Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kubishana, ila kwa vile umesema dunia ni ndogo basi tulipaswa kuwa tumethibitisha hizi stori kama sio porojo.yaani story ziko hivyo kwamba.
anayekimbiza mwenge lazima afe hakai siku nyingia
anayeweka msalaba pale juu ya mnara wa kanisa nayeye huwa anakufa tena kwa kuanguka vibaya,labda wawe wamerekebisha tayari.
na hawa wajenzi wa ikulu nao.
sema dunia ndogo sana hii sio ya kubisha kila kitu au kukataa kila kitu.
Hatari, unakata kidole mteja miyeyusho,huyu anataka kufanana na yule aliyezusha kuuza vidole zimbabwe watu wakakata vidole wakakosa soko. na yeye akamatwe hana tofauti.
Najua pakupata jibu, huku mtaani wapo watu pia.hutapata majibu
Mkuu Mkaldayo mimi siyo mbobez sana labda pacha wangu MaghayoSio kubishana, ila kwa vile umesema dunia ni ndogo basi tulipaswa kuwa tumethibitisha hizi stori kama sio porojo.
Hebu tumsikie mbobezi Stress Challenger.
Nani kasema huyu ni mtu wa Rwanda??Ni kweli mkuu huwa tunauwawa na kuzikwa hapo getini labda tumuulize popoma GENTAMYCINE wao kule Rwanda wanafanywaje
Niliwahi kusikia pia,
Eti kuna njia ya kutokea baharini
Jordan Lugimbana alikuwa kiongozi wa mbio za mwenge mwaka 2001 alilala Liparamba, miaka ya karibuni aliwahi kuwa mkuu wa wilaya moja Dar es salaam bado Yuko hai japo Kwasasa simsikii, Hizo stori za vijiweni tuu.yaani story ziko hivyo kwamba.
anayekimbiza mwenge lazima afe hakai siku nyingia
anayeweka msalaba pale juu ya mnara wa kanisa nayeye huwa anakufa tena kwa kuanguka vibaya,labda wawe wamerekebisha tayari.
na hawa wajenzi wa ikulu nao.
sema dunia ndogo sana hii sio ya kubisha kila kitu au kukataa kila kitu.
Sidhani tunayo teknoloji ya kutengeneza tunnel ndefu Kama hiyo.(Yaani toka Ikulu mpaka Ngome).Kuna story nishawahi kuzisikia kuhusu Ikulu, kama zina ukweli wowote naomba kujuzwa hapa
1. Ikulu Kuna njia ya chini kwa chini mpaka Makao makuu ya jeshi
2. Wote wanaohusika kwenye ujenzi wa ikulu wakimaliza wote wanauawa wanazikwa getini pale ikulu
We ushaisikia ipi? na je zina ukweli?View attachment 2256011