Eti hatutaki matumizi ya zetu.Mimi kama mpiga kura na mlipa kodi; hatutaki matumizi ya hela zetu ya hovyo mnatuumiza na TOZO!! Juu ya yote yeye ni kioo cha Taifa letu hivyo tunapomuona anasafiri bila bwana Hafidh inatutia simanzi kwani heshima ya nchi inakuwa tete; Si mumemuona Makamu wa Rais wa Marekani alivyoongozana na myahudi wake!
Kelele za chura tu hizo