Ni kweli Mungu hana Upendo? Au sisi tu ndio hatumuelewi!?

Ni kweli Mungu hana Upendo? Au sisi tu ndio hatumuelewi!?

Hapa tunamzungumzia Mungu wa kwenye Biblia na sio huyo wa kwenye Quran,Mungu wa kwenye biblia ni tofauti na wa kwenye Quran,tafadhali fuata masharti ya mjadala .....

Huyo mungu wa kwenye Quran mnamjua nyie tu na mnaweza kuanzisha mjadala unaomhusu!

Wewe mungu wako si unasema alikufa?
Wa kwangu mimi HAFI, HAJAWAHI KUFA, WALA HATOKUFA MILELE.

wewe mungu wako si alipigwa na Viumbe? Na akasikia Njaa na kulia machozi?

Sikia sifa za Mungu wangu Sasa.
Quraan Al anaam 6; 1

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ الْحَمْدُ لِلَّهِ الَّذِي خَلَقَ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ وَجَعَلَ الظُّلُمَاتِ وَالنُّورَ ۖ ثُمَّ الَّذِينَ كَفَرُوا بِرَبِّهِمْ يَعْدِلُونَ

Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu aliye umba mbingu na ardhi, na akafanya giza na mwangaza. Tena baada ya haya walio kufuru wanawafanya wengine sawa na Mola wao Mlezi.

وَهُوَ اللَّهُ فِي السَّمَاوَاتِ وَفِي الْأَرْضِ ۖ يَعْلَمُ سِرَّكُمْ وَجَهْرَكُمْ وَيَعْلَمُ مَا تَكْسِبُونَ

Na Yeye ndiye Mwenyezi Mungu mbinguni na ardhini. Anajua ya ndani yenu na ya nje yenu. Na anajua mnayo yachuma.
 
Hapa tunamzungumzia Mungu wa kwenye Biblia na sio huyo wa kwenye Quran,Mungu wa kwenye biblia ni tofauti na wa kwenye Quran,tafadhali fuata masharti ya mjadala .....

Huyo mungu wa kwenye Quran mnamjua nyie tu na mnaweza kuanzisha mjadala unaomhusu!

Safi sana kiongoz Eiyer.

Kwanza huyo mungu wao alikufa na mtume wake. Wewe umesha sikia kuwa Allah kajibu kitu, jamaa yao aliingia mitini pale Muhammad alipo kuwa Marehemu. Jamaa hawana kitu sasa zaidi ya kuchukua mapanga na kumtete Allah asiye kuwepo. Eti Allah ni akbar, sasa u-akbar unakuwaje wakati wanao pigana ni ISISI? Msiba huu.
 
Last edited by a moderator:
Eiyer we mungu wako alishindwa kuwasamehe madhambi mpaka akaamua kujitoa roho yake mwenyewe..

Soma sifa za Mungu wangu anapotaka kusamehe madhambi. .

Quraan As-shuaraa.

وَهُوَ الَّذِي يَقْبَلُ التَّوْبَةَ عَنْ عِبَادِهِ وَيَعْفُو عَنِ السَّيِّئَاتِ وَيَعْلَمُ مَا تَفْعَلُونَ

Naye ndiye anaye pokea toba kwa waja wake, na anasamehe makosa, na anayajua mnayo yatenda. Eiyer Mungu wa Kweli Hana haja ya Kufa ili wewe usamehewe, yeye anatoa amri tu mambo yakawa.
 
Last edited by a moderator:
sifa za mungu wenu
1. wa upendo
2. mwenye nguvu
3. mjuzi wa yote
4. muweza wa yote
4. mponyaji
6. mwokoaji

lakini kwanini dunia yetu haionyeshi kuna nguvu inaconotrol hayo yote watoto wadogo wanafanyiwa ukatili wa ajabu, majanga ya kutisha, vita kila siku global warming at alerming rate bado ajali zinaua hata wachungaji.
 
Kati ya makosa ambayo kanisa catholic lilifanya na litajutia sana baadae ni kosa la KUWAAMBIA WAUMINI WAKE KWAMBA YESU NI MUNGU.,

Hili kosa ni kubwa sana na walishauriana vibaya sana kuhusu hili,Hii itawatafuna sana.

DINI NI ULAGHAI WA ZAMANI UNAOPITWA NA WAKATI.,

RELIGION AND DAITH WILL REMAIN AS WISHFUL THINKING
 
Haya maswli hapa hujayaona au unajidai huoni?


Nilikuuliza kwanza,kabla hatujafika huko nijibu hayo maswali kwanza kisha tutaendelea

Acha longo longo ...!!

Wacha kurusha, wewe unauamini huo ushahidi niliokuwekea? Kama unauamini, jibu haya:

quote_icon.png
By FaizaFoxy
Mbona mungu wako namba alishindwa kujifufuwa? msome Paulo anasemaje hapa:

1 Wakorintho 15:14
Naam, na sisi tumeonekana kuwa mashahidi wa uongo wa Mungu; kwa maana tulimshuhudia Mungu ya kuwa alimfufua Kristo, ambaye hakumfufua, ikiwa wafu hawafufuliwi.

Paulo anasema kinaga ubaga kuwa "tulimshuhudia Mungu ya kuwa alimfufua Kristo", vipi Mungu wako uliyemweka namba 2 hapo juu kidogo unaedai kuwa "anaweza yote" mbona hakujifufua?
 
Kati ya makosa ambayo kanisa catholic lilifanya na litajutia sana baadae ni kosa la KUWAAMBIA WAUMINI WAKE KWAMBA YESU NI MUNGU.,

Hili kosa ni kubwa sana na walishauriana vibaya sana kuhusu hili,Hii itawatafuna sana.

DINI NI ULAGHAI WA ZAMANI UNAOPITWA NA WAKATI.,

RELIGION AND DAITH WILL REMAIN AS WISHFUL THINKING
Eiyer, mimi siniliwaambia kuwa huyu jamaa ni Muislam, ona mwenyewe mchana kweupeee kakubali kuwa kuna Mungu lakini aisiwe Yesu,

Sasa kama Yesu sio Mungu, tuambie wewe nani ni Mungu?
 
Last edited by a moderator:
sifa za mungu wenu
1. wa upendo
2. mwenye nguvu
3. mjuzi wa yote
4. muweza wa yote
4. mponyaji
6. mwokoaji

lakini kwanini dunia yetu haionyeshi kuna nguvu inaconotrol hayo yote watoto wadogo wanafanyiwa ukatili wa ajabu, majanga ya kutisha, vita kila siku global warming at alerming rate bado ajali zinaua hata wachungaji.
Because God is not a Gangster like the saudi arabia deity or like fascist non theist Mao Zedong or non theist Lenin et al.
 
Wacha kurusha, wewe unaumini huo ushahidi niliokuwekea? Kama unauamini, jibu haya:

quote_icon.png
By FaizaFoxy
Mbona mungu wako namba alishindwa kujifufuwa? msome Paulo anasemaje hapa:

1 Wakorintho 15:14
Naam, na sisi tumeonekana kuwa mashahidi wa uongo wa Mungu; kwa maana tulimshuhudia Mungu ya kuwa alimfufua Kristo, ambaye hakumfufua, ikiwa wafu hawafufuliwi.

Paulo anasema kinaga ubaga kuwa "tulimshuhudia Mungu ya kuwa alimfufua Kristo", vipi Mungu wako uliyemweka namba 2 hapo juu kidogo unaedai kuwa "anaweza yote" mbona hakujifufua?
Naona unakimbia maswali yalio enda shule weye.

SASA NA WEWE NIONYESHE WAPI ALLAH KASEMA MIMI ALLAH NI MUNGU NA WAPI MUHAMMAD KASEMA MIMI MUHAMMAD NI MTUME WA MUNGU.

NOTE: Sitaki aya ambayo mtu anamsemea Allah kuwa yeye ni Mungu, nataka Allah mwenye aseme kuwa MIMI ALLAH NI MUNGU

Hivyohivyo, NATAKA Muhammad aseme kwa Mdomo wake mwenyewe kuwa MIMI MUHAMMAD NI MTUME WA MUNGU.

Upo kwenye Msiba dada.

USIKIMBIE WEYE
 
Naona unakimbia maswali yalio enda shule weye.

SASA NA WEWE NIONYESHE WAPI ALLAH KASEMA MIMI ALLAH NI MUNGU NA WAPI MUHAMMAD KASEMA MIMI MUHAMMAD NI MTUME WA MUNGU.

NOTE: Sitaki aya ambayo mtu anamsemea Allah kuwa yeye ni Mungu, nataka Allah mwenye aseme kuwa MIMI ALLAH NI MUNGU

Hivyohivyo, NATAKA Muhammad aseme kwa Mdomo wake mwenyewe kuwa MIMI MUHAMMAD NI MTUME WA MUNGU.

Upo kwenye Msiba dada.

USIKIMBIE WEYE


Ha ha ha Mkuu bado upo kwenye hizi harakati?

Hakika Mungu amekuhesabia mema na wastahili kuketi enzini pake....
 
Naona unakimbia maswali yalio enda shule weye.

SASA NA WEWE NIONYESHE WAPI ALLAH KASEMA MIMI ALLAH NI MUNGU NA WAPI MUHAMMAD KASEMA MIMI MUHAMMAD NI MTUME WA MUNGU.

NOTE: Sitaki aya ambayo mtu anamsemea Allah kuwa yeye ni Mungu, nataka Allah mwenye aseme kuwa MIMI ALLAH NI MUNGU

Hivyohivyo, NATAKA Muhammad aseme kwa Mdomo wake mwenyewe kuwa MIMI MUHAMMAD NI MTUME WA MUNGU.

Upo kwenye Msiba dada.

USIKIMBIE WEYE

Ama kwa hakika leo ni raha sana. Wewe umeshindwa kuonesha wapi Yesu anasema "Mimi Mungu", sasa soma hii:

Qur'an 20:14


Hakika Mimi ndiye Mwenyezi Mungu. Hapana mungu ila Mimi tu. Basi niabudu Mimi, na ushike Sala kwa ajili ya kunikumbuka Mimi. ***

Other translations:

Sahih International
Indeed, I am Allah . There is no deity except Me, so worship Me and establish prayer for My remembrance.

Muhsin Khan
"Verily! I am Allah! La ilaha illa Ana (none has the right to be worshipped but I), so worship Me, and perform As-Salat (Iqamat-as-Salat) for My Remembrance.


Pickthall
Lo! I, even I, am Allah, There is no Allah save Me. So serve Me and establish worship for My remembrance.


Yusuf Ali
"Verily, I am Allah: There is no god but I: So serve thou Me (only), and establish regular prayer for celebrating My praise.


Shakir
Surely I am Allah, there is no god but I, therefore serve Me and keep up prayer for My remembrance:


Dr. Ghali
Surely I, Ever I, am Allah; there is no god except I; so worship Me, and keep up the prayer for My Remembrance.

Allahu Akbar, Allahu Akbar, Allahu Akbar,
 
Ama kwa hakika leo ni raha sana. Wewe umeshindwa kuonesha wapi Yesu anasema "Mimi Mungu", sasa soma hii:

Qur'an 20:14


Hakika Mimi ndiye Mwenyezi Mungu. Hapana mungu ila Mimi tu. Basi niabudu Mimi, na ushike Sala kwa ajili ya kunikumbuka Mimi. ***

Other translations:

Sahih International
Indeed, I am Allah . There is no deity except Me, so worship Me and establish prayer for My remembrance.

Muhsin Khan
"Verily! I am Allah! La ilaha illa Ana (none has the right to be worshipped but I), so worship Me, and perform As-Salat (Iqamat-as-Salat) for My Remembrance.


Pickthall
Lo! I, even I, am Allah, There is no Allah save Me. So serve Me and establish worship for My remembrance.


Yusuf Ali
"Verily, I am Allah: There is no god but I: So serve thou Me (only), and establish regular prayer for celebrating My praise.


Shakir
Surely I am Allah, there is no god but I, therefore serve Me and keep up prayer for My remembrance:


Dr. Ghali
Surely I, Ever I, am Allah; there is no god except I; so worship Me, and keep up the prayer for My Remembrance.

Allahu Akbar, Allahu Akbar, Allahu Akbar,
You need to learn English.

The person said he is Allah and there is no God but I. We know the "I" is Allah who denies the existence of God and/or who said there is no God.

I need a verse.
 
Wapi Yesu anasema "Mimi Mungu"?
Revelation 21:6-7

Revelation 21:6-7

6 Jesus said to me: "It is done. I am the Alpha and the Omega, the Beginning and the End. To the thirsty I will give water without cost from the spring of the water of life. 7 Those who are victorious will inherit all this, and I will be their God and they will be my children.
 
Mtumishi usikate moyo, endelea kumuombea maana akisha mpokea Yesu, basi na familia yake yote itampokes Yesu.

Hivi nyie watu kila siku mnasema mnampokea yesu. Huyu mwenzenu safari zake haziishi?
Na huwa mnapokelea wapi? Mara naskia kina Eiyer wa ukerewe wanampokea! Mara wewe kwenye maeneo yako ya kitapeli unampokea.
Mara kapokelewa na Matola pale yombo vituka kwa shemeji yake.
Yule mnywa uharo wa mbuzi kule moshi 2013 pia kampokea!

Au hiki ni kiswahili cha upako?
 
Last edited by a moderator:
You need to learn English.

The person said he is Allah and there is no God but I. We know the "I" is Allah who denies the existence of God and/or who said there is no God.

I need a verse.

Hapo huna ujanja, hata ucheze vipi na maneno. Nenda kwenye Biblia ya Kiarabu ujuwe Allah ni nani.

Pata na hii kidogo ujikumbushe: "Eloi, Eloi, La ma Sabachtani".

"Mungu" anaomba msaada kwa nani hapo?

Wapi Yesu anasema "Mimi Mungu"?

Patamu hapo.
 
Back
Top Bottom