Inategemea unaweza ukawa fukara wa Pesa Ila ni tajiri wa kipaji/talanta kwa hio hapo kuna mengi, Mwanamke ameumbiwa kupenda Mwanaume ameumbiwa kutamani in short Mwanamke anaweza akafall in love na perfume tu ya Mwanaume sio PesaNaombeni mnipe majibu, ni kweli mwanamke hawezi kumpenda mwanaume fukara?
Labda umwambie Furaha yetu sio Pesa unaweza ukapewa Pesa na amani ya moyo na utulivu ukawa zero juu ya sifuri yaani 0/0 😂tunaweza kumpenda yeyote yule ,chamsingi amani ya moyo na utulivu
Hamna,, sema tu hamjiamini😃😃Labda umwambie Furaha yetu sio Pesa unaweza ukapewa Pesa na amani ya moyo na utulivu ukawa zero juu ya sifuri yaani 0/0 😂
Kujiamini wapi ukianza na Pesa unatakiwa umalize na Pesa pia ukiingia na gia zingine inabidi umalize na gia hizo zingine, sasa unajimwambafai Mimi namiliki kituo cha mafuta Dubai namiliki visima nyenyenye mtoto Leejay49 anajua hapa kuna maokoto ya kutosha anaanza kudai shopping za ajabu macho yanakutokaHamna,, sema tu hamjiamini😃😃
Tutawapea bure tu sababu hawana confidence na wengi ni selective kwenye viunga vya aina ya usakaji pesa acha wavune wapandachoIla muwe mnawakumbuka na ambao hawana kitu wasijione wapweke sana.
NDio mnavyojidanganyaLabda umwambie Furaha yetu sio Pesa unaweza ukapewa Pesa na amani ya moyo na utulivu ukawa zero juu ya sifuri yaani 0/0 😂
Hakuna uhusiano kati ya pesa na mapenzi ila dunia ndio imebadilisha mambo yawe ivo sadNaombeni mnipe majibu, ni kweli mwanamke hawezi kumpenda mwanaume fukara? Lakini mbona baba yangu alipendwa na mama yangu akiwa hana kitu, mimi nimezaliwa Mpaka nafikia umri wa kujitambua nimekuta baba yangu anaishi kwao, yaani kwenye nyumba ya wazazi wake nayo ilikuwa chumba kimoja na sebure.
Lakini mbona ndoa za uswahili asilimia kubwa zinadumu ukilinganisha na zile za ushuwani? yaani unakuta mtu anaishi na mke wake wamepanga chumba kimoja na wanaishi maisha ya kuungaunga Lakini wanadumu wanazaa watoto wanafanikiwa kujijenga na kuwa na makazi yao.
Lakini mbona mwanamke huyohuyo unaweza kumpa kila kitu na bado akaenda kumpa penzi fukara?
Wewe fukara humuitaji nshakuelewa unataka vibunda kwa kwenda mbeleNDio mnavyojidanganya
rudia kusoma vizuri....kuna tuvituvitu ndani thread yanguAnaweza kumpenda ila hawezi kuishi nae...
Nitarudi...
Imeisha hiyoWewe fukara humuitaji nshakuelewa unataka vibunda kwa kwenda mbele
Sasa ukipenda vibunda inabidi ukubariane na yote sio unapenda vibunda alafu hutaki kutoaImeisha hiyo
Hakuna uhusiano kati ya pesa na mapenzi ila dunia ndio imebadilisha mambo yawe hivyo na pia zamani akukuwepo na simu hataNaombeni mnipe majibu, ni kweli mwanamke hawezi kumpenda mwanaume fukara? Lakini mbona baba yangu alipendwa na mama yangu akiwa hana kitu, mimi nimezaliwa Mpaka nafikia umri wa kujitambua nimekuta baba yangu anaishi kwao, yaani kwenye nyumba ya wazazi wake nayo ilikuwa chumba kimoja na sebure.
Lakini mbona ndoa za uswahili asilimia kubwa zinadumu ukilinganisha na zile za ushuwani? yaani unakuta mtu anaishi na mke wake wamepanga chumba kimoja na wanaishi maisha ya kuungaunga Lakini wanadumu wanazaa watoto wanafanikiwa kujijenga na kuwa na makazi yao.
Lakini mbona mwanamke huyohuyo unaweza kumpa kila kitu na bado akaenda kumpa penzi fukara?
Achana na kitu kinaitwa hisia za mapenzi...rudia kusoma vizuri....kuna tuvituvitu ndani thread yangu
tunapambana mkuuVijana pambaneni kutengeneza maisha yenu hawa wanawake wapo tu
🤣🤣🤣Tutawapea bure tu sababu hawana confidence na wengi ni selective kwenye viunga vya aina ya usakaji pesa acha wavune wapandacho