Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Nchi ina wapumbavu wengi 😂 inabidi mama apate muda wa kupumzikaKazi nzito sana kuongoza nchi masikini acha apumzike na kuwekeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ina wapumbavu wengi 😂 inabidi mama apate muda wa kupumzikaKazi nzito sana kuongoza nchi masikini acha apumzike na kuwekeza
Yes hii ndo niliona, nikachanganya na ile ya P au VP
Ww unadhani kukimbia na mabilioni ni kazi ndogo 😂Alienda kupumzika dubai kwa kazi gani ya maana aliyowafanyia watanzania.
Uko sahihi mkuu na kila mwenye akili timamu yampasa kupitia post yako hii na kuifanyia kazi vizuri tu; si kwa hoja hii tu na ya mtu huyu tu, bali kwa hoja nyingine yoyote na inayomhusu yeyote. Ukipitia hizo comments unaona kabisa ni za watu wetu wale wenye shida zao za muda mrefu tu na huyo bi mkubwa; kwao, kutamka lolote baya dhidi yake ndiyo kipaumbele Chao namba 1. Tayari kadhaa yananenwa nao kwa furaha tele:-Hii nchi inawapumbavu wengi sana mkuu, ni rahisi sana kumezeshwa ujinga na kuubeba kama ulivyo!
Wewe unaamini Samia anaweza kuhongeka kwa safari za Dubai? Akili ya kawaida tuUnakosea mkuu, ukiwa hujui kitu haimaanishi na wengine hawajui. Ukiwa huna taarifa au maarifa juu ya kitu fulani haimaanishi na wengine hawajui.
Mtoa mada ameandika sahihi kabisa ila ww ndie huna hayo maarifa/taarifa.
Ndege zote zinakuwa tracked as long as imewasha transponderhivi ndege ya raisi inakuwa tracked kirahisi hivi ?
vipi Air force one?
Sio stealth inaonekana vizuri kwenye radar kesho atakuwa Ireland fatilia ndege yake utaionaIle chuma haionekani. Stealth.
Habari za Yombo vituka mkuuTangia majuzi account ya Twitter ya Tanzania Leak's ilikuwa ikitoa raarifa juu ya Rais kwenda mapumziko ya Pasaka Dubai, taarifa hazikupewa uzito mkubwa ila leo hii ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai na dakika chache zilizopita ilikuwa imeshatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwal Nyerere.
View attachment 2585662View attachment 2585663
Mda wa kula Bata.
Hii Tanzania Watanzania wakiitaka?
Mwacheni Mama aende kuwasalimia Wajomba zake!Tangia majuzi account ya Twitter ya Tanzania Leak's ilikuwa ikitoa raarifa juu ya Rais kwenda mapumziko ya Pasaka Dubai, taarifa hazikupewa uzito mkubwa ila leo hii ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai na dakika chache zilizopita ilikuwa imeshatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwal Nyerere.
View attachment 2585662View attachment 2585663
Hii Tanzania Watanzania wakiitaka?
Hahaha, pole sana Chief, Hizi siasa rahisi haziwezi mpata Samia, tafuta njia nyingine! Mother ni mweupeeeeAliyesema kahongwa nan? Wewe ni nani yake kiasi unajua udhaifu wake? Hii safar umma haujaarifiwa? Hivi si huyuhuyu ana mjomba wake Oman?
Ukiona mtu anaamini taarifa za Tanzania leaks jua hana akili huyoMwacheni Mama aende kuwasalimia Wajomba zake!
Gps imekuuza au ulitembelea Yombo Vituka wakati una track gulfstream letu?Niko
Tabata mkuu
Ikulu huwa haiipendi Sana,nikajua mbovuNaam hiyo ndiyo tuliyokaambiwa ata nyasi tule tu ila ndege lazima inunuliwe