Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Mh.Rais Magufuli,aliuambia pia kama makamo wa Rais ana wajomba Oman,na akasema Oman ni ndugu zetuNimelewa mbege na bangi kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh.Rais Magufuli,aliuambia pia kama makamo wa Rais ana wajomba Oman,na akasema Oman ni ndugu zetuNimelewa mbege na bangi kweli
Hata Mh.Rais Magufuli,alituambia kama Mama Samia,ana wajomba Oman,na akatuambia hawa Oman ni ndugu zetuHabarini
Nimeona hii kitu ikanistua, naomba kujuzwa juu ya huu undugu na kama kweli, wanyama wetu watabaki kweli?
Maana enzi za awamu ya mzee ruksa, mkewe alituhumiwa/shutumiwa kusafirisha wanyama hai kwenda arabuni saivi Rais Samia anasema ataimarisha usafiri wa majini ili kusafirisha wanyama hai.
Nijuzeni kuhusu hili swala.
View attachment 2260879
===========================================
Oman: Rais Samia ataka kuwepo Maritime transport ya kusafirishia Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman
Salaam Wakuu, Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, amesema kuna umuhimu Mkubwa wa kuangalia Usafiri wa Majini akimanisha Meli yenye Uwezo wa kusafirisha Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman. Watu hapa wasifikilie Wanyama Pori tu, Bali ni Habari njema...www.jamiiforums.com
Msikize Mh.Rais Makufuli,anasema wa Oman ni ndugu zake,walipomtembeleaTunajua Sana !sema hao ndio ndugu zetu KWA Hali na mali!!![]()
Waarabu sio ! TUNAISHI nao bongo kama wapo kwao huko uarabuni!!
Swala ni kutaka kusafirisha wanyama haiHata Mh.Rais Magufuli,alituambia kama Mama Samia,ana wajomba Oman,na akatuambia hawa Oman ni ndugu zetu
Kama ni hivyo Basi kule ngoro ngoro yasingetokea Hayo tunayoyasikia!!au masai Sio NDUGU zetu au zao!!?Msikize Mh.Rais Makufuli,anasema wa Oman ni ndugu zake,walipomtembelea
View attachment 2261708
Mimi kabila langu tuna vinasaba na Ibrahim na Isaka na Yakobo.Habarini
Nimeona hii kitu ikanistua, naomba kujuzwa juu ya huu undugu na kama kweli, wanyama wetu watabaki kweli?
Maana enzi za awamu ya mzee ruksa, mkewe alituhumiwa/shutumiwa kusafirisha wanyama hai kwenda arabuni saivi Rais Samia anasema ataimarisha usafiri wa majini ili kusafirisha wanyama hai.
Nijuzeni kuhusu hili swala.
View attachment 2260879
===========================================
Oman: Rais Samia ataka kuwepo Maritime transport ya kusafirishia Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman
Salaam Wakuu, Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, amesema kuna umuhimu Mkubwa wa kuangalia Usafiri wa Majini akimanisha Meli yenye Uwezo wa kusafirisha Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman. Watu hapa wasifikilie Wanyama Pori tu, Bali ni Habari njema...www.jamiiforums.com
👍🏻🤝🏻🤝🏻🤝🏻🤣🤣🤣🤣🤣😂 hata mimi mkuuMimi kabila langu tuna vinasaba na Ibrahim na Isaka na Yakobo.
Aliwapa Twiga na wanyama wengine bure kwa kuwamwaga mbuga ya Chato.Oman: Rais Samia ataka kuwepo Maritime transport ya kusafirishia Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman
Salaam Wakuu, Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, amesema kuna umuhimu Mkubwa wa kuangalia Usafiri wa Majini akimanisha Meli yenye Uwezo wa kusafirisha Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman. Watu hapa wasifikilie Wanyama Pori tu, Bali ni Habari njema...www.jamiiforums.com
Aliwauzia nini hao wanyarwanda [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
Kwani mlitumwa mtuvamie? Hata bado mtayala Matunda ya UvamiziMneshindwa kumaliza ubaguzi hapo tu Zenji sembuse TZ, mbona watu wa bara hamtaki wamiliki ardhi na mkija huku mmejazana kwenye mashamba, mbona unaongea kama umezaliwa na kukulia "maskati"? tuhahoji uhusiano huu na wanyama wetu na sio dINI KAMA MNAVYOTWIST
Huo undugu na Bi Tozo awakuutaka wakati ajatoboa yupo ‘Kiembe Samaki’ kwenye ile nyumb aliyotuonyesha alipokulia ya kusononesha.
Undugu wanautafuta baada ya kuwa raisi wa Tanzania, ana mijumba ya kulala chi nzima na mawaziri walambaa miguu wa fedha akiongoza awape unafuu wa kuja kuchota.
Mama ni predictable natoa miezi mitatu mradi wa Bagamoyo unapigwa sign vivo hivyo na incentives za ajabu wanazotaka.
Sijawahi kusikia katika maisha yangu yote kwamba IPO siku Nchi ya Oman walikuwa wakihitaji kuchukua wild animals kutoka Tanzania !! Mwenye record yeyote ya zamani naomba anijuze ! Please !Kutaka KUUZA WANYAMA HAI OMAN thats a very big deal
Huo undugu na Bi Tozo awakuutaka wakati ajatoboa yupo ‘Kiembe Samaki’ kwenye ile nyumb aliyotuonyesha alipokulia ya kusononesha.
Undugu wanautafuta baada ya kuwa raisi wa Tanzania, ana mijumba ya kulala chi nzima na mawaziri walambaa miguu wa fedha akiongoza awape unafuu wa kuja kuchota.
Mama ni predictable natoa miezi mitatu mradi wa Bagamoyo unapigwa sign vivo hivyo na incentives za ajabu wanazotaka.
Una umri gani? Kuhusu kununua visiwa vidogo vywa Zenji pia hujasikia? I don't to disrespect youSijawahi kusikia katika maisha yangu yote kwamba IPO siku Nchi ya Oman walikuwa wakihitaji kuchukua wild animals kutoka Tanzania !! Mwenye record yeyote ya zamani naomba anijuze ! Please !
Kwaio tunakubaliana Zenji wanatubagua sana wabara?
Labda kwa sababu ardhi yao ni ndogo sana Wanaogopa kumezwa na wabara !Kwaio tunakubaliana Zenji wanatubagua sana wabara?
Watanzania wengi wana vinasaba vya waarabu wa Oman.Habarini
Nimeona hii kitu ikanistua, naomba kujuzwa juu ya huu undugu na kama kweli, wanyama wetu watabaki kweli?
Maana enzi za awamu ya mzee ruksa, mkewe alituhumiwa/shutumiwa kusafirisha wanyama hai kwenda arabuni saivi Rais Samia anasema ataimarisha usafiri wa majini ili kusafirisha wanyama hai.
Nijuzeni kuhusu hili swala.
View attachment 2260879
===========================================
Oman: Rais Samia ataka kuwepo Maritime transport ya kusafirishia Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman
Salaam Wakuu, Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, amesema kuna umuhimu Mkubwa wa kuangalia Usafiri wa Majini akimanisha Meli yenye Uwezo wa kusafirisha Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman. Watu hapa wasifikilie Wanyama Pori tu, Bali ni Habari njema...www.jamiiforums.com
Imelipa sana, maana karibu wote waliooa waarabu mambo yao kisiasa yakawanyookea sana!! Wengine wakaukwaa URais mpaka na watoto wakawa ma- Rais pia !!Miafrika inavyopemda rangi nyeupe ni hatari. Karume Se Hakuoa miafrika myenzake Na wengi baada Mapinduzi wakajiolea kwa nguvu ngozir nyeupe. Thabit kombo alikuwa Na mtoto wa kike aliyezaa Na ngozi nyeusi kabla mavamizi.. Alimshauri rafiki yake Karume amwozeshe mwanawe Ali Karume. Alipoambiwa Ali kuhusu kuoa akaja juu. Akamwambia baba yake kuwa Wao wote wameoa ngozir nyeupe ,yeye katu hawezi kuoa cheusi . Akaenda Pemba kuoa mtoto wa kiarabu
Habarini
Nimeona hii kitu ikanistua, naomba kujuzwa juu ya huu undugu na kama kweli, wanyama wetu watabaki kweli?
Maana enzi za awamu ya mzee ruksa, mkewe alituhumiwa/shutumiwa kusafirisha wanyama hai kwenda arabuni saivi Rais Samia anasema ataimarisha usafiri wa majini ili kusafirisha wanyama hai.
Nijuzeni kuhusu hili swala.
View attachment 2260879
===========================================
Oman: Rais Samia ataka kuwepo Maritime transport ya kusafirishia Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman
Salaam Wakuu, Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, amesema kuna umuhimu Mkubwa wa kuangalia Usafiri wa Majini akimanisha Meli yenye Uwezo wa kusafirisha Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman. Watu hapa wasifikilie Wanyama Pori tu, Bali ni Habari njema...www.jamiiforums.com
Nimeuliza kuhusu wild animals tu !Una umri gani? Kuhusu kununua visiwa vidogo vywa Zenji pia hujasikia? I don't to disrespect you