Ni kweli Rais Samia alikuwa mapumzikoni Dubai?

Air force 2 Kamara Harris alipokuja Bongo mi nilikuwa mtu mmoja wapo niliokuwa bafatilia through flight radar na nilileta uzi humu ndege ya air tanzania kuzuiliwa kuingia katika anga ata mkoa wa Pwani.

Safari ya Nancy Pelosi siku anaenda Taiwan na kizaazaa chote kile ila ndege yake ilikuwa inaongekana katika flight radar, namimi nilikuwa nafulitia pia
 
Mda wa kula Bata.

Safari za sirisiri kama hizi ujue kuna dili kubwakubwa ndani yake.

Rais ni mali ya uma hapaswi kusafiri nje bila taarifa.
Unadhani Naye ataacha kujiwekezea, ameeenda kuangalia mjengo wake unavoendelea.

Sio wengine walambe [emoji518] yeye akiwaangalia.

Shamba ya bibi.
Hata Aliyemrithi akienda CHATO Kwa mwezi nazaidi akisimamia uwanja.
 
Kabisa mkuu, huo uzi pia niliuona na ndio ukanifanya na mm ni-download hy app ya radar.
Mara kadhaa nikiwa free hua naangalia safari za ndege sasa siku hy nikakutana na Air force one ikipita anga letu
Afu kumbe Air force one ziko tofauti, mm nilijua ni ndege moja, nikajua P na VP wanatumia ndege moja.
 
Unadhani Naye ataacha kujiwekezea, ameeenda kuangalia mjengo wake unavoendelea.

Sio wengine walambe [emoji518] yeye akiwaangalia.

Shamba ya bibi.
Hata Aliyemrithi akienda CHATO Kwa mwezi nazaidi akisimamia uwanja.
Chato uwanja wa wote. B
 
Sna hakika na hilo ila njnachojua Airforce One iko moja tu ina kuna kitu kinaandikwa Airforce (USAF)! Labda ilikuchanganga ilo neno ukiona Airforce unajua zote ni One kumbe kuna Two then kuna Airforce (USAF) angalia hiyo picha ya pili aliyokaitumia spika wa Bunge la Marekan kwendanayo Taiwan nayo ni Airforce (USAF)
 
Yah hy ambayo niliona ni USAF, hv hy si ile kama ya kijeshi au.?
 
Bc n mm nilichanganya, air force one niliyoona Ni ile ya kijeshi na sio ile ya P au VP
 
Hii nchi inawapumbavu wengi sana mkuu, ni rahisi sana kumezeshwa ujinga na kuubeba kama ulivyo!
Unakosea mkuu, ukiwa hujui kitu haimaanishi na wengine hawajui. Ukiwa huna taarifa au maarifa juu ya kitu fulani haimaanishi na wengine hawajui.
Mtoa mada ameandika sahihi kabisa ila ww ndie huna hayo maarifa/taarifa.
 
Hii ndege ndiyo aliyonunua mkapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…