Ni kweli wanaojenga Ikulu huwa wanauliwa wakishamaliza kujenga?

Ni kweli wanaojenga Ikulu huwa wanauliwa wakishamaliza kujenga?

Hayo mambo yalikuwepo enzi za Ujenzi wa Castles/Ngome za Wafalme huko Uingereza, China, mfano wengi waliojenga The Great Wall of China walikufa, Kwa nyakati hizi sidhani maana huenda wenaofahamu ramani halisi ni wachache na mafundi mfano hao JKT wanaishia kuwa wabeba tofali, zege n.k
 
Back
Top Bottom