Ukweli nikiambiwa kuhusu ubaya wa mkoloni. Simkumbuki mzungu wala mwafrika ninamkumbuka mwarabu.
Hawa ndio waliowahasi watumwa wao na kuacha kizazi chetu kikiwa hakina mabaki wala mahalf cast wa kiafrika na kiarabu,
Hawa ndio wanyama kuliko wanyama!! I HATE THEM!
Si suala la kukariri hata yale mabaki ya waarabu waliobaki kipindi cha ile biashara ya utumwa bado wapo tabora, shinyanga pwani nk. Kule shinyanga kuna sehemu inaitwa maskati fisi. Wale jamaa wananyanyasa wenyeji bila huruma. wanaongea kisukuma lakini ni mashetani pure!
Ukweli nikiambiwa kuhusu ubaya wa mkoloni. Simkumbuki mzungu wala mwafrika ninamkumbuka mwarabu.
Hawa ndio waliowahasi watumwa wao na kuacha kizazi chetu kikiwa hakina mabaki wala mahalf cast wa kiafrika na kiarabu,
Hawa ndio wanyama kuliko wanyama!! I HATE THEM!
Kwa Wazanzibar ni jambo la kawaida sana, makao makuu ya Oman yalihamishiwa Zanzibar, mpaka mawaziri wa Oman wanaongea kiswahili.Habarini
Nimeona hii kitu ikanistua, naomba kujuzwa juu ya huu undugu na kama kweli, wanyama wetu watabaki kweli?
Maana enzi za awamu ya mzee ruksa, mkewe alituhumiwa/shutumiwa kusafirisha wanyama hai kwenda arabuni saivi Rais Samia anasema ataimarisha usafiri wa majini ili kusafirisha wanyama hai.
Nijuzeni kuhusu hili swala.
View attachment 2260879
Sio kwa weusi wote ila ni kwa baadhi ya wale wenye mioyo ya kibaguzi tu !! Ambao wapo duniani kote ila bahati mbaya kwao ni kwamba wanapigwa vita Duniani kote !! Hata America na Ulaya wapo wanaojiita White Supremacy !! Ambao wanaamini huko wanatakiwa kuishi wazungu tuu !!Ubaguzi ni tatizo sugu sana kwa Watu weusi, Chuki za kibaguzi zinakutes ndugu
Acha niteseke tu! Ukishapata uzoefu mchungu ni vigumu sana kusahau. Juzi nilienda South Africa tukiwa kwenye workshop inayohusiana na madini.Ubaguzi ni tatizo sugu sana kwa Watu weusi, Chuki za kibaguzi zinakutes ndugu
SAWA lakini hatutakubali utumwa tena asilani!Umri wako ni zaidi ya miaka Mia tatu ? Bangi ukichanganya Na mbege ndio matokeo yake haya
Nilikuwa wageningen kwa wadachi na binti yangu alikuwa akipigwa na wazungu kwa kisingizio ana "body language" !!Dunia ya leo ndugu zetu tena wa damu wapo kila mahali, nina nieces na watoto kuanzia Europe mpaka North America, sio issue kabisa huna haja ya kushtuka
Chunguza kuhusu hivyo vizazi na ubaguzi hao mahalf caste wanaopata kutoka kwa wale wanaojiona ni "pure". Tuache utani na tuwe makini sana! Nenda uone mabinti waliotolewa hapa kupelekwa kwenye kazi za ndani huko arabuni ujue hali zao! fyuuu! niacheni na ushamba wangu ila sikubali.Heeh!! Kumbe hujui Hao unawaona ni waarabu hapa Tanzania wote asilimia 95 ni wa mchanganyiko wa kiarabu na kiafrika ?? ( halfcaste) wapo mpaka mahalfcaste wa kichaga na kiarabu !! Mangikule mkuu hata tukiwabagua ni kazi bure tu maana Hao ni ndugu zetu tumechangia damu !! Hata mhe Mbowe anajua hivyo !!
SAWA lakini hatutakubali utumwa tena asilani!
Nimelewa mbege na bangi kweliUmri wako ni zaidi ya miaka Mia tatu ? Bangi ukichanganya Na mbege ndio matokeo yake haya
Labda kama lengo lako ulitaka tujuwe ulikwenda South Africa, lakini hao ujanja wao wote hawana jeuri kwa Wazungu hata siku moja.Acha niteseke tu! Ukishapata uzoefu mchungu ni vigumu sana kusahau. Juzi nilienda South Africa tukiwa kwenye workshop inayohusiana na madini.
Wakati wa mjadala bifu kali ilianza kati ya weusi na weupe. Nakumbuka weusi walirudia mara nyingi "mnataka kutuua tena"?
Ubaguzi upo na utakuwepo tusiporejea historia na kupambana nao!
UK watu wenye asili ya India wameshika nyadhifa kubwa kubwa Serikalini kama vile waziri wa fedha waziri wa mambo ya ndani na meya wa jiji la London ni Sadiq Khan !! Na wengi tu wapo wabunge na kadhalika !! Ubaguzi hauna nafasi katika karne ya 21,
Huko huko Afrika kusini weusir waliwauwa weusiAcha niteseke tu! Ukishapata uzoefu mchungu ni vigumu sana kusahau. Juzi nilienda South Africa tukiwa kwenye workshop inayohusiana na madini.
Wakati wa mjadala bifu kali ilianza kati ya weusi na weupe. Nakumbuka weusi walirudia mara nyingi "mnataka kutuua tena"?
Ubaguzi upo na utakuwepo tusiporejea historia na kupambana nao!
Nimelewa mbege na bangi kweli
Mm mbona umekuwa mtumwa wa CCM?SAWA lakini hatutakubali utumwa tena asilani!