Ni kweli uwepo wa Pyramids bado ni kitendawili hapa duniani ama kuna siri imefichwa?

Ni kweli uwepo wa Pyramids bado ni kitendawili hapa duniani ama kuna siri imefichwa?

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Kila nikifatilia historia juu ya majengo makubwa na yenye stori lukuki pale Egypt, yani pyramids napata mashaka ya nini kinachoendelea.

Hususani kumekuwa na stori tofauti tofauti lakini bado hazijategua kitendawili!, vilevile uwepo wake hapa Africa na nikiambiwa kuwa waafrika ndio waasisi wa majengo yale ndo kabisa naona tafrani.

Hii ni kutokana na umaridadi wa majengo yale inaonyesha kabisa alieyatengeneza alikuwa ni fundi haswa!, sasa kama ni sisi waafrika mbona hatuna majibu na utaalamu huo uliishia wapi..??

Kwa uchache nitagusia nadharia mbalimbali ambazo zinadai kuwa watu ama jamii fulani ndio waliratibu majengo yale!..

Annunaki.
Baadhi ya watu huamini kuwa majengo yale yalitengenezwa na viumbe waitwao annunaki ambapo kwa wakati huo walikuwa na utaalamu wa aina yake!, haiishii hapo tu wapo pia wanaosema hao annunaki ndio waliotuumba sisi binadamu!, lakini nadharia hii bado haina majibu ya uhakika/uthibitisho!. so bado ni fumbo...!

Wayahudi/Israel
Hii inatoka kwenye biblia ya kwamba waisrael walichukuliwa kwenda uhamishoni hapo misri wakati wa utawala wa mafarao na walifanyika kuwa watumwa, na walitumika kujenga hayo ma pyramid wakati huo wa utumwa wao!, utata unakuja haifahamiki walitumia utaalamu upi maana kwa kipindi hicho ni ngumu kwa mwanadamu Kutengeneza majengo kama yale kutokana na teknolojia ya wakati huo ni ngumu!, kupandikiza yale majabali mengi kiasi kile na yenye uzito mkubwa huo ufanisi binadamu wa wakati huo uliutolea wapi..?

Isitoshe wataalum walipima nakugundua pyramid za pale misri zapata kuwepo miaka 4500 iliyopita!.. vilevile hao wa misri wao walikuwa wanadai waliyatengeneza kwaajili yakuzikia wafalme na malkia zao!, ama waweza sema royal family.

Lakini kwa mujibu wa watafiti hawajawahi kupata mwili wowote kwenye pyramids!, miili imekuwa ikipatikana maeneo ya mbali na yalipo hayo ma pyramid!.

Hata hivyo haingii akilini mtu kujenga mijengo kama ile ati kwaajili tu ya kuzika mafalao na malkia zao!, mh! bado inatia shaka!.

Viumbe toka anga za mbali ama Aliens.
Wengine huamini kuwa majengo yale yaliratibiwa na viumbe wenye uwezo mkubwa wa kiteknolojia maarufu kama aliens, na lengo la wao kujenga hayo madude ilikuwa ni kwaajili ya Kutengeneza umeme ama nguvu ambayo wenyewe ndo wanajua ilikuwa kwaajili ya nini!!.

Nadharia hii ya yale madude kuwa sehemu ya power implant inachagizwa zaidi na nguli wa maswala ya umeme nikola tesla!, ambae alisema kuwa haswa hiyo ndo ilikuwa kazi ya yale madude, pia wapo wataalum wengine pia wamejaribu kugusia hilo na kutokana na ramani za yale madude kule ndani wanaafiki kuwa nikola yupo sahihi!, kizungumkuti ni haifahamiki ilikuwa kwa lengo gani na haijathibitika!.

Jamii ama kizazi ambacho kimeshapotea!.
madai ya baadhi ya watu husema pyramids zilijengwa na jamii ambayo ilikuwa na uwezo huo na hapa katikati kukatokea janga hiyo jamii ikapotea!, hivyo ndio maana tunakosa majibu!..😅

Nadharia juu ya nani ni mjenzi wa zile pyramid zipo nyingi nimegusia chache ambazo nazo hazijatoa majibu!, sasa hoja yangu ni tutakuwa kwenye giza la kukosa majibu ya hakika mpaka lini..?

Naona kama hatupo serious! madude makubwa kiasi kile na hatujui yameratibiwa na nani!, hapohapo ma injinia wanakili hata teknolojia ya sasa haiwezi kujenga yale madude!!!! WTF!.

Wanakiri pia yale mawe yaliyotengenezewa pyramid yaonyesha yalikuwa yanakatwa kwa ustadi mkubwa halafu ndo yanajengewa pyramid!, wakati huohuo mawe yale yalikuwa yanapatikana umbali mrefu toka zilipo pyramid!, hivyo maswali ni mengi maana kwa wakati huo walisafirisha na nini kwenye kuyabeba!.

Pia utata mwengine ni ile perfection ya kuyabebanisha yale mawe!, unaambiwa nafasi kati ya jiwe moja na lengine ni ndogo sana kiasi kwamba hata kucha ya binadamu haipiti!..😅

Maoni yangu.
Inaweza ikawa kweli tukawa hatujui, ila pia wapo wanaojua na wameamua watunze siri kwa minajili ya kwao wenyewe!, ijapo bado tafiti zinaendelea kufanyika mpaka leo.

Ndugu msomaji nini maoni yako juu ya hili, unafikiri tutaendelea kukaa kwenye hichi kitendawili mpaka lini?
 
Mimi ni mdau mmojawapo ambaye nimebahatika kufuatilia mara kadhaa video mbalimbali youtube kuhusu nadharia hizi na hata elimu mbalimbali za Egyptology kuna mengi ya kujifunza ambayo bado hakuna majibu ya moja kwa moja, Na mara kadhaa Archaeologists mbalimbali wameonekana kuendelea kuchimba na kutafiti zaidi.

Lakini ninaamini Roma inaweza kuwa na siri nyingi juu ya haya mambo kwa kuwa walitawala maeneo hayo wakati wa Alexanda the Great na Hata kusababisha mji mmoja huko kuitwa kwa jina la mtawala (Alexandria) ambao ulikuwa una maktaba iliyosheheni machapisho mengi ambayo yaliungua moto wakati wa kuvaimia Egypt wakati huo, endapo maktaba hiyo ingeokolewa pengine siri nyingi zingefahamika mpaka leo. Tuendelee kujifunza.
 
Hili la kusema hakuna mwili uliogunduliwa ndani ya Piramid sina uhakika kama umesema kweli.

Maana nakumbuka miili ya Mafarao waliojazwa kwenye makumbusho ya Misri ilipatikana ndani ya mapiramidi hayo.

Umenipa kazi ya kuanza kurudia kufuatilia upya sasa.
 
Mimi ni mdau mmojawapo ambaye nimebahatika kufuatilia mara kadhaa video mbalimbali youtube kuhusu nadharia hizi na hata elimu mbalimbali za Egyptology kuna mengi ya kujifunza ambayo bado hakuna majibu ya moja kwa moja, Na mara kadhaa Archaeologists mbalimbali wameonekana kuendelea kuchimba na kutafiti zaidi.

Lakini ninaamini Roma inaweza kuwa na siri nyingi juu ya haya mambo kwa kuwa walitawala maeneo hayo wakati wa Alexanda the Great na Hata kusababisha mji mmoja huko kuitwa kwa jina la mtawala (Alexandria) ambao ulikuwa una maktaba iliyosheheni machapisho mengi ambayo yaliungua moto wakati wa kuvaimia Egypt wakati huo, endapo maktaba hiyo ingeokolewa pengine siri nyingi zingefahamika mpaka leo. Tuendelee kujifunza.
wacha tuvute subira!
 
Hili la kusema hakuna mwili uliogunduliwa ndani ya Piramid sina uhakika kama umesema kweli.

Maana nakumbuka miili ya Mafarao waliojazwa kwenye makumbusho ya Misri ilipatikana ndani ya mapiramidi hayo.

Unemipa kazi ya kuanza kufuatilia upya sasa.
fatilia mkuu.. ila mara kadhaa wale wataalum wamekuwa wakisema kwamba hawajawahi kukuta mwili wa pharaoh ama mummies yoyote!.
 
Tena hasa yale makubwa matatu ya pale misri yamejengwa yakiwa allign na orion costellation kundi la nyota ambazo zinaonekana wakati wa winter, pia pyramid hazipo misri tu zipo india, mexico, china n.k na yote yakiwa na muchoro ya viumbe kutoka angani yani ni kama kuna watu walikuwa wanapa instruction ya kujenga na nini cha kuchora ndani na yale ya Giza ndio their best constuction
 
Tena hasa yale makubwa matatu ya pale misri yamejengwa yakiwa allign na orion costellation kundi la nyota ambazo zinaonekana wakati wa winter, pia pyramid hazipo misri tu zipo india, mexico, china n.k na yote yakiwa na muchoro ya viumbe kutoka angani yani ni kama kuna watu walikuwa wanapa instruction ya kujenga na nini cha kuchora ndani na yale ya Giza ndio their best constuction
yeah pyramid zipo nyingi na nyengine wanasema zipo Antarctica!, japo hazijaweza kuonekana vyema sana
 
Kila nikifatilia historia juu ya majengo makubwa na yenye stori lukuki pale Egypt, yani pyramids napata mashaka ya nini kinachoendelea.

Hususani kumekuwa na stori tofauti tofauti lakini bado hazijategua kitendawili!, vilevile uwepo wake hapa Africa na nikiambiwa kuwa waafrika ndio waasisi wa majengo yale ndo kabisa naona tafrani.

Hii ni kutokana na umaridadi wa majengo yale inaonyesha kabisa alieyatengeneza alikuwa ni fundi haswa!, sasa kama ni sisi waafrika mbona hatuna majibu na utaalamu huo uliishia wapi..??

Kwa uchache nitagusia nadharia mbalimbali ambazo zinadai kuwa watu ama jamii fulani ndio waliratibu majengo yale!..

Annunaki.
Baadhi ya watu huamini kuwa majengo yale yalitengenezwa na viumbe waitwao annunaki ambapo kwa wakati huo walikuwa na utaalamu wa aina yake!, haiishii hapo tu wapo pia wanaosema hao annunaki ndio waliotuumba sisi binadamu!, lakini nadharia hii bado haina majibu ya uhakika/uthibitisho!. so bado ni fumbo...!

Wayahudi/Israel
Hii inatoka kwenye biblia ya kwamba waisrael walichukuliwa kwenda uhamishoni hapo misri wakati wa utawala wa mafarao na walifanyika kuwa watumwa, na walitumika kujenga hayo ma pyramid wakati huo wa utumwa wao!, utata unakuja haifahamiki walitumia utaalamu upi maana kwa kipindi hicho ni ngumu kwa mwanadamu Kutengeneza majengo kama yale kutokana na teknolojia ya wakati huo ni ngumu!, kupandikiza yale majabali mengi kiasi kile na yenye uzito mkubwa huo ufanisi binadamu wa wakati huo uliutolea wapi..?

Isitoshe wataalum walipima nakugundua pyramid za pale misri zapata kuwepo miaka 4500 iliyopita!.. vilevile hao wa misri wao walikuwa wanadai waliyatengeneza kwaajili yakuzikia wafalme na malkia zao!, ama waweza sema royal family.

Lakini kwa mujibu wa watafiti hawajawahi kupata mwili wowote kwenye pyramids!, miili imekuwa ikipatikana maeneo ya mbali na yalipo hayo ma pyramid!.

Hata hivyo haingii akilini mtu kujenga mijengo kama ile ati kwaajili tu ya kuzika mafalao na malkia zao!, mh! bado inatia shaka!.

Viumbe toka anga za mbali ama Aliens.
Wengine huamini kuwa majengo yale yaliratibiwa na viumbe wenye uwezo mkubwa wa kiteknolojia maarufu kama aliens, na lengo la wao kujenga hayo madude ilikuwa ni kwaajili ya Kutengeneza umeme ama nguvu ambayo wenyewe ndo wanajua ilikuwa kwaajili ya nini!!.

Nadharia hii ya yale madude kuwa sehemu ya power implant inachagizwa zaidi na nguli wa maswala ya umeme nikola tesla!, ambae alisema kuwa haswa hiyo ndo ilikuwa kazi ya yale madude, pia wapo wataalum wengine pia wamejaribu kugusia hilo na kutokana na ramani za yale madude kule ndani wanaafiki kuwa nikola yupo sahihi!, kizungumkuti ni haifahamiki ilikuwa kwa lengo gani na haijathibitika!.

Jamii ama kizazi ambacho kimeshapotea!.
madai ya baadhi ya watu husema pyramids zilijengwa na jamii ambayo ilikuwa na uwezo huo na hapa katikati kukatokea janga hiyo jamii ikapotea!, hivyo ndio maana tunakosa majibu!..😅

Nadharia juu ya nani ni mjenzi wa zile pyramid zipo nyingi nimegusia chache ambazo nazo hazijatoa majibu!, sasa hoja yangu ni tutakuwa kwenye giza la kukosa majibu ya hakika mpaka lini..?

Naona kama hatupo serious! madude makubwa kiasi kile na hatujui yameratibiwa na nani!, hapohapo ma injinia wanakili hata teknolojia ya sasa haiwezi kujenga yale madude!!!! WTF!.

Wanakiri pia yale mawe yaliyotengenezewa pyramid yaonyesha yalikuwa yanakatwa kwa ustadi mkubwa halafu ndo yanajengewa pyramid!, wakati huohuo mawe yale yalikuwa yanapatikana umbali mrefu toka zilipo pyramid!, hivyo maswali ni mengi maana kwa wakati huo walisafirisha na nini kwenye kuyabeba!.

Pia utata mwengine ni ile perfection ya kuyabebanisha yale mawe!, unaambiwa nafasi kati ya jiwe moja na lengine ni ndogo sana kiasi kwamba hata kucha ya binadamu haipiti!..😅

Maoni yangu.
Inaweza ikawa kweli tukawa hatujui, ila pia wapo wanaojua na wameamua watunze siri kwa minajili ya kwao wenyewe!, ijapo bado tafiti zinaendelea kufanyika mpaka leo.

Ndugu msomaji nini maoni yako juu ya hili, unafikiri tutaendelea kukaa kwenye hichi kitendawili mpaka lini?
utafiti hizo piramidi zilijengwa zikiwa zinatazamana na nyota za angani zile kubwa miaka elfu kumi na moja kabla ya kristo kama sikosei, na hizo ndogo inasemekana kwa ajiri ya kuhifadhia maiti za hao farao.
 
Kila nikifatilia historia juu ya majengo makubwa na yenye stori lukuki pale Egypt, yani pyramids napata mashaka ya nini kinachoendelea.

Hususani kumekuwa na stori tofauti tofauti lakini bado hazijategua kitendawili!, vilevile uwepo wake hapa Africa na nikiambiwa kuwa waafrika ndio waasisi wa majengo yale ndo kabisa naona tafrani.

Hii ni kutokana na umaridadi wa majengo yale inaonyesha kabisa alieyatengeneza alikuwa ni fundi haswa!, sasa kama ni sisi waafrika mbona hatuna majibu na utaalamu huo uliishia wapi..??

Kwa uchache nitagusia nadharia mbalimbali ambazo zinadai kuwa watu ama jamii fulani ndio waliratibu majengo yale!..

Annunaki.
Baadhi ya watu huamini kuwa majengo yale yalitengenezwa na viumbe waitwao annunaki ambapo kwa wakati huo walikuwa na utaalamu wa aina yake!, haiishii hapo tu wapo pia wanaosema hao annunaki ndio waliotuumba sisi binadamu!, lakini nadharia hii bado haina majibu ya uhakika/uthibitisho!. so bado ni fumbo...!

Wayahudi/Israel
Hii inatoka kwenye biblia ya kwamba waisrael walichukuliwa kwenda uhamishoni hapo misri wakati wa utawala wa mafarao na walifanyika kuwa watumwa, na walitumika kujenga hayo ma pyramid wakati huo wa utumwa wao!, utata unakuja haifahamiki walitumia utaalamu upi maana kwa kipindi hicho ni ngumu kwa mwanadamu Kutengeneza majengo kama yale kutokana na teknolojia ya wakati huo ni ngumu!, kupandikiza yale majabali mengi kiasi kile na yenye uzito mkubwa huo ufanisi binadamu wa wakati huo uliutolea wapi..?

Isitoshe wataalum walipima nakugundua pyramid za pale misri zapata kuwepo miaka 4500 iliyopita!.. vilevile hao wa misri wao walikuwa wanadai waliyatengeneza kwaajili yakuzikia wafalme na malkia zao!, ama waweza sema royal family.

Lakini kwa mujibu wa watafiti hawajawahi kupata mwili wowote kwenye pyramids!, miili imekuwa ikipatikana maeneo ya mbali na yalipo hayo ma pyramid!.

Hata hivyo haingii akilini mtu kujenga mijengo kama ile ati kwaajili tu ya kuzika mafalao na malkia zao!, mh! bado inatia shaka!.

Viumbe toka anga za mbali ama Aliens.
Wengine huamini kuwa majengo yale yaliratibiwa na viumbe wenye uwezo mkubwa wa kiteknolojia maarufu kama aliens, na lengo la wao kujenga hayo madude ilikuwa ni kwaajili ya Kutengeneza umeme ama nguvu ambayo wenyewe ndo wanajua ilikuwa kwaajili ya nini!!.

Nadharia hii ya yale madude kuwa sehemu ya power implant inachagizwa zaidi na nguli wa maswala ya umeme nikola tesla!, ambae alisema kuwa haswa hiyo ndo ilikuwa kazi ya yale madude, pia wapo wataalum wengine pia wamejaribu kugusia hilo na kutokana na ramani za yale madude kule ndani wanaafiki kuwa nikola yupo sahihi!, kizungumkuti ni haifahamiki ilikuwa kwa lengo gani na haijathibitika!.

Jamii ama kizazi ambacho kimeshapotea!.
madai ya baadhi ya watu husema pyramids zilijengwa na jamii ambayo ilikuwa na uwezo huo na hapa katikati kukatokea janga hiyo jamii ikapotea!, hivyo ndio maana tunakosa majibu!..😅

Nadharia juu ya nani ni mjenzi wa zile pyramid zipo nyingi nimegusia chache ambazo nazo hazijatoa majibu!, sasa hoja yangu ni tutakuwa kwenye giza la kukosa majibu ya hakika mpaka lini..?

Naona kama hatupo serious! madude makubwa kiasi kile na hatujui yameratibiwa na nani!, hapohapo ma injinia wanakili hata teknolojia ya sasa haiwezi kujenga yale madude!!!! WTF!.

Wanakiri pia yale mawe yaliyotengenezewa pyramid yaonyesha yalikuwa yanakatwa kwa ustadi mkubwa halafu ndo yanajengewa pyramid!, wakati huohuo mawe yale yalikuwa yanapatikana umbali mrefu toka zilipo pyramid!, hivyo maswali ni mengi maana kwa wakati huo walisafirisha na nini kwenye kuyabeba!.

Pia utata mwengine ni ile perfection ya kuyabebanisha yale mawe!, unaambiwa nafasi kati ya jiwe moja na lengine ni ndogo sana kiasi kwamba hata kucha ya binadamu haipiti!..😅

Maoni yangu.
Inaweza ikawa kweli tukawa hatujui, ila pia wapo wanaojua na wameamua watunze siri kwa minajili ya kwao wenyewe!, ijapo bado tafiti zinaendelea kufanyika mpaka leo.

Ndugu msomaji nini maoni yako juu ya hili, unafikiri tutaendelea kukaa kwenye hichi kitendawili mpaka lini?
Hii ni moja ya sababu zinanifanya niamin egypt ilikuwa center ya civilisation kabla ya athens
 
Kila nikifatilia historia juu ya majengo makubwa na yenye stori lukuki pale Egypt, yani pyramids napata mashaka ya nini kinachoendelea.

Hususani kumekuwa na stori tofauti tofauti lakini bado hazijategua kitendawili!, vilevile uwepo wake hapa Africa na nikiambiwa kuwa waafrika ndio waasisi wa majengo yale ndo kabisa naona tafrani.

Hii ni kutokana na umaridadi wa majengo yale inaonyesha kabisa alieyatengeneza alikuwa ni fundi haswa!, sasa kama ni sisi waafrika mbona hatuna majibu na utaalamu huo uliishia wapi..??

Kwa uchache nitagusia nadharia mbalimbali ambazo zinadai kuwa watu ama jamii fulani ndio waliratibu majengo yale!..

Annunaki.
Baadhi ya watu huamini kuwa majengo yale yalitengenezwa na viumbe waitwao annunaki ambapo kwa wakati huo walikuwa na utaalamu wa aina yake!, haiishii hapo tu wapo pia wanaosema hao annunaki ndio waliotuumba sisi binadamu!, lakini nadharia hii bado haina majibu ya uhakika/uthibitisho!. so bado ni fumbo...!

Wayahudi/Israel
Hii inatoka kwenye biblia ya kwamba waisrael walichukuliwa kwenda uhamishoni hapo misri wakati wa utawala wa mafarao na walifanyika kuwa watumwa, na walitumika kujenga hayo ma pyramid wakati huo wa utumwa wao!, utata unakuja haifahamiki walitumia utaalamu upi maana kwa kipindi hicho ni ngumu kwa mwanadamu Kutengeneza majengo kama yale kutokana na teknolojia ya wakati huo ni ngumu!, kupandikiza yale majabali mengi kiasi kile na yenye uzito mkubwa huo ufanisi binadamu wa wakati huo uliutolea wapi..?

Isitoshe wataalum walipima nakugundua pyramid za pale misri zapata kuwepo miaka 4500 iliyopita!.. vilevile hao wa misri wao walikuwa wanadai waliyatengeneza kwaajili yakuzikia wafalme na malkia zao!, ama waweza sema royal family.

Lakini kwa mujibu wa watafiti hawajawahi kupata mwili wowote kwenye pyramids!, miili imekuwa ikipatikana maeneo ya mbali na yalipo hayo ma pyramid!.

Hata hivyo haingii akilini mtu kujenga mijengo kama ile ati kwaajili tu ya kuzika mafalao na malkia zao!, mh! bado inatia shaka!.

Viumbe toka anga za mbali ama Aliens.
Wengine huamini kuwa majengo yale yaliratibiwa na viumbe wenye uwezo mkubwa wa kiteknolojia maarufu kama aliens, na lengo la wao kujenga hayo madude ilikuwa ni kwaajili ya Kutengeneza umeme ama nguvu ambayo wenyewe ndo wanajua ilikuwa kwaajili ya nini!!.

Nadharia hii ya yale madude kuwa sehemu ya power implant inachagizwa zaidi na nguli wa maswala ya umeme nikola tesla!, ambae alisema kuwa haswa hiyo ndo ilikuwa kazi ya yale madude, pia wapo wataalum wengine pia wamejaribu kugusia hilo na kutokana na ramani za yale madude kule ndani wanaafiki kuwa nikola yupo sahihi!, kizungumkuti ni haifahamiki ilikuwa kwa lengo gani na haijathibitika!.

Jamii ama kizazi ambacho kimeshapotea!.
madai ya baadhi ya watu husema pyramids zilijengwa na jamii ambayo ilikuwa na uwezo huo na hapa katikati kukatokea janga hiyo jamii ikapotea!, hivyo ndio maana tunakosa majibu!..😅

Nadharia juu ya nani ni mjenzi wa zile pyramid zipo nyingi nimegusia chache ambazo nazo hazijatoa majibu!, sasa hoja yangu ni tutakuwa kwenye giza la kukosa majibu ya hakika mpaka lini..?

Naona kama hatupo serious! madude makubwa kiasi kile na hatujui yameratibiwa na nani!, hapohapo ma injinia wanakili hata teknolojia ya sasa haiwezi kujenga yale madude!!!! WTF!.

Wanakiri pia yale mawe yaliyotengenezewa pyramid yaonyesha yalikuwa yanakatwa kwa ustadi mkubwa halafu ndo yanajengewa pyramid!, wakati huohuo mawe yale yalikuwa yanapatikana umbali mrefu toka zilipo pyramid!, hivyo maswali ni mengi maana kwa wakati huo walisafirisha na nini kwenye kuyabeba!.

Pia utata mwengine ni ile perfection ya kuyabebanisha yale mawe!, unaambiwa nafasi kati ya jiwe moja na lengine ni ndogo sana kiasi kwamba hata kucha ya binadamu haipiti!..😅

Maoni yangu.
Inaweza ikawa kweli tukawa hatujui, ila pia wapo wanaojua na wameamua watunze siri kwa minajili ya kwao wenyewe!, ijapo bado tafiti zinaendelea kufanyika mpaka leo.

Ndugu msomaji nini maoni yako juu ya hili, unafikiri tutaendelea kukaa kwenye hichi kitendawili mpaka lini?
Hao waliojenga hayo mapyramid walikuwa binadamu wenye akili ya juu mno.
 
Kila nikifatilia historia juu ya majengo makubwa na yenye stori lukuki pale Egypt, yani pyramids napata mashaka ya nini kinachoendelea.

Hususani kumekuwa na stori tofauti tofauti lakini bado hazijategua kitendawili!, vilevile uwepo wake hapa Africa na nikiambiwa kuwa waafrika ndio waasisi wa majengo yale ndo kabisa naona tafrani.

Hii ni kutokana na umaridadi wa majengo yale inaonyesha kabisa alieyatengeneza alikuwa ni fundi haswa!, sasa kama ni sisi waafrika mbona hatuna majibu na utaalamu huo uliishia wapi..??

Kwa uchache nitagusia nadharia mbalimbali ambazo zinadai kuwa watu ama jamii fulani ndio waliratibu majengo yale!..

Annunaki.
Baadhi ya watu huamini kuwa majengo yale yalitengenezwa na viumbe waitwao annunaki ambapo kwa wakati huo walikuwa na utaalamu wa aina yake!, haiishii hapo tu wapo pia wanaosema hao annunaki ndio waliotuumba sisi binadamu!, lakini nadharia hii bado haina majibu ya uhakika/uthibitisho!. so bado ni fumbo...!

Wayahudi/Israel
Hii inatoka kwenye biblia ya kwamba waisrael walichukuliwa kwenda uhamishoni hapo misri wakati wa utawala wa mafarao na walifanyika kuwa watumwa, na walitumika kujenga hayo ma pyramid wakati huo wa utumwa wao!, utata unakuja haifahamiki walitumia utaalamu upi maana kwa kipindi hicho ni ngumu kwa mwanadamu Kutengeneza majengo kama yale kutokana na teknolojia ya wakati huo ni ngumu!, kupandikiza yale majabali mengi kiasi kile na yenye uzito mkubwa huo ufanisi binadamu wa wakati huo uliutolea wapi..?

Isitoshe wataalum walipima nakugundua pyramid za pale misri zapata kuwepo miaka 4500 iliyopita!.. vilevile hao wa misri wao walikuwa wanadai waliyatengeneza kwaajili yakuzikia wafalme na malkia zao!, ama waweza sema royal family.

Lakini kwa mujibu wa watafiti hawajawahi kupata mwili wowote kwenye pyramids!, miili imekuwa ikipatikana maeneo ya mbali na yalipo hayo ma pyramid!.

Hata hivyo haingii akilini mtu kujenga mijengo kama ile ati kwaajili tu ya kuzika mafalao na malkia zao!, mh! bado inatia shaka!.

Viumbe toka anga za mbali ama Aliens.
Wengine huamini kuwa majengo yale yaliratibiwa na viumbe wenye uwezo mkubwa wa kiteknolojia maarufu kama aliens, na lengo la wao kujenga hayo madude ilikuwa ni kwaajili ya Kutengeneza umeme ama nguvu ambayo wenyewe ndo wanajua ilikuwa kwaajili ya nini!!.

Nadharia hii ya yale madude kuwa sehemu ya power implant inachagizwa zaidi na nguli wa maswala ya umeme nikola tesla!, ambae alisema kuwa haswa hiyo ndo ilikuwa kazi ya yale madude, pia wapo wataalum wengine pia wamejaribu kugusia hilo na kutokana na ramani za yale madude kule ndani wanaafiki kuwa nikola yupo sahihi!, kizungumkuti ni haifahamiki ilikuwa kwa lengo gani na haijathibitika!.

Jamii ama kizazi ambacho kimeshapotea!.
madai ya baadhi ya watu husema pyramids zilijengwa na jamii ambayo ilikuwa na uwezo huo na hapa katikati kukatokea janga hiyo jamii ikapotea!, hivyo ndio maana tunakosa majibu!..😅

Nadharia juu ya nani ni mjenzi wa zile pyramid zipo nyingi nimegusia chache ambazo nazo hazijatoa majibu!, sasa hoja yangu ni tutakuwa kwenye giza la kukosa majibu ya hakika mpaka lini..?

Naona kama hatupo serious! madude makubwa kiasi kile na hatujui yameratibiwa na nani!, hapohapo ma injinia wanakili hata teknolojia ya sasa haiwezi kujenga yale madude!!!! WTF!.

Wanakiri pia yale mawe yaliyotengenezewa pyramid yaonyesha yalikuwa yanakatwa kwa ustadi mkubwa halafu ndo yanajengewa pyramid!, wakati huohuo mawe yale yalikuwa yanapatikana umbali mrefu toka zilipo pyramid!, hivyo maswali ni mengi maana kwa wakati huo walisafirisha na nini kwenye kuyabeba!.

Pia utata mwengine ni ile perfection ya kuyabebanisha yale mawe!, unaambiwa nafasi kati ya jiwe moja na lengine ni ndogo sana kiasi kwamba hata kucha ya binadamu haipiti!..😅

Maoni yangu.
Inaweza ikawa kweli tukawa hatujui, ila pia wapo wanaojua na wameamua watunze siri kwa minajili ya kwao wenyewe!, ijapo bado tafiti zinaendelea kufanyika mpaka leo.

Ndugu msomaji nini maoni yako juu ya hili, unafikiri tutaendelea kukaa kwenye hichi kitendawili mpaka lini?
Kuna bwana alikuwa anaitwa harms waliosoma harmetica watakuwa walishawahi kumsikia inasemakan ni mtu pekee aliyeonana na Mungu na kuongea nae ndio alikuwa architecture wa hizo pyramid na alikuwa na technologia ya kuweza kuvipunguzia uzito vitu vizito na kuvinyanyua kama puto
 
Hii harmetica ni moja ya dini za mwanzo kabla ya ukriso na imetwa harmetica kutoka kwenye jina lake la harms na inasemekana hata dini nyingi zimechukua maudhui kadhaa.
Harms alipoonana na Mungu alimuuliza yeye Mungu huwa anafanyaje kazi zake Mungu akamwambia yeye Mungu kitu akikiwaza kinatokea hapo hapo na Mungu ametuumba kwa mfano wetu kwa maana ya kwamba sisi mawazo yetu inabidi mpaka tuyafanyie kazi.
Wakristo ndio wakachukua concept ya Mungu ametuumba kwa mfano wake.
N issue ya hapi mwanzo kulikuwa na neno ni concept kutokea kwa hermetica.
Ukisoma hermetica unaweza kupata kidogo logic kwanini shetani yupo, hermetica wanasema Mungu hakumuumba shetani kwa makusudi ila kutokana na uwezo wake chocgote anachowaza kinakuwa basi kwenye kufikiria kwake hilo wazo la kuwaza tu kuwepo nguvu hasi ya Mungu ndio shetani akatokea, japo hermetica wanatoa muongozo wa namna ya kuikabili hiyo nguvu hasi ni somo la siku nyingine
 
Kwa nyongeza tuu Pyramids nyingi hazipo Egypt , zipo Sudan ila concept inakuja ukiachilia mbali dini Ss Binadam Hatupo pekeetu kwenye huu ulimwengu na sayari zake ambapo sayansi ya NASA imetidanganya sana kwamba zipo tisa ila zipo zaid ya,
Na huko angani pia kunaviumbe vyenye akili kutupita xx binadam , sio lazima kuamini ila all in all as Humans we are not allon trust me ...
 
Back
Top Bottom