Ni kweli Rais Samia alikuwa mapumzikoni Dubai?

Ni kweli Rais Samia alikuwa mapumzikoni Dubai?

Mimi kama mpiga kura na mlipa kodi; hatutaki matumizi ya hela zetu ya hovyo mnatuumiza na TOZO!! Juu ya yote yeye ni kioo cha Taifa letu hivyo tunapomuona anasafiri bila bwana Hafidh inatutia simanzi kwani heshima ya nchi inakuwa tete; Si mumemuona Makamu wa Rais wa Marekani alivyoongozana na myahudi wake!
Eti hatutaki matumizi ya zetu.
Kelele za chura tu hizo
 
Sio kweli , when you call out these thieves you are doing your national duty!! Niambie Rais gani baada ya "MUSSA" alitawala nchi hii hakuna mwizi? Wengine wamediriki kununua nyumba hadi New York!! Mimi kwa standards za bongo Sio maskini hata kidogo hivyo kuwasema hawa wezi is a patriotic duty.
Hakuna awamu ya TZ isiyokuwa na wezi wala isiyotengeneza mazingira ya upigaji, hata ya kwanza ya Mwalimuu Nyerere ilikuwa na upigaji kwani watu walizitumia sera zake katika kuweka mianya ya wizi. Kuna msomi mmoja alifilisi GAPCO, kuna waziri mmoja alinunua kivuko kibovu yote hayo ni ufisafi.

Samia anashambuliwa sana na wale Pro Magufuli kana kwamba JPM aliumbwa aongoze milele, wanamnyanyapaa kwa jinsia yake wanakosoa sera zake, yaani ni nongwa kwa kwenda mbele lakini ni sawa na kupiga ngumi ukuta, haiwasaidii chochote.
 
Tangia majuzi account ya Twitter ya Tanzania Leak's ilikuwa ikitoa raarifa juu ya Rais kwenda mapumziko ya Pasaka Dubai, taarifa hazikupewa uzito mkubwa ila leo hii ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai na dakika chache zilizopita ilikuwa imeshatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwal Nyerere.

View attachment 2585662View attachment 2585663

Hii Tanzania Watanzania wakiitaka?
Anastahili kupumzika Rais wetu ana majukumu MAKUBWA na mazito yenye kutumia akili na nguvu nyingi
 
Watu wanatetea matumizi mabaya ya Kodi zao inayopelekea wanaongezewa TOZO!
Samia kaongoza kikao leo huko Dodoma, hakuna safari ya Dubai. Mkuu hizi ni nongwa tu. Kama suala ni kodi kuwauma sana wangemlaumu kwanza aliyepeleka pesa ya Plea Bargain kule China ambayo ni mabilioni ya pesa, yule alifanya wizi wa kufuru.
 
Tangia majuzi account ya Twitter ya Tanzania Leak's ilikuwa ikitoa raarifa juu ya Rais kwenda mapumziko ya Pasaka Dubai, taarifa hazikupewa uzito mkubwa ila leo hii ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai na dakika chache zilizopita ilikuwa imeshatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwal Nyerere.

View attachment 2585662View attachment 2585663

Hii Tanzania Watanzania wakiitaka?
Umbea wa kijinga huu. Samia kaongoza kikao leo Dodoma. Haya majungu yanawafanya muonekane hamna kazi ya kufanya.
 
Samia anashambuliwa sana na wale Pro Magufuli kana kwamba JPM aliumbwa aongoze milele, wanamnyanyapaa kwa jinsia yake wanakosoa sera zake, yaani ni nongwa kwa kwenda mbele lakini ni sawa na kupiga ngumi ukuta, haiwasaidii chochote.
Time will tell!! Upigaji Awamu hii umekithiri pengine kwasasabu hana washauri wazuri!! Anategemea sana wanawake wenzi e na hao anawaita vijana ambao kwa kweli hawamsaidii huku anaacha hazina ya watu wenye experience!! Awatumie wazee awa kama washauri hawana haja ya kuteuliwa. Mkuchika sasa afya imezorota kuna wzee wenye afya bora kuliko huyo bwana!
 
Samia kaongoza kikao leo huko Dodoma, hakuna safari ya Dubai. Mkuu hizi ni nongwa tu. Kama suala ni kodi kuwauma sana wangemlaumu kwanza aliyepeleka pesa ya Plea Bargain kule China ambayo ni mabilioni ya pesa, yule alifanya wizi wa kufuru.
Mbona karudi zamani toka Dubai! Samia mbona anapata kigugumizi kuzirudisha hizo fedha alizotuambia zimefichwa China ili hali wakina Kabudi na former DPP wapo?
 
Tangia majuzi account ya Twitter ya Tanzania Leak's ilikuwa ikitoa raarifa juu ya Rais kwenda mapumziko ya Pasaka Dubai, taarifa hazikupewa uzito mkubwa ila leo hii ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai na dakika chache zilizopita ilikuwa imeshatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwal Nyerere.

View attachment 2585662View attachment 2585663

Hii Tanzania Watanzania wakiitaka?
Ndio mjue hutuna rais. Yaani nchini kwake kakosa sehemuya mapumziko hadi aende dubai kuvunja mfungo wa ramazan eti kupmzika pasaka. Ukishaona rais hadi akapumzike nje ya nchi ujue ni mtu wa matanuzi tu kwa hiyo mkija kusikia vikao vya bodi za mashirika vimerejelewa kufanyika Oman, Dubai, au Afrika ya kusini msishangae.
 
waziri mmoja alinunua kivuko kibovu yote hayo ni ufisaf

Kweli Mustapha Nyanga'nyi na Marehemu Col.Kashmiri walipiga hela kwenye kile kivuko chakavu cha UNIFLOT enzi ya Mwalimu lakini hata hivyo upigaji ule huwezi linganisha na upigaji wa hawa vijana wa leo! Umeona tender ya SGR walivyoinflate licha ya malipo ya bwawa la Nyerere? .Ni kufuru kabisa shauri ya mama kushindwa kusimamia vilivyo matumizi ya Serikali yake. Hii mambo ya kusema kuwa anashambuliwa kwa sababu ni mwanamke haina tija.
 
Time will tell!! Upigaji Awamu hii umekithiri pengine kwasasabu hana washauri wazuri!! Anategemea sana wanawake wenzi e na hao anawaita vijana ambao kwa kweli hawamsaidii huku anaacha hazina ya watu wenye experience!! Awatumie wazee awa kama washauri hawana haja ya kuteuliwa. Mkuchika sasa afya imezorota kuna wzee wenye afya bora kuliko huyo bwana!
Mtu kama Kabudi kaona shida kumpa wadhifa wa uwaziri anafikiri kijana kama Nape au Januari wana uwezo zaidi ya kujua ujanja wa kupiga hela ya umma na kutengeneza magoli ya mkono. Mwenyewe anawanyanyapaa wazalendo weledi kwa kisingizio eti anawapa wanawake na vijana madaraka. kwenye kuendesha nchi unatumia watu wenye mapenzi, uchungu wa nchi na wenye weledi. Kinachotakiwa ni kunafaika kwanza nchi sio mtu binafsi.
 
Ndio mjue hutuna rais. Yaani nchini kwake kakosa sehemuya mapumziko hadi aende dubai kuvunja mfungo wa ramazan eti kupmzika pasaka. Ukishaona rais hadi akapumzike nje ya nchi ujue ni mtu wa matanuzi tu kwa hiyo mkija kusikia vikao vya bodi za mashirika vimerejelewa kufanyika Oman, Dubai, au Afrika ya kusini msishangae.

Watakuwa wanafuata nyayo za Rais wao!! Si mnakumbuka jinsi Kikwete alivyokuwa anasafiri mpaka akapachikwa jina la VASCO DAGAMA ; na watu wake nao wakaanza kupishana Airport kufuata nyayo za Kiongozi tao!
 
Kuna shida kupumzika? Mbona yule alikua anaenda kukaa mwezi 1 na zaidi kule shamba. C.h.a.t.o.
 
Mentor wake kasema tumuombee rais wetu jamani ili Mungu Ampe maisha marefu aendelee kuupiga mwingi mpaka 2035. Maneno mengi ya nini?
IMG-20230414-WA0064.jpg
 
Back
Top Bottom