Ni kweli TISS hawafahamiani na hawaaminiani?

Ukitaka kuwajua,jichanganye kwenye vijiwe vya kahawa,dafti na bao Wazee wa vijiwe hivyo wanawajua vizuri
Huwa wanawaitwa Askari wapelelezi
 
they work by secret code mfumo wao hautofautian na tabia za mbwa mwitu. ndio maana ukikosea unaliwa na mlie kula nyama pamoja.
 
Vp upande wa Mshiko..umenonaee..!!
 
Wako mpaka masheikh hili la kutokufuga ndevu ni uongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda kwenye wilaya yako muone DSO au mkoani kwako muone RSO....
 
kweli mkuu hawaaminiani pia hawana tabia za kupokea simu hovyo yaani unaweza kupiga simu mpaka basi na isipokelewe pia. hawapendi kutembelewa
Basi na mimi ni TISS hizo tabia ulizoaninisha ni zangu, ahh nimekumbuka mimi sio TISS maana TISS hawajitaji
 
Tatizo hao mnaonaga ni watu special sana mbona wanajulikana kirahisi sana
 
Ni kweliii kbsa mkuu, Na awamu hii ya tano iliharibu Sana kipindi Cha Mchungaji Kapilimba hivi Sasa huyu Afande Diwani anahangaika tu kuweka vitu sawia japo mfumo ushaozaa kabisa!! Kule Jkt nakoenda kuchukua vijana wanafelii Sana Tena sanaa

House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…