EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
- #181
🙏🏻🙏🏻🙏🏻Mungu iokoe Tanganyika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙏🏻🙏🏻🙏🏻Mungu iokoe Tanganyika
Hao ndio wanaolengwa we unadhani ng'ombe, mbuzi na kitimoto?Nimeuliza kuhusu wild animals tu !
Tena yuko nje ya mada mno, something is wrong with him/her.Mbona kama upo nje ya mada?
Wanajitoaga ufahamu tu kuingiza UDINI kwenye ishu yoyote inayohusu UARABUTena yuko nje ya mada mno, something is wrong with him/her.
Tuliwafukuza kwaio wasiturudishe huko tenaKihistoria Zanzibar ni sehemu ya Oman
Ninavyoifahamu Oman huwa hawana interest na wanyama Hao wao wanapenda kula nyama ya Swala na nyama ya Nyati !! Mambo ya kufuga wanyama wa porini hawana interest kabisa kabisa !! Labda waanze sasa which I doubt !!Hao ndio wanaolengwa we unadhani ng'ombe, mbuzi na kitimoto?
Hapo ni Twiga, Simba, chui, duma n.k
Una uhakika hawana ZOO za wanyama pori?Ninavyoifahamu Oman huwa hawana interest na wanyama Hao wao wanapenda kula nyama ya Swala na nyama ya Nyati !! Mambo ya kufuga wanyama wa porini hawana interest kabisa kabisa !! Labda waanze sasa which I doubt !!
Hawana uwezo wa kuimeza yetu kwa uchache wao ila sisi Tunaweza kuwameza wao !!Kwaio wameze yetu sio?
Sijawahi kusikia !! Ngoja nizitafute !
Itafika kipindi tu Muungano utavunjikaga wakabanane visiwaniHawana uwezo wa kuimeza yetu kwa uchache wao ila sisi Tunaweza kuwameza wao !!
Hakuna inzi wala tembo atathubutu siyo tu kuuvunja hata kujaribu kuuvunja. Mungu pekee anaweza na Mungu ni upendo na umoja. #SISI NI TAIFA LA TANZANIA. 🙏🙏🙏Itafika kipindi tu Muungano utavunjikaga wakabanane visiwani
Duh !! Kisha tutaanza kubaguana humu humu Nchini sisi kwa sisi kama alivyotuambia Hayati Nyerere !! Dhambi ya Ubaguzi huwa ina tabia ya kuendelea na kuendelea sawa na ukila nyama ya MTU ujue utaendelea tu kula hiyo nyama !Itafika kipindi tu Muungano utavunjikaga wakabanane visiwani
Hiyo ITAPENDEZA SANA !! SISI SOTE NI WA MUNGU NA TUTARUDI KWAKE !! LIFE IS TOO SHORT TUPENDANE BANDUGU !!Ni vizuri kila mtanzania kuwa na ndugu nje ya nje inapendeza sana
Haipendezi mtu anafunga safari anasema naenda kutembelea mjomba Manzese.kwa Mfuga mbwa nikitoka hapo naenda kumsalimia baba mdogo buguruni kwa kimbengele na Kesho nitaenda.vingunguti kumsalimia Shangazi
Inatakiwa uende.kusalimia mjomba Japan ukitoka unaenda kwa baba mdogo Marekani ukitoka unaenda kusalimia Shangazi China halafu nitaenda uswizi kumjulia hali mama Mkwe ambaye anayesikia kichwa kinakuuma
Hongera Mama Samia kuwa na mjomba na ndugu Oman
Habarini
Nimeona hii kitu ikanistua, naomba kujuzwa juu ya huu undugu na kama kweli, wanyama wetu watabaki kweli?
Maana enzi za awamu ya mzee ruksa, mkewe alituhumiwa/shutumiwa kusafirisha wanyama hai kwenda arabuni saivi Rais Samia anasema ataimarisha usafiri wa majini ili kusafirisha wanyama hai.
Nijuzeni kuhusu hili swala.
View attachment 2260879
===========================================
Oman: Rais Samia ataka kuwepo Maritime transport ya kusafirishia Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman
Salaam Wakuu, Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, amesema kuna umuhimu Mkubwa wa kuangalia Usafiri wa Majini akimanisha Meli yenye Uwezo wa kusafirisha Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman. Watu hapa wasifikilie Wanyama Pori tu, Bali ni Habari njema...www.jamiiforums.com
Mungu aliumba dunia moja na kuruhusu mtu aishi popoteMungu iokoe Tanganyika
Mbona hata Hayati Rais Mh.Maguguli,alishasema hiliHabarini
Nimeona hii kitu ikanistua, naomba kujuzwa juu ya huu undugu na kama kweli, wanyama wetu watabaki kweli?
Maana enzi za awamu ya mzee ruksa, mkewe alituhumiwa/shutumiwa kusafirisha wanyama hai kwenda arabuni saivi Rais Samia anasema ataimarisha usafiri wa majini ili kusafirisha wanyama hai.
Nijuzeni kuhusu hili swala.
View attachment 2260879
===========================================
Oman: Rais Samia ataka kuwepo Maritime transport ya kusafirishia Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman
Salaam Wakuu, Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, amesema kuna umuhimu Mkubwa wa kuangalia Usafiri wa Majini akimanisha Meli yenye Uwezo wa kusafirisha Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman. Watu hapa wasifikilie Wanyama Pori tu, Bali ni Habari njema...www.jamiiforums.com
sawa mkuu unazungumziaje suala la kusafirisha wanyama hai ukihusisha na kuondolewa wamasai kule Loliondo na Ngorongoro?