Suala LA loliondo na Ngorongoro tangu miaka yote lilipoanzia halijawahi kuhusishwa na nchi ya Oman Bali limekuwa likihusishwa na makampuni ya uwindaji kutoka United Arab Emirates ! Ambayo ni nchi nyingine ya huko bara la Arabuni !! Tusichanganye mambo !!sawa mkuu unazungumziaje suala la kusafirisha wanyama hai ukihusisha na kuondolewa wamasai kule Loliondo na Ngorngoro?
Unazungumziaje ahadi ya Rais kwa Sultani kwamba "wataimarisha usafiri wa majini kwa ajili ya KUSAFIRISHA WANYAMA HAI"?Suala LA loliondo na Ngorongoro tangu miaka yote lilipoanzia halijawahi kuhusishwa na nchi ya Oman Bali limekuwa likihusishwa na makampuni ya uwindaji kutoka United Arab Emirates ! Ambayo ni nchi nyingine ya huko bara la Arabuni !! Tusichanganye mambo !!
Kama ni ndugu yetu kihivyo angetoa tamko la kulaani damu zinazomwagika ngoro ngoro na kumwambia ndugu yake Kuwa awaambie vikosi KAZI virudi NYUMA KWANZA!!
Kama wamekaa KIMYA MAANA yake wanaunga mkono damu kumwagika chini za ndugu zet
Hutaki wafugaji wapate soko?Wanyama hai kuna ng'ombe,Mbuzi,kondoo,kuku,bata nk.Wafugaji wakipata soko,ndio maendeleo ya nchi.Mkuu hoja yangu ina matukio mawili yanayohusu KUSAFIRISHWA KWA WANYAMA HAI.
1. cITY Bin AMM
2. Bi. Mkubwa akiwa tena Oman kasema tutashirikiana kuboresha usafiri wa majini kwa ajili ya KUSAFIRISHA WANYAMA HAI.
Nadhani umenipata sijahusisha DINI wala Asili kwa maana tofauti na hayo hapo juu
Unazungumziaje ahadi ya Rais kwa Sultani kwamba "wataimarisha usafiri wa majini kwa ajili ya KUSAFIRISHA WANYAMA
Kwani wangebaki walipo soko lisingepatikana? na nani kakuambia wanataka ngombe na mbuzi?Hutaki wafugaji wapate soko?Wanyama hai kuna ng'ombe,Mbuzi,kondoo,kuku,bata nk.Wafugaji wakipata soko,ndio maendeleo ya nchi.
Wafugaji watapata soko ,ng'ombe,mbuzi,kondoo,kuku,bata nk.Soko litakuwa kubwa.Pato kwa wafugaji litaongezeka.sawa mkuu unazungumziaje suala la kusafirisha wanyama hai ukihusisha na kuondolewa wamasai kule Loliondo na Ngorngoro?
Watanufaika wanaofuga Twiga na Simba sio mbuzi na kukuWafugaji watapata soko ,ng'ombe,mbuzi,kondoo,kuku,bata nk.Soko litakuwa kubwa.Pato kwa wafugaji litaongezeka.
Your time is up
Ngombe na mbuzi na kondoo walio hai ! Nimeambiwa mbuzi wa kawaida tu yaani sio mkubwa sana anauzwa huko kwa rial ya Oman 70 mpaka rial 80 !! Oman rial moja inanunuliwa kwa Tshs 6000/- hapa Tz !! Je huoni hiyo ni neema kwa wafugaji wetu ? Maana kwa sasa wanauziwa mbuzi na kondoo zinazotoka Somalia na wale wa kisasa wanatoka Australia ambao ladha ya nyama yake sio nzuri kama Hao wa kienyeji wa huku kwetu !!Unazungumziaje ahadi ya Rais kwa Sultani kwamba "wataimarisha usafiri wa majini kwa ajili ya KUSAFIRISHA WANYAMA HAI"?
Hao Twigs na Simba ni wanyama wakubwa sana kama kweli wakianza kusafirishwa kila MTU atajua ! Hakutakuwa na namna ya kuwasafirisha kimya kimya ili watu wasijue !! Kwahiyo tusubiri tuone !! Wakianza nasi tutapaza sauti zetu kujua kunani tena ??!!!Watanufaika wanaofuga Twiga na Simba sio mbuzi na kuku
Kumbe hujui lolote unanipotezea muda tu jaribu Google uone mara ngapi wamesafirishwaHao Twigs na Simba ni wanyama wakubwa sana kama kweli wakianza kusafirishwa kila MTU atajua ! Hakutakuwa na namna ya kuwasafirisha kimya kimya ili watu wasijue !! Kwahiyo tusubiri tuone !! Wakianza nasi tutapaza sauti zetu kujua kunani tena ??!!!
Hawana uwezo wa kuchukua wanyama wengi kwa sababu hiyo Nchi sehemu kubwa ni majabali na michanga !! Zoo yao ni sawa na Dar Zoo labda !! Watawaweka wapi Hao wanyama wengi wakiwachukua ?! Wanyama wengi walionao huko wanaoweza kuvumilia mazingira ya huko ni Ngamia !! Usihofu wanyama wetu hawatapelekwa huko zaidi ya Ng'ombe mbuzi na kondoo walio hai !!Kumbe hujui lolote unanipotezea muda tu jaribu Google uone mara ngapi wamesafirishwa
Binadamu wa kwanza alikuwa nyani🤣Inaonekana wewe ni kichwa maandazi. Uwezo wako wa kutafakari mambo ni sawa tu na wa watoto wa shule ambao wanaweza wakapewa taarifa fulani na wakashindwa kuing'amua juu ya ukweli na uongo wake.
Huyu alihamishia mihela na madini hukoAliuza ni Rwanda?
Wanyama hai ni pamoja na ng'ombe, mbuzi na kondoo.Unazungumziaje ahadi ya Rais kwa Sultani kwamba "wataimarisha usafiri wa majini kwa ajili ya KUSAFIRISHA WANYAMA HAI"?
Kuna tofauti kubwa sana kati ya haya maneno mawili, “anadaiwa“ na “ni kawaida”, kwa kimatumbi ni kama mtu aseme, “innocent till proven guilty“ na “guilty till proven innocent” respectively.ni kawaida kwa wanzanzibar wenye asili ya pemba kuwa na unasaba wa kindungu na waarabu wa oman.
hata marehemu jiwe anadaiwa alikuwa na unasaba na wahutu wa burundi, mkapa na wamakonde wa msumbiji.
lakini pia nyerere wanasema naye alikuwa na ndg zake kati ya rwanda na burundi.