Ni kweli Rais Samia ana nasaba na familia ya Mfalme wa Oman?

Hata Mh.Rais Magufuli,alituambia kama Mama Samia,ana wajomba Oman,na akatuambia hawa Oman ni ndugu zetu
 

Attachments

  • VID-20220615-WA0009.mp4
    6.3 MB
Mimi kabila langu tuna vinasaba na Ibrahim na Isaka na Yakobo.
 
Aliwapa Twiga na wanyama wengine bure kwa kuwamwaga mbuga ya Chato.
 
Kwani mlitumwa mtuvamie? Hata bado mtayala Matunda ya Uvamizi
Kwani Nani aliwaroga mkaivamia ZNZ? Wacha mteseke humu JF
 
Kutaka KUUZA WANYAMA HAI OMAN thats a very big deal
Sijawahi kusikia katika maisha yangu yote kwamba IPO siku Nchi ya Oman walikuwa wakihitaji kuchukua wild animals kutoka Tanzania !! Mwenye record yeyote ya zamani naomba anijuze ! Please !
 
 

Attachments

  • IMG-20220615-WA0026.jpg
    149.4 KB · Views: 8
Sijawahi kusikia katika maisha yangu yote kwamba IPO siku Nchi ya Oman walikuwa wakihitaji kuchukua wild animals kutoka Tanzania !! Mwenye record yeyote ya zamani naomba anijuze ! Please !
Una umri gani? Kuhusu kununua visiwa vidogo vywa Zenji pia hujasikia? I don't to disrespect you
 
Kwaio tunakubaliana Zenji wanatubagua sana wabara?

Miafrika inavyopemda rangi nyeupe ni hatari. Karume Se Hakuoa miafrika myenzake Na wengi baada Mapinduzi wakajiolea kwa nguvu ngozir nyeupe. Thabit kombo alikuwa Na mtoto wa kike aliyezaa Na ngozi nyeusi kabla mavamizi.. Alimshauri rafiki yake Karume amwozeshe mwanawe Ali Karume. Alipoambiwa Ali kuhusu kuoa akaja juu. Akamwambia baba yake kuwa Wao wote wameoa ngozir nyeupe ,yeye katu hawezi kuoa cheusi . Akaenda Pemba kuoa mtoto wa kiarabu
 
Watanzania wengi wana vinasaba vya waarabu wa Oman.
 
Imelipa sana, maana karibu wote waliooa waarabu mambo yao kisiasa yakawanyookea sana!! Wengine wakaukwaa URais mpaka na watoto wakawa ma- Rais pia !!
 

Wavyama hai wanaosemwa unajuaje kama ni mifugo au wanyamapori? Soko kubwa ni kupeleka mifugo. Watanzania tunapenda sana majanga na kufikiria mabaya kabla ya mazuri🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…