Ni kweli wanaojenga Ikulu huwa wanauliwa wakishamaliza kujenga?

Ni kweli wanaojenga Ikulu huwa wanauliwa wakishamaliza kujenga?

Jordan Lugimbana alikuwa kiongozi wa mbio za mwenge mwaka 2001 alilala Liparamba, miaka ya karibuni aliwahi kuwa mkuu wa wilaya moja Dar es salaam bado Yuko hai japo Kwasasa simsikii, Hizo stori za vijiweni tuu.
Mkuu wa Wilaya ya kinondoni!

Baadae Mkuu wa Mkoa wa Lindi,Baadae Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, safari ikaishia pale,nadhani walipishana kauli na Mzee Magufuli

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
yaani story ziko hivyo kwamba.

anayekimbiza mwenge lazima afe hakai siku nyingia

anayeweka msalaba pale juu ya mnara wa kanisa nayeye huwa anakufa tena kwa kuanguka vibaya,labda wawe wamerekebisha tayari.

na hawa wajenzi wa ikulu nao.
sema dunia ndogo sana hii sio ya kubisha kila kitu au kukataa kila kitu.
Tupe mifano ya watu waliokufa hivyo.
 
Hamna kitu kama hicho.
Mwaka juzi nilikua kwenye kampuni moja ya mambo ya umeme,tulipata tender kufanya marekebisho ya system za umeme wa ikulu ya magogoni.tuliingia mle fresh tu,sema week moja kabla ya kazi tulikutana n watu wa usalama, wakatufanyia na kutueleza utaratibu wa mle ndani.walitupa vitambulisho maalumu.sema ile sehemu iko very protected aisee..nadhani hata wachawi mle hawaingii kuroga.
 
Hamna kitu kama hicho.
Mwaka juzi nilikua kwenye kampuni moja ya mambo ya umeme,tulipata tender kufanya marekebisho ya system za umeme wa ikulu ya magogoni.tuliingia mle fresh tu,sema week moja kabla ya kazi tulikutana n watu wa usalama, wakatufanyia na kutueleza utaratibu wa mle ndani.walitupa vitambulisho maalumu.sema ile sehemu iko very protected aisee..nadhani hata wachawi mle hawaingii kuroga.
Dah! Hyo tenda mliipataje asee, au mwenye hiyo Kampuni ni mtu mzito huko serikalini
 
Mleta hoja umeongeza chumvi nyingi sana ila kuna ukweli wa namna ya watu wanao jua Siri/kona za majengo ya ikulu duniani kote wanavyo kuwa treated, ni watu ambao hatuwez kuwajua na kupishana nao mtaani hovyo hovyo... Achana na hao vijana walio itwa kufanya wiring, kupiga rangi, kumwaga zege, n.k hawa hupewa kufanya sehem tu ambayo hata Siri ikivuja haina madhara...
HAWAUWAWI ILA UKIJIFANYA KUMSIMULIA BABA AKO ULIONA NINI WAKAT WA UJENZI UTAJIKUTA TU UMEKUFA KWA SHINIKIZO LA DAMU.
 
Kuna story nishawahi kuzisikia kuhusu Ikulu, kama zina ukweli wowote naomba kujuzwa hapa

1. Ikulu Kuna njia ya chini kwa chini mpaka Makao makuu ya jeshi

2. Wote wanaohusika kwenye ujenzi wa ikulu wakimaliza wote wanauawa wanazikwa getini pale ikulu

We ushaisikia ipi? na je zina ukweli?View attachment 2256011
Hata mimi nikiwa mdogo niliwahi kusikia hata wale wajenzi wa benk kuu na walikuwa wanauliwa baada ya ujenzi, baadae nikaambiwa mkandarasi wa benki kuu uwa hapewi ramani/mchoro mzima anapewa vipandevipande na akifika eneo fulani anapotezwa kiaina anatafutwa mwingine mpk mjengo unakamilika unakuta mainjinia zaidi ya 20 huku wale waliojenga sehemu nyeto wakifa vifo vya kawaida visivyo na shaka kwa jamii na familia zao;imeisha hiyo[emoji23][emoji23][emoji6]
 
Kuna story nishawahi kuzisikia kuhusu Ikulu, kama zina ukweli wowote naomba kujuzwa hapa

1. Ikulu Kuna njia ya chini kwa chini mpaka Makao makuu ya jeshi

2. Wote wanaohusika kwenye ujenzi wa ikulu wakimaliza wote wanauawa wanazikwa getini pale ikulu

We ushaisikia ipi? na je zina ukweli?View attachment 2256011
Vip wale wa dodoma walishauliwa au?

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Ikulu ya Magogoni ilijengwa na mkoloni, hii mpya imejengwa na JKT...

Sasa jaribu kuanzia hapo kufikiria hizo nongwa za watu kuuawa...
 
Japo siwezi kupinga kuwepo kwa hiyo emergence exit, lakini ya kuelekea baharini sio lazima ndio maana nikauliza kama na ya Dodoma wanaweka emergence exit kuelekea Bahari Hindi!
Mi nimeongelea ya magogoni na nadhani nadharia nyingi kwenye huu uzi zimebase kwenye hiyo ya magogoni na sio hiyo mpya ya dodoma.
Kuhusu hiyo mpya sijaskia chochote kuihusu.
 
Japo siwezi kupinga kuwepo kwa hiyo emergence exit, lakini ya kuelekea baharini sio lazima ndio maana nikauliza kama na ya Dodoma wanaweka emergence exit kuelekea Bahari Hindi!
Niliwahi pata nafasi yakuingia Ikulu ya dodoma,nipakubwa sana mle ndani,hadi ufike Ikulu kwenyewe unavuka mageti hadi matatu! Na ni mwendo kweli kweli mle ndani,bila ya motokaa ni ngumu sana!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom