Imelipa sana, maana karibu wote waliooa waarabu mambo yao kisiasa yakawanyookea sana!! Wengine wakaukwaa URais mpaka na watoto wakawa ma- Rais pia !!
Kwani unawahitaji tausi ?Tausi wote waliisha ikulu, tumekwisha
So wanataka kusafirisha ngombe, mbuzi na punda? Sasa vugivugu la Ngorongoro na Loliondo limeanzaje saivi wakati ye yupo huko kwa "wajomba"Wavyama hai wanaosemwa unajuaje kama ni mifugo au wanyamapori? Soko kubwa ni kupeleka mifugo. Watanzania tunapenda sana majanga na kufikiria mabaya kabla ya mazuriπ€
Aliuza ni Rwanda?Mbona hayati Jiwe alikua Mnyarwanda
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Miafrika inavyopemda rangi nyeupe ni hatari. Karume Se Hakuoa miafrika myenzake Na wengi baada Mapinduzi wakajiolea kwa nguvu ngozir nyeupe. Thabit kombo alikuwa Na mtoto wa kike aliyezaa Na ngozi nyeusi kabla mavamizi.. Alimshauri rafiki yake Karume amwozeshe mwanawe Ali Karume. Alipoambiwa Ali kuhusu kuoa akaja juu. Akamwambia baba yake kuwa Wao wote wameoa ngozir nyeupe ,yeye katu hawezi kuoa cheusi . Akaenda Pemba kuoa mtoto wa kiarabu
Kwaio wameze yetu sio?Labda kwa sababu ardhi yao ni ndogo sana Wanaogopa kumezwa na wabara !
Your time is upKwani mlitumwa mtuvamie? Hata bado mtayala Matunda ya Uvamizi
Kwani Nani aliwaroga mkaivamia ZNZ? Wacha mteseke humu JF
Ni ndugu zake katika imaan ya mnyaazi mmungu
Wazenji na ndio maana Nyerere aliwatoa nduki na kutuunganisha ili Sultani asirudi visiwaniWatanzania wengi wana vinasaba vya waarabu wa Oman.
Yapo wakati wa JK na SamiaMkuu mauaji ya masai ndio yameanza Leo!!
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£wa omani ukiwa vizuri ni ndugu kwa sababu ya dini
ila ukiwa maskini ni ujombani kwa bibi.miaka ya nyuma kipindi cha makamu wa raisi bilali waarabu walikuwa wanamuita babu mpaka vijukuu wanasema wanasema .
unakumbuka kipindi cha kikwete
π€π»π€π»π€π»π€π»π€π»Oman ni waarabu sio watanzania hivyo sio ndugu zetu.
Maana watanzania sio waarabu.
Waarabu ni waarabu na watanzania ni watanzania
Hata mimi nina binamu wangu Burundi shida iko wapiNdiyo. Mama ana unasaba na Oman.
Hata mm nina mjomba wangu huko
Sio kweli,Tatizo la waarabu ni magaidi. Waarabu ni watu wa hovyo sana.
Mjomba maana yake kaka wa mama. Ina maana Samia alikuwa hajui kwamba alikuwa na mjomba katika Oman Ruling Family mpaka alipokwenda Oman?NASABA
Anajua ndio maana kaweka kambi hukoMjomba maana yake kaka wa mama. Ina maana Samia alikuwa hajui kwamba alikuwa na mjomba katika Oman Ruling Family mpaka alipokwenda Oman?