Tazama usivyokuwa na haya, unaibadili biblia kwa mkono wako, kuna "Jesus" kwenye hiyo aya ya 6? hata Wakristo wenzako wakiisoma watakushangaa jinsi unavyojaribu kuichakachuwa Biblia kijinga kabisa.
Hoya quote context ujione ulivyo juha:
Revelations 21: 1-8
1 And I saw a new heaven and a new earth: for the first heaven and the first earth were passed away; and there was no more sea. 2 And I John saw the holy city, new Jerusalem, coming down from God out of heaven, prepared as a bride adorned for her husband. 3 And I heard a great voice out of heaven saying, Behold, the tabernacle of God is with men, and he will dwell with them, and they shall be his people, and God himself shall be with them, and be their God. 4 And God shall wipe away all tears from their eyes; and there shall be no more death, neither sorrow, nor crying, neither shall there be any more pain: for the former things are passed away. 5 And he that sat upon the throne said, Behold, I make all things new. And he said unto me, Write: for these words are true and faithful. 6 And he said unto me, It is done. I am Alpha and Omega, the beginning and the end. I will give unto him that is athirst of the fountain of the water of life freely. 7 He that overcometh shall inherit all things; and I will be his God, and he shall be my son. 8 But the fearful, and unbelieving, and the abominable, and murderers, and whoremongers, and sorcerers, and idolaters, and all liars, shall have their part in the lake which burneth with fire and brimstone: which is the second death.
This is not Jesus speaking but rather the Father. As it says I will be his God and he will be my son. Or does Jesus have a son now?
Ndiyo maana ulikuwa unaweka manamba badala ya aya? ulijuwa hapa huchomoki.
Na kama hiyo ya Kiingereza haikutoshi hii hapa ya Kiswahili:
1 Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya; kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya kwanza zimekwisha kupita, wala hapana bahari tena.
2 Nami nikauona mji ule mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka mbinguni kwa Mungu, umewekwa tayari, kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe.
3 Nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu, naye atafanya maskani yake pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Naye Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.
4 Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.
5 Na yeye aketiye juu ya kile kiti cha enzi akasema, Tazama, nayafanya yote kuwa mapya. Akaniambia, Andika ya kwamba maneno hayo ni amini na kweli.
6 Akaniambia, Imekwisha kuwa. Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho. Mimi nitampa yeye mwenye kiu, ya chemchemi ya maji ya uzima, bure.
7 Yeye ashindaye atayarithi haya,
nami nitakuwa Mungu wake, naye atakuwa mwanangu.
8 Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.
Allahu Akbar, Allahu Akbar, Allahu Akbar
Hapo kwa kuchakachuwa kwako maneno ya biblia kama uko mahakama ya Kanisa hukumu yako ni nini?
Unasikitisha sana. Hivi ndivyo mnavyodanganyana na ndivyo unavyodangaya wenzako humu?
Ngija Mkristo mwenzako aje kukusaidia na awe mkweli, kama yu amfata Kristo.
Eiyer njoo msaidie
Ishmael tumembamba anachakachuwa biblia. Ndiyo sababu alikuwa anaweka manamba hataki kuweka aya, kuiweka kuiona haikidhi matakwa yake akatia maneno yake kwenye biblia. Aibu kubwa sana.
Ishmael fanya toba ya ukweli la sivyo hutouona "uzima wa milele", njoo kwenye haki, amini tu kuwa Yasu ni mtume wa Mwenyeezi Mungu kama walivyo mitume wengine, huna haja ya kuchakachuwa biblia kupoteza wenzako na kujipoteza mwenyewe kwa ajili ya kutafuta ushindi wa kubishana. Elimika, fanya toba, Shahadia kuwa hapana Mungu apasae kuabudiwa ila mmoja tu na Muhammad ni mtume wake, kama ilivyo kwa Yesu, Ibrahim, Mussa, Daud, Ishaqa na wengine wengi. Kubali usamehewe, bila hivyo huna ujanja.