Ni kweli Rais Samia ana nasaba na familia ya Mfalme wa Oman?

Ni kweli Rais Samia ana nasaba na familia ya Mfalme wa Oman?

sawa mkuu unazungumziaje suala la kusafirisha wanyama hai ukihusisha na kuondolewa wamasai kule Loliondo na Ngorngoro?
Suala LA loliondo na Ngorongoro tangu miaka yote lilipoanzia halijawahi kuhusishwa na nchi ya Oman Bali limekuwa likihusishwa na makampuni ya uwindaji kutoka United Arab Emirates ! Ambayo ni nchi nyingine ya huko bara la Arabuni !! Tusichanganye mambo !!
 
Suala LA loliondo na Ngorongoro tangu miaka yote lilipoanzia halijawahi kuhusishwa na nchi ya Oman Bali limekuwa likihusishwa na makampuni ya uwindaji kutoka United Arab Emirates ! Ambayo ni nchi nyingine ya huko bara la Arabuni !! Tusichanganye mambo !!
Unazungumziaje ahadi ya Rais kwa Sultani kwamba "wataimarisha usafiri wa majini kwa ajili ya KUSAFIRISHA WANYAMA HAI"?
 
Kama ni ndugu yetu kihivyo angetoa tamko la kulaani damu zinazomwagika ngoro ngoro na kumwambia ndugu yake Kuwa awaambie vikosi KAZI virudi NYUMA KWANZA!!

Kama wamekaa KIMYA MAANA yake wanaunga mkono damu kumwagika chini za ndugu zet

Mkuu hoja yangu ina matukio mawili yanayohusu KUSAFIRISHWA KWA WANYAMA HAI.
1. cITY Bin AMM
2. Bi. Mkubwa akiwa tena Oman kasema tutashirikiana kuboresha usafiri wa majini kwa ajili ya KUSAFIRISHA WANYAMA HAI.

Nadhani umenipata sijahusisha DINI wala Asili kwa maana tofauti na hayo hapo juu
Hutaki wafugaji wapate soko?Wanyama hai kuna ng'ombe,Mbuzi,kondoo,kuku,bata nk.Wafugaji wakipata soko,ndio maendeleo ya nchi.
 
Unazungumziaje ahadi ya Rais kwa Sultani kwamba "wataimarisha usafiri wa majini kwa ajili ya KUSAFIRISHA WANYAMA HAI"?
Ngombe na mbuzi na kondoo walio hai ! Nimeambiwa mbuzi wa kawaida tu yaani sio mkubwa sana anauzwa huko kwa rial ya Oman 70 mpaka rial 80 !! Oman rial moja inanunuliwa kwa Tshs 6000/- hapa Tz !! Je huoni hiyo ni neema kwa wafugaji wetu ? Maana kwa sasa wanauziwa mbuzi na kondoo zinazotoka Somalia na wale wa kisasa wanatoka Australia ambao ladha ya nyama yake sio nzuri kama Hao wa kienyeji wa huku kwetu !!
 
Watanufaika wanaofuga Twiga na Simba sio mbuzi na kuku
Hao Twigs na Simba ni wanyama wakubwa sana kama kweli wakianza kusafirishwa kila MTU atajua ! Hakutakuwa na namna ya kuwasafirisha kimya kimya ili watu wasijue !! Kwahiyo tusubiri tuone !! Wakianza nasi tutapaza sauti zetu kujua kunani tena ??!!!
 
Hao Twigs na Simba ni wanyama wakubwa sana kama kweli wakianza kusafirishwa kila MTU atajua ! Hakutakuwa na namna ya kuwasafirisha kimya kimya ili watu wasijue !! Kwahiyo tusubiri tuone !! Wakianza nasi tutapaza sauti zetu kujua kunani tena ??!!!
Kumbe hujui lolote unanipotezea muda tu jaribu Google uone mara ngapi wamesafirishwa
 
Kumbe hujui lolote unanipotezea muda tu jaribu Google uone mara ngapi wamesafirishwa
Hawana uwezo wa kuchukua wanyama wengi kwa sababu hiyo Nchi sehemu kubwa ni majabali na michanga !! Zoo yao ni sawa na Dar Zoo labda !! Watawaweka wapi Hao wanyama wengi wakiwachukua ?! Wanyama wengi walionao huko wanaoweza kuvumilia mazingira ya huko ni Ngamia !! Usihofu wanyama wetu hawatapelekwa huko zaidi ya Ng'ombe mbuzi na kondoo walio hai !!
 
Rais Samia katokea familia ya Watawala sasa kama wewe background ya familia yako ni umaskini aisee utajuta itabidi upambane na Hali yako..

Maji hufuata mkondo.
 
Kuna shida nyingi sana za kifikra kwa watanzania wote hata viongozi wao wa juu kabisa kuwa tunamhitaji mtu wa race nyingine aje atukomboe katika umaskini wetu na sisi wenyewe hatuwezi. Mkuu wa nchi anaenda nchi za mbali kuomba msaada eti njooni tumewapa bahari kuu yetu ukavue, uanzishe usafiri wa kusafirisha mali hai zetu badala ya kufanya wenyewe au kwa kutumia wazawa. Nchi hii itauzwa mchana kweupe nakumbuka kauli ya Spika wa zamani Ndugai na JPM.
 
ni kawaida kwa wanzanzibar wenye asili ya pemba kuwa na unasaba wa kindungu na waarabu wa oman.

hata marehemu jiwe anadaiwa alikuwa na unasaba na wahutu wa burundi, mkapa na wamakonde wa msumbiji.

lakini pia nyerere wanasema naye alikuwa na ndg zake kati ya rwanda na burundi.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya haya maneno mawili, “anadaiwa“ na “ni kawaida”, kwa kimatumbi ni kama mtu aseme, “innocent till proven guilty“ na “guilty till proven innocent” respectively.

Kwa mantiki hii comment yako ni kizungumkuti, huyo jiwe kuwa na asali, sijui asili ya burundi, nyerere asali ya Rwanda na hata stori za Mkapa kuwa na asali ya msumbiji hazina ushahidi na wahusika wenyewe hawaku decry hivyo popote, Samia anao uhusiano wa wazi maana ukishaunganisha damu na mgeni (ambapo kwa kesi yetu mgeni ni muarabu) unaonekana vizuri na huwezi ficha. (Kumbuka hao wengine wote ni full wahapa hapa Africa na hata nchi tajwa ni za kiafrika)…

Mpaka hapo hakuna ubaya wowote maana kila mmoja kuanzia Nyerere mpaka huyu wa sasa ndani yao wanajua wenyewe dhamira zao ni nini baina ya uhusiano wao binafsi katika asali inayopatikana ndani ya Tanzania, mtanzania hakikisha kichupa chako hakikauki asali, zingatia hivi sasa jinsi vizinga vinapigwa tozo ya asali mbichi kienyeji…lazima tupangane vizuri Maasai ataishi Tanga Muarabu aendelee kuishi Loliondo… tutazitafuta asali zetu kwa nguvu tutake tusitake.
 
Back
Top Bottom