Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Imelipa sana, maana karibu wote waliooa waarabu mambo yao kisiasa yakawanyookea sana!! Wengine wakaukwaa URais mpaka na watoto wakawa ma- Rais pia !!
Hivyo ulivyoandika inaonyesha namna gani miafrika ilivyokuwa haijipendi Na inavyopenda ukubwa