Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu amsaidieTangia majuzi account ya Twitter ya Tanzania Leak's ilikuwa ikitoa raarifa juu ya Rais kwenda mapumziko ya Pasaka Dubai, taarifa hazikupewa uzito mkubwa ila leo hii ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai na dakika chache zilizopita ilikuwa imeshatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwal Nyerere.
View attachment 2585662View attachment 2585663
Hii Tanzania Watanzania wakiitaka?
Mkuu wataambiwa kilichotokea huko angani, kuna mambo hayafichiki.Ni hatari,maana likitokea la kutokea huko angani watawaambia nini watanzania?
Ninavyoelewa kuna apps za ku track na ni rahisi kujua ndege ipo wapi ukiwa na taarifa kamili za hiyo ndege na sio siri.hivi ndege ya raisi inakuwa tracked kirahisi hivi ?
vipi Air force one?
Inashangaza kuona hadi leo watu hawajui ndege na hata meli zinakuwa tracked. Mara mwingine anakwambia Airforce One ni stealth, tangu lini Boeing 747 ikawa stealth.Air force 2 Kamara Harris alipokuja Bongo mi nilikuwa mtu mmoja wapo niliokuwa bafatilia through flight radar na nilileta uzi humu ndege ya air tanzania kuzuiliwa kuingia katika anga ata mkoa wa Pwani.View attachment 2585709
Safari ya Nancy Pelosi siku anaenda Taiwan na kizaazaa chote kile ila ndege yake ilikuwa inaongekana katika flight radar, namimi nilikuwa nafulitia pia View attachment 2585711
Watanzania ni wajinga.Inashangaza kuona hadi leo watu hawajui ndege na hata meli zinakuwa tracked. Mara mwingine anakwambia Airforce One ni stealth, tangu lini Boeing 747 ikawa stealth.
Natumia sana Flightradar kutazama maeneo yenye migogoro kama Black Sea
Mengine ni kujaza matakataka tu tu nn kibaya sasa hapo? Raisi ni binadamu kama wewe kuwa mapumzikomi nayo ni story wakuu?Tangia majuzi account ya Twitter ya Tanzania Leak's ilikuwa ikitoa raarifa juu ya Rais kwenda mapumziko ya Pasaka Dubai, taarifa hazikupewa uzito mkubwa ila leo hii ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai na dakika chache zilizopita ilikuwa imeshatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwal Nyerere.
View attachment 2585662View attachment 2585663
Hii Tanzania Watanzania wakiitaka?
Wakenya hawana mshahara mwezi wa wa 3 sasa, wavumilivu sana!! Nyinyi mkikatiwa umeme siku 1 tu makelele kwa waziri kiparaKuna mtu alisema hii kadhia ya ubadhirifu huenda akasafiri [emoji3][emoji28]
Kumbe ni kweli?
Pressure ni kubwa aisee!
Watanzania sijui wameanza kujitambua?!
Maana naona wamechachamaa wanataka hatua zichukuliwe haraka bila subira yoyote.
Lakini hawawezi wafikia Wakenya.
Wakenya ni Habari nyingine !
Hawaogopi askari wala kiongozi.
Uoga ni dhambi.
Magufuli alileta hayo yote, ilikuwa kuuliza chochote serikali yake inafanya ni dhambiWatanzania ni wajinga.
Kule blacksea zile drones zinaonekana vizuri
Akina Kadogosa na wenzake hakuna aliyeweza kuwahoji miaka mi5 iliyopita, walikuwa miungu watu, sasa tunalala nao mbeleIla hatazalisha akini kadogosa wengine wa 500blion
Haya ni mapuuzi yanayoamini kulala na analog mafaili kitandani ndiyo UCHAPAKAZI mkuu, with all technology and kila kitu tulichonacho sasa, AKINA WANAHARAKATI HURUComments nyingi ni za mawazo ya Kimasikini!
Sijawahi kuona Rais Commited kama tuliyenaye sasa!
Kuna mataifa sasa hivi yanawaza kusimamisha Rais Mwanamke.
Rais Samia namlinganisha na Chancellor Angela Mikhel wa Ujerumani.
Katika watu wasiopenda Mapesa ya Dhambi ni Huyu Mama!
Hivi kupumzika ni Dhambi!
Kuna wakati Mwanadamu anahitaji MUDA WAKE PEKE YAKE KWA AJILI YA RE TREAT...
KANISA KATOLIKI LINA ENDESHA RETREAT...NA UNAPATA WATU WAPYA Muda tu baada ya kumaliza retreat.
Mawazo mengine Bhana du!!!
Mmmh!! Sidhani kama kuna uongo 100%, kuna dogo alikuwa akitract ndege za Musk, Bezzo hata trump, kila wajijaribu update system zao jamaa anabypass anatrak na kusema wanapoenda..Hii nchi inawapumbavu wengi sana mkuu, ni rahisi sana kumezeshwa ujinga na kuubeba kama ulivyo!
Na wewe unaamini huo ujinga? Hao watu uliowataja wakiamua kukutupia coordinates matango upambane nazo hawawezi? MAMA YUPO SEHEMU SALAMA ANAENDELEA NA MFUNGO, NI VILE TU WATU WAMEMMISS WANATOA HAYA MANENO YOTE, People wanatamani vile vijembe vyake, siyo mbaya pia watu kummiss Rais waoMmmh!! Sidhani kama kuna uongo 100%, kuna dogo alikuwa akitract ndege za Musk, Bezzo hata trump, kila wajijaribu update system zao jamaa anabypass anatrak na kusema wanapoenda..
Duhh🤣🤣🤣🤣🤣Na wewe unaamini huo ujinga? Hao watu uliowataja wakiamua kukutupia coordinates matango upambane nazo hawawezi? MAMA YUPO SEHEMU SALAMA ANAENDELEA NA MFUNGO, NI VILE TU WATU WAMEMMISS WANATOA HAYA MANENO YOTE, People wanatamani vile vijembe vyake, siyo mbaya pia watu kummiss Rais wao
🤣🤣🤣🤣Mama anastahili kupumzika Dubai, anaongoza nchi kubwa sana ya watu milioni 60, wakati Kuna wanaume wamekimbia familia ya mtoto moja. Imagine unaongoza nchi ambayo ndani yake Kuna majitu ya hovyo kama Mdude