Ile chuma haionekani. Stealth.hivi ndege ya raisi inakuwa tracked kirahisi hivi ?
vipi Air force one?
Hii nchi inawapumbavu wengi sana mkuu, ni rahisi sana kumezeshwa ujinga na kuubeba kama ulivyo!hivi ndege ya raisi inakuwa tracked kirahisi hivi ?
vipi Air force one?
Nimeshangaa piahivi ndege ya raisi inakuwa tracked kirahisi hivi ?
vipi Air force one?
Punguza hasira bwashee 🤣Mapumziko ya nyokweeeeeeeee
Mara nyingi hauoni destination ila sina uhakika kwa ndege ya rais wa Tzhivi ndege ya raisi inakuwa tracked kirahisi hivi ?
vipi Air force one?
Kabudi alivyoenda na ndege ya rais kwenda kuchukua zile Juice Madagascar kwani rais naye alikuwemo kwenye ile ndege?Tangia majuzi account ya Twitter ya Tanzania Leak's ilikuwa ikitoa raarifa juu ya Rais kwenda mapumziko ya Pasaka Dubai, taarifa hazikupewa uzito mkubwa ila leo hii ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai na dakika chache zilizopita ilikuwa imeshatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwal Nyerere.
View attachment 2585662View attachment 2585663
Hii Tanzania Watanzania wakiitaka?
Hicho ki application kina onesha ndege zote zinazopita kwenye anga husika.hivi ndege ya raisi inakuwa tracked kirahisi hivi ?
vipi Air force one?
BA1234CB from Bogota Live Flight Tracker - Real-Time Flight Tracker Map | Flightradar24Hii application inaitwaje?