FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Wote hao ni kitu kimoja, MIMI NIKO AMBAYE NIKO...
Wewe Niko yule Dokta Niko mwanamuziki wa Congo? au unamaanisha nini maana hueleweki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote hao ni kitu kimoja, MIMI NIKO AMBAYE NIKO...
Wewe Niko yule Dokta Niko mwanamuzki wa Congo? au unamaanisha maana hueleweki.
Dreadnought
Eiyer ameshindwa kabisa kujibu hoja zako mkuu. Sina swali maana umeuliza kila swali nililotaka kuuliza na ameshindwa kabisa kujibu zaidi ya kukuona mkorofi huku akitafuta njia ya kukimbilia!!
Summun bukmun mwenyewe...
Kabla ya kwenda huko unakokutaka ni kwamba hayo yote hapo yaliyokushangaza ni kwasababu Mungu wangu anaweza yote na mungu unaemjua wewe hawezi kuwa binadamu
Baada ya hayo nakuja kwenye swali lako;
Unataka nikupe jibu kwa kutumia ushahidi gani?
Je,huo ushahidi unauamini kwamba ni kweli?
Mbona mungu wako namba alishindwa kujifufuwa? msome Paulo anasemaje hapa:
1 Wakorintho 15:14
Naam, na sisi tumeonekana kuwa mashahidi wa uongo wa Mungu; kwa maana tulimshuhudia Mungu ya kuwa alimfufua Kristo, ambaye hakumfufua, ikiwa wafu hawafufuliwi.
Paulo anasema kinaga ubaga kuwa "tulimshuhudia Mungu ya kuwa alimfufua Kristo", vipi Mungu wako uliyemweka namba 2 hapo juu kidogo unaedai kuwa "anaweza yote" mbona hakujifufua?
Unataka nikupe jibu kwa kutumia ushahidi gani?
Je,huo ushahidi unauamini kwamba ni kweli?
Ishmael
Sawa ila kumbuka kuwa Adam ndiye aliyefanya hilo agano na Mungu hukufanya wewe au Mdogo wa au mwanao au Babu yako, Sasa suala la adhabu yao wewe linakuhusu nini? Ulikuwa na Adam siku ya hilo agano? Je huwa huwazi kama ingekuwaje kama wewe ungekuwa ndo adam na ungekataa kula tunda? Unahisi ni haki kwa Kosa alilofanya babu wa babu wa babu wa mababu lije likulize wewe na kukutoa machozi tena Msimamizi wa hiyo kesi Tukimuita ndiye mfalme wa Amani!!!! Amani iko wapi?
Je wewe ungekuwa ni baba mwenye busara ungeweza kumuachia Chizi amlee mwanao sababu jana mwanao alikukosea kwa kukuibia peni ndani ya nyumba? hivyo ndivyo Mungu alivyotuacha na Sisi na shetani....!!!! Upendo uko wapi hapa? Kwa dhiki, shida njaa na vifo.?
Sawa kiongozi, ingawa anamacho lakini haoni, na ana masikio lakini hasikii.Najua huyu mtu ni nothing lakini nimemutag makusudi ili apate elimu ya bure.
Exhibit:Ndugu yangu unaposema Yesu ni Mungu mkuu unakosea,
Anzia kusoma aya ya kwanza ndio utalewa nini kinasemwa hapo.Warumi1:
22 wakaubadili utukufu wa Mungu asiye na uharibifu kwa mfano wa sura ya binadamu aliye na uharibifu, na ya ndege, na ya wanyama, na ya vitambaavyo. 23 Kwa ajili ya hayo Mungu aliwaacha katika tamaa za mioyo yao, waufuate uchafu, hata wakavunjiana heshima miili yao.
24 Kwa maana waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakakisujudia kiumbe na kukiabudu badala ya Muumba anayehimidiwa milele. Amina.
25 Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili;
26 wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa, wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo haki yao.
27 Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.
Soma vizuri kwa utuvu utajuwa yaliotajwa hapo yanapatikana wapi.
Kwa nini nisitumie immanent critique kama itanifikisha katika ukweli?
Hata katika kusolve mathematical equations kuna "Let a = b".
Nikianza uchunguzi wangu kuhusu kuwapo kwa mungu kwa kusema.
"Let "god exists" = true"
"Let "god is all powerful"= true"
"Let "god is all loving" = true"
"Let "god is all capable" = true
"Let "god created the universe" = true"
Then why this all loving, all powerful and all capable hodhead create a universe in which evil is possible while he could have created one in which evil is not possible?
Tunaanza na huyo mungu wa kwenye biblia (na quran na dini nyingine nyingi by the way) mwenye sifa hizo kwanza.
Unakubali kwamba huyu mungu ni wa maboksi?
Ukiahakubali hilo tutaenda huko kwingine, lakini kubali hili kwanza. Kwamba huyo mungu wa biblia uliyemtaja ni wa maboksi.
Halafu utasemaje immanent critique haikubaliani na dhana ya kutokuwepo kwa mungu bali kinyume chake wakati dhana yoyote, ikiwemo ya kuwepo kwa mungu yeyote, inaweza kupigwa immanent critique.
Wewe kweli unaelewa immanent critique ni nini au una parrot ninachoandika hapa tu?
Yesu alifanya nini na siku ya tatu akafufuka kutoka kwa wafu waliokufa? soma Mhubiri 9:5,6,10 ujue mtu anapokufa huwa inakuwajee au Zaburi 146:4.. Mtu akifa amekufa yaani ni kama tv iliyozima haisikii wala kuhisi kitu roho za watu zingekuwa huwa zinaenda mahari basi tungeambiwa siku ya mwisho mungu ataenda mahari roho zilipo na kuzivisha miili tena ila unaambiwa siku ya mwisho makaburi yatafunguka na waliokuwa wafu watapata tena kuwa hai, Maana roho zilikuwa palepale Makaburini zimelala ila zitaamshwa.
Yesu anakujibu hapa:Duh! umenchanganya hapo na hapo ndiyo kuzingumkuti kinapoanzia. Yaani huyo wa juu ni Mungu namba moja kama ulivyoweka na huyo wa chini ni Mungu namba mbili kama ulivyoweka?
Wapi Yesu anasema "Mimi Mungu" niabuduni?
Yesu anakujibu hapa:
Revelation 21: 6-7.
SASA NA WEWE NIONYESHE WAPI ALLAH KASEMA MIMI ALLAH NI MUNGU NA WAPI MUHAMMAD KASEMA MIMI MUHAMMAD NI MTUME WA MUNGU.
NOTE: Sitaki aya ambayo mtu anamsemea Allah kuwa yeye ni Mungu, nataka Allah mwenye aseme kuwa MIMI ALLAH NI MUNGU
Hivyohivyo, NATAKA Muhammad aseme kwa Mdomo wake mwenyewe kuwa MIMI MUHAMMAD NI MTUME WA MUNGU.
Upo kwenye Msiba dada.
USIKIMBIE WEYE
Anzia kusoma aya ya kwanza ndio utalewa nini kinasemwa hapo.
Unaona jinsi ilivyo rahisi kummaliza Allah na watoto wake.Wacha porojo, wewe weka kuanzia huo mwanzo, hapo umeelewa na nimekuuliza swali hujalijibu, rudia kusoma ujibu swali.
Teyari umesha pata ile juisi ya pilipili. Si nilikwambia kuwa "USIKIMBIE WEYE" Unaona jinsi nilivyo tabiri zaidi ya Marehemu Shehe YahayaMbona umeweka namba tu hukuweka hiyo aya? unacheza na namba? Unanshangaza, weka aya tukupe darsa. Hatutaki manamba yako. Weka aya Yesu anasema "Mimi Mungu" niabuduni, wacha porojo.
Sasa huyo ndiye Yesu sasa, hata kwenye hesabu zako amekataa...
1; Mungu ninaemzungumzia hapa ni Ehyeh Asher Ehyeh
2; Yesu ni Mungu!
Summun bukmun mwenyewe...
Unaona jinsi ilivyo rahisi kummaliza Allah na watoto wake.
Usiogope kusoma, wewe anzia aya ya 1 na tuambie nini hasa kinasemwa hapo?
Exhibit:
YESU KRISTO MUNGU MKUU, ( 1TITO 2:13 )
MwenyeziMungu ameshasema Ktk
Quraan Al anaam 6:111
وَلَوْ أَنَّنَا نَزَّلْنَا إِلَيْهِمُ الْمَلَائِكَةَ وَكَلَّمَهُمُ الْمَوْتَىٰ وَحَشَرْنَا عَلَيْهِمْ كُلَّ شَيْءٍ قُبُلًا مَا كَانُوا لِيُؤْمِنُوا إِلَّا أَنْ يَشَاءَ اللَّهُ وَلَٰكِنَّ أَكْثَرَهُمْ يَجْهَلُونَ
NA LAU kuwa tungeli wateremshia Malaika, na maiti wakazungumza nao, na tukawakusanyia kila kitu mbele yao, bado wasingeli amini, ila Mwenyezi Mungu atake. Lakini wengi wao wamo ujingani.
Nyie subiri Moto Wa Jahannamu tu.
Manake nyie Quraan imeshawaita.
صُمٌّ بُكْمٌ عُمْيٌ فَهُمْ لَا يَرْجِعُونَ
Viziwi, mabubu, vipofu; kwa hivyo hawatarejea.
Albaqara 2:18.
Swadakallahu laadhim