Ni kweli Rais Samia alikuwa mapumzikoni Dubai?

Ni kweli Rais Samia alikuwa mapumzikoni Dubai?

Tangia majuzi account ya Twitter ya Tanzania Leak's ilikuwa ikitoa raarifa juu ya Rais kwenda mapumziko ya Pasaka Dubai, taarifa hazikupewa uzito mkubwa ila leo hii ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai na dakika chache zilizopita ilikuwa imeshatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwal Nyerere.

View attachment 2585662View attachment 2585663

Hii Tanzania Watanzania wakiitaka?
Hapa Tanzania angepumzikia wapi wakati kila sehemu ni kuchafu, matope, vumbi na harufu zisizoeleweka.
 
Tangia majuzi account ya Twitter ya Tanzania Leak's ilikuwa ikitoa raarifa juu ya Rais kwenda mapumziko ya Pasaka Dubai, taarifa hazikupewa uzito mkubwa ila leo hii ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai na dakika chache zilizopita ilikuwa imeshatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwal Nyerere.

View attachment 2585662View attachment 2585663

Hii Tanzania Watanzania wakiitaka?
Kazi na bata
 
Mara nyingi hauoni destination ila sina uhakika kwa ndege ya rais wa Tz

Pia ndege kuwa tracked hvy sio ishu kubwa mana hakuna details muhimu za ndani kabisa za ndege mfano, huwezi kujua kuna idadi gn ya watu humo ndani, serial number huzioni. Tunachoona ni safari zake, namba za usajili ya ndege, mmiliki wa ndege (kama ni private mara nyingi hua hawamuandiki mhusika) n.k

Air force one sijawahi kuona wakitaja destination, VP wa USA alivoondoka siku kama 5 hv mbele Air force one ilipita Tena kwenye anga letu lkn haikuwa na destination, hy siku nilikuwa napoteza muda kwa kuangalia ndege zinazopita kwenye anga letu na nikaiona hy ndege ikiwa kwenye uelekeo wa JNIA lkn ikapitiliza kuingia bahari ya Hindi.
Labda ilienda Coco au msasani
 
Mama anastahili kupumzika Dubai, anaongoza nchi kubwa sana ya watu milioni 60, wakati Kuna wanaume wamekimbia familia ya mtoto moja. Imagine unaongoza nchi ambayo ndani yake Kuna majitu ya hovyo kama Mdude
 
Uko sahihi mkuu na kila mwenye akili timamu yampasa kupitia post yako hii na kuifanyia kazi vizuri tu; si kwa hoja hii tu na ya mtu huyu tu, bali kwa hoja nyingine yoyote na inayomhusu yeyote. Ukipitia hizo comments unaona kabisa ni za watu wetu wale wenye shida zao za muda mrefu tu na huyo bi mkubwa; kwao, kutamka lolote baya dhidi yake ndiyo kipaumbele Chao namba 1. Tayari kadhaa yananenwa nao kwa furaha tele:-
-miradi dubai
-mjengo anaoujenga dubai
-sijui mbuga za wanyama n.k

Um-huh! BINADAMU!!!
Ndiyo na kupeleka madini kama lile likilouzwa bilion of money badae tulipoanza kuhoji wakaja na hoja kuwa lile lilikuwa milion 4 walikosea hesabau
 
Tangia majuzi account ya Twitter ya Tanzania Leak's ilikuwa ikitoa raarifa juu ya Rais kwenda mapumziko ya Pasaka Dubai, taarifa hazikupewa uzito mkubwa ila leo hii ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai na dakika chache zilizopita ilikuwa imeshatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwal Nyerere.

View attachment 2585662View attachment 2585663

Hii Tanzania Watanzania wakiitaka?
Rais wa nchi lakini utasikia
Afya ni suala binafsi na wanaweka utaratibu kuwa afya za viongozi ni suala binafsi wakati hela.inayotumika siyo ya binafsi

Haya, safari za nje za kiongozi ni suala binafsi wakati Hazina ndo inakwanguliwa kugharimia hizi move.


Watanzania tunahitaji kujitambua
 
Tangia majuzi account ya Twitter ya Tanzania Leak's ilikuwa ikitoa raarifa juu ya Rais kwenda mapumziko ya Pasaka Dubai, taarifa hazikupewa uzito mkubwa ila leo hii ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai na dakika chache zilizopita ilikuwa imeshatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwal Nyerere.

View attachment 2585662View attachment 2585663

Hii Tanzania Watanzania wakiitaka?
Hii ndege ilienda matengenezo ya kifaa kimoja kwenye base ya gulfstream iliyoko Dubai. Hiyo ndege ilikuwa Tz siku zote, angalia history yake kwenye hiyo Flight Radar 24, imeenda under short test and maintenance.

Sijui kwanini mnakuwa wapotoshaji hivi, kwani hata Mh. Rais akiwa Dubai kuna tatizo gani..
 
Samia hana huo upuuzi! Ni mweupeee hana hata tone la mauchafu yenu! Na kwenye utawala wake hatazalisha wakuu wa mikoa/wilaya matajiri kama akina Makonda, Sabaya, Mnyeti!! Wezi now wanashughulikiwa kwa jicho la Umma, no kufichaficha or kumtimua na kumdhihaki CAG
Ila hatazalisha akini kadogosa wengine wa 500blion
 
Kuna mtu alisema hii kadhia ya ubadhirifu huenda akasafiri [emoji3][emoji28]

Kumbe ni kweli?

Pressure ni kubwa aisee!

Watanzania sijui wameanza kujitambua?!

Maana naona wamechachamaa wanataka hatua zichukuliwe haraka bila subira yoyote.

Lakini hawawezi wafikia Wakenya.

Wakenya ni Habari nyingine !

Hawaogopi askari wala kiongozi.

Uoga ni dhambi.
 
Hii ndege ilienda matengenezo ya kifaa kimoja kwenye base ya gulfstream iliyoko Dubai. Hiyo ndege ilikuwa Tz siku zote, angalia history yake kwenye hiyo Flight Radar 24, imeenda under short test and maintenance.

Sijui kwanini mnakuwa wapotoshaji hivi, kwani hata Mh. Rais akiwa Dubai kuna tatizo gani..
Tukushangae wewe unaesema ilikuwa katika matengenezo kumbe mtu alienda kufanya shopping Dubai
 
ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai

Kilichokuwa tracked ni ndege ambayo si ajabu ukaambiwa ilikuwa matengenezo
 
Back
Top Bottom