo matokeo ya upendo wake Mungu
2; Ushahidi kwamba Mungu wa kwenye bibia ni Mungu na anathibitisha kwamba anaweza kuwa hakimu wa haki na Mungu wa huruma hapo hapo

Unaweza kuona kwamba hoja yako inajibiwa kwenye mada,nenda kasome kisha uje ujenge hoja kutokana na mada na sio nje ya mada

Ukija na maelezo ambayo yapo nje ya mada sitajisumbua kukujibu!

Kabla ya maneno mengi kuhusu mungu, unaweza kuthibitisha kwambs yupo?

Usine kuwa unaongelea ngano, hekaya na hadithi bure.
 
Bwana wewe Eiyer! kwani wewe ndo Adamu? unahusika vipi kwa kosa walilofanya Kina Adamu na Hawa wastani wa miaka 6000 iliyopita? Ulikuwepo kwenye makubaliano ya Adam, Hawa na Mungu? Ulikuwepo wakati Adamu na Hawa wanakula Tunda? Mwanafunzi shule akikosa huwa anachapwa na kupewa adhabu yeye kama yeye lini ulishaona anachapwa mwanafunzi kwa kosa alilofanya yeye mwenyewe kisha mchapaji/mwalimu anaanza kuwatafuta na ndugu zake wa huyo aliyekosea awachape na kuwapa adhabu!? ili hali waliofanya makubaliano ya kuwa hili ni kosa na ukikosa nitakuchapa ni kati ya mwalimu na Mwanafunzi!, na ndugu wengine walikuwa hawapo hapo kwenye hayo makubaliano. Ile adhabu kama hadi sasa ingekuwa inawapata kina Adam na mwenzake Hawa ingekuwa ni sawa sababu hilo kosa linawahusu wao wenyewe, na walishaonywa ila hawakusikia huenda hata wewe Eiyer ungekuwa Adam ungekataa kula lile Tunda? sasa utajisikiaje Baba yako aibe Ng'ombe huko kijijini kisha wananchi wenye hasira kali wamchome moto yeye, kisha wafunge safari kukufuata wewe mjini na kisha kukuchoma moto wewe na watoto wako na mke wako?
Yesu alifundisha kwa mifano mimi nadhani utanielewa.

Unahitaji elimu nyingine kabla ya hii....

Subiri somo lako halafu ndio utalielewa hili....!!
 
Umekuwa ukitumia "immanent critique" ili kupinga uwepo wa Mungu,hapa naona umeamua kuitupilia mbali,hueleweki kabisa uko wapi na unasimamia msingi upi kujengea hja zako

Kama unataka mtu akuthibitishie uwepo wa Mungu acha kutumia immanent critique and vise vesa

Mada yangu inajibu hoja zenu kwa kutumia hiyo hiyo immanent critique yenu na unapaswa ubakie humo humo na sio kutoka nje,kama unataka uthibitisho wa uwepo wa Mungu baki huko huko bila kuchanganya mambo

Lakini pia hiyo immanent critique yako kwa mtu kama wewe ambae unakana uwepo wa Mungu haikufai kabisa kwasababu haitetei kutkuwepo kwa Mungu bali inaacha mlango wa uwezekano wa Mungu kuwepo

Immanent critique inachallenge sifa za Mungu anaesemwa kwenye biblia kama kweli kaumba ulimwengu huu kwasababu ya namna ulivyo,kama kweli itaonekana kwa sifa zake haiwezekani kuumbwa nae hiyo haitakuwa na maana kwamba hakuna Mungu bali itaonekana Mungu mwenye sifa kama hizo atakuwa hajaiumba dunia na inawezekana kuna mungu mwenye sifa nyingine kaumba hii dunia

Kwa maana hiyo immanent critique haikubaliani na dhana ya kutokuwepo kwa Mungu bali kinyume chake!

Kwa nini nisitumie immanent critique kama itanifikisha katika ukweli?

Hata katika kusolve mathematical equations kuna "Let a = b".

Nikianza uchunguzi wangu kuhusu kuwapo kwa mungu kwa kusema.

"Let "god exists" = true"
"Let "god is all powerful"= true"
"Let "god is all loving" = true"
"Let "god is all capable" = true
"Let "god created the universe" = true"

Then why this all loving, all powerful and all capable hodhead create a universe in which evil is possible while he could have created one in which evil is not possible?

Tunaanza na huyo mungu wa kwenye biblia (na quran na dini nyingine nyingi by the way) mwenye sifa hizo kwanza.

Unakubali kwamba huyu mungu ni wa maboksi?

Ukiahakubali hilo tutaenda huko kwingine, lakini kubali hili kwanza. Kwamba huyo mungu wa biblia uliyemtaja ni wa maboksi.

Halafu utasemaje immanent critique haikubaliani na dhana ya kutokuwepo kwa mungu bali kinyume chake wakati dhana yoyote, ikiwemo ya kuwepo kwa mungu yeyote, inaweza kupigwa immanent critique.

Wewe kweli unaelewa immanent critique ni nini au una parrot ninachoandika hapa tu?
 
Kwa nini nisitumie immanent critique kama itanifikisha katika ukweli?

Hata katika kusolve mathematical equations kuna "Let a = b".

Nikianza uchunguzi wangu kuhusu kuwapo kwa mungu kwa kusema.

"Let "god exists" = true"
"Let "god is all powerful"= true"
"Let "god is all loving" = true"
"Let "god is all capable" = true
"Let "god created the universe" = true"

Then why this all loving, all powerful and all capable hodhead create a universe in which evil is possible while he could have created one in which evil is not possible?

Tunaanza na huyo mungu wa kwenye biblia (na quran na dini nyingine nyingi by the way) mwenye sifa hizo kwanza.

Unakubali kwamba huyu mungu ni wa maboksi?

Ukiahakubali hilo tutaenda huko kwingine, lakini kubali hili kwanza. Kwamba huyo mungu wa biblia uliyemtaja ni wa maboksi.

Halafu utasemaje immanent critique haikubaliani na dhana ya kutokuwepo kwa mungu bali kinyume chake wakati dhana yoyote, ikiwemo ya kuwepo kwa mungu yeyote, inaweza kupigwa immanent critique.

Wewe kweli unaelewa immanent critique ni nini au una parrot ninachoandika hapa tu?

Immanent critique haikubaliani na dhana ya kuwepo Mungu kama nilivyokwisha kusema kwamba inaacha mlango wa kuwepo mungu mwingine,kwasababu hiyo kama itakuja dini nyingine ambayo itatengeneza dhana yake kulingana na madai yako na namna dunia ilivyo,hii inamaana hutatumia immanent critique tena maana yake itakuwa imefeli hapo,utataka mtu akupe uthibitisho wa uwepo wa huyo mungu

Na kufikia hapo utakuwa huna nyimbi nyingine tofauti na hiyo na wewe utadaiwa ushahidi wa madai yako

Pamoja na hayo yote,hapa kwenye mada hii unajenga hoja yako nje ya immanent critique au unaitumia?
 
Immanent critique haikubaliani na dhana ya kuwepo Mungu kama nilivyokwisha kusema kwamba inaacha mlango wa kuwepo mungu mwingine,kwasababu hiyo kama itakuja dini nyingine ambayo itatengeneza dhana yake kulingana na madai yako na namna dunia ilivyo,hii inamaana hutatumia immanent critique tena maana yake itakuwa imefeli hapo,utataka mtu akupe uthibitisho wa uwepo wa huyo mungu

Na kufikia hapo utakuwa huna nyimbi nyingine tofauti na hiyo na wewe utadaiwa ushahidi wa madai yako

Pamoja na hayo yote,hapa kwenye mada hii unajenga hoja yako nje ya immanent critique au unaitumia?

Kwanza kabisa, "immanent critique" ni nini?

Maana usije kuwa unasema maneno ya kiingereza kama Mzee Jongo uonekane unayajua wakati hata huelewi "immanent critique" ni nini.

Mtu anayejua "immanent critique" ni nini akisoma hapo juu ataona hujui maana ya "immanent critique".

So, to be clear, naomba unipe definition yako ya "immanent critique".
 
Back
Top Bottom