Ni kweli Rais Samia alikuwa mapumzikoni Dubai?

Ni kweli Rais Samia alikuwa mapumzikoni Dubai?

Kama ndege ya Elon Mask inakuwa tracked itakuwa ndege ya Chief Hangaya? Hizo safari za sirisiri si ajabu zinakwenda kuficha dhahabu kwa wajomba kwani mara nyingi hii ndege imekuwa tracked ikienda Oman!!!!
Usipofanya kazi ukaingiza pato halali kila rais akiwa ikulu utaishia kumuona kama vile ni mwizi au dalali wa wezi. Siku za kuishi zinapita na umaskini unaokuhusu unabakia pale pale.
 
Tangia majuzi account ya Twitter ya Tanzania Leak's ilikuwa ikitoa raarifa juu ya Rais kwenda mapumziko ya Pasaka Dubai, taarifa hazikupewa uzito mkubwa ila leo hii ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai na dakika chache zilizopita ilikuwa imeshatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwal Nyerere.

View attachment 2585662View attachment 2585663

Hii Tanzania Watanzania wakiitaka?

Alikuwa kwenye ratiba ya kutakiwa kupumzika …sio vibaya kwenda kutembelea wajomba zake …si alishawaambia mjomba wake kwa mama wako huko….
 
Usipofanya kazi ukaingiza pato halali kila rais akiwa ikulu utaishia kumuona kama vile ni mwizi au dalali wa wezi. Siku za kuishi zinapita na umaskini unaokuhusu unabakia pale pale.
Sio kweli , when you call out these thieves you are doing your national duty!! Niambie Rais gani baada ya "MUSSA" alitawala nchi hii hakuna mwizi? Wengine wamediriki kununua nyumba hadi New York!! Mimi kwa standards za bongo Sio maskini hata kidogo hivyo kuwasema hawa wezi is a patriotic duty.
 
Weka ushahidi hapa wizi wa akina January, Nape nk! Au ndiyo zile kele za Lowasa, Rostam mafisadi and baadaye wakakumbatiwa na huyo mtu aliyewaita mafisadi! Report ya CAG kwa kiasi kikubwa inagusa miaka ya giza 2015-2021

Nyie vijana kwa hela gani ya mshahara mliolimbikiza mpaka kununua nyumbani DUBAI? Hizo ndio kazi TISS inatakiwa kufanya kuokoa Taiafa kutoka kwa hawa chawa.
 
Kwa nini Jiwe hakuimaliza si aliongoza miaka 5 au? Mama ndio kwanza 2 ,una hoja nyingine?

Miaka miwili kakopa trillioni ngapi na miradi bado imekwama? Zile kelele za Standard Gauge na Bwawa la umeme umezisikia tena kwenye magazeti? Mama amechanganyikiwa mpaka anaona aende DUBAI badala ya kwenda Zanzibar kwa shekh Hafidh!
 
Miaka miwili kakopa trillioni ngapi na miradi bado imekwama? Zile kelele za Standard Gauge na Bwawa la umeme umezisikia tena kwenye magazeti? Mama amechanganyikiwa mpaka anaona aende DUBAI badala ya kwenda Zanzibar kwa shekh Hafidh!
Kwa nini hamkuimaliza nyie?
 
Unampangia wewe kama nani?

Mimi kama mpiga kura na mlipa kodi; hatutaki matumizi ya hela zetu ya hovyo mnatuumiza na TOZO!! Juu ya yote yeye ni kioo cha Taifa letu hivyo tunapomuona anasafiri bila bwana Hafidh inatutia simanzi kwani heshima ya nchi inakuwa tete; Si mumemuona Makamu wa Rais wa Marekani alivyoongozana na myahudi wake!
 
Hapa Tanzania angepumzikia wapi wakati kila sehemu ni kuchafu, matope, vumbi na harufu zisizoeleweka.

Tanzania kuna sehemu nzuri kwenda kupumzika kuliko sehemu nyingine zozote duniani!! Tatizo ni pesa tu lakini hata hivyo Rais wetu hajajaliwa kufika huko?
Umewahi kusikia kisiwa kinaitwa "THANDA ISLAND" hiki kisiwa kiliuzwa na mafisadi kwa raia wa SWEDEN; Kiko karibu na Mafia!! Sidhani kama Samia amefika huko!!! You have to book three years in advance to be accommodated!
 
Tangia majuzi account ya Twitter ya Tanzania Leak's ilikuwa ikitoa raarifa juu ya Rais kwenda mapumziko ya Pasaka Dubai, taarifa hazikupewa uzito mkubwa ila leo hii ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai na dakika chache zilizopita ilikuwa imeshatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwal Nyerere.

View attachment 2585662View attachment 2585663

Hii Tanzania Watanzania wakiitaka?
Mwanzoni sikuwa naelewa lines za uzi huu.

Nimeanza kuunga unga na kuelewa mantiki ya uzi.

Waliofeli Venwzuela wataendelea kujadili bata la Dubai
 
Samia hana huo upuuzi! Ni mweupeee hana hata tone la mauchafu yenu! Na kwenye utawala wake hatazalisha wakuu wa mikoa/wilaya matajiri kama akina Makonda, Sabaya, Mnyeti!! Wezi now wanashughulikiwa kwa jicho la Umma, no kufichaficha or kumtimua na kumdhihaki CAG
Tuseme au tunyamaze?
 
Back
Top Bottom