Ni kweli Rais Samia alikuwa mapumzikoni Dubai?

Ni kweli Rais Samia alikuwa mapumzikoni Dubai?

Hii nchi inawapumbavu wengi sana mkuu, ni rahisi sana kumezeshwa ujinga na kuubeba kama ulivyo!
Uko sahihi mkuu na kila mwenye akili timamu yampasa kupitia post yako hii na kuifanyia kazi vizuri tu; si kwa hoja hii tu na ya mtu huyu tu, bali kwa hoja nyingine yoyote na inayomhusu yeyote. Ukipitia hizo comments unaona kabisa ni za watu wetu wale wenye shida zao za muda mrefu tu na huyo bi mkubwa; kwao, kutamka lolote baya dhidi yake ndiyo kipaumbele Chao namba 1. Tayari kadhaa yananenwa nao kwa furaha tele:-
-miradi dubai
-mjengo anaoujenga dubai
-sijui mbuga za wanyama n.k

Um-huh! BINADAMU!!!
 
Unakosea mkuu, ukiwa hujui kitu haimaanishi na wengine hawajui. Ukiwa huna taarifa au maarifa juu ya kitu fulani haimaanishi na wengine hawajui.
Mtoa mada ameandika sahihi kabisa ila ww ndie huna hayo maarifa/taarifa.
Wewe unaamini Samia anaweza kuhongeka kwa safari za Dubai? Akili ya kawaida tu
 
Tangia majuzi account ya Twitter ya Tanzania Leak's ilikuwa ikitoa raarifa juu ya Rais kwenda mapumziko ya Pasaka Dubai, taarifa hazikupewa uzito mkubwa ila leo hii ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai na dakika chache zilizopita ilikuwa imeshatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwal Nyerere.

View attachment 2585662View attachment 2585663
Mda wa kula Bata.

Hii Tanzania Watanzania wakiitaka?
Habari za Yombo vituka mkuu
 
Tangia majuzi account ya Twitter ya Tanzania Leak's ilikuwa ikitoa raarifa juu ya Rais kwenda mapumziko ya Pasaka Dubai, taarifa hazikupewa uzito mkubwa ila leo hii ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai na dakika chache zilizopita ilikuwa imeshatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwal Nyerere.

View attachment 2585662View attachment 2585663

Hii Tanzania Watanzania wakiitaka?
Mwacheni Mama aende kuwasalimia Wajomba zake!
 
Aliyesema kahongwa nan? Wewe ni nani yake kiasi unajua udhaifu wake? Hii safar umma haujaarifiwa? Hivi si huyuhuyu ana mjomba wake Oman?
Hahaha, pole sana Chief, Hizi siasa rahisi haziwezi mpata Samia, tafuta njia nyingine! Mother ni mweupeeee
 
Back
Top Bottom